Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Kwasababu wanalinda taifa lao jengineIsrael wapo vizuri kwenye calculation zake kama ameweza kuwashawishi mataifa makubwa ulimwenguni yawe upande wake licha ya yote anayoyafanya....imefika mahali mataifa makubwa yanaona usalama wa Israel sio suala la kujadiliana bali ni kutekeleza
Israhell imeundwa na watu kutoka ulaya ndio maana hua wapo tayari kulilinda kwa gharama yeyote
Taifa la israhell ni hewa tu