Ujinga ni tatizo kuu hapa Tanzania

Naskia pale wafanyakazi wanarudi na mifuko ya hela majumbani mwao kila weekend. Ni wizi tu
 

Kwani kuna mtu amepinga Uwekezaji? Kwa nini mnapotosha mambo? Kelele zote watu wanazopiga ni kuhusu Mkataba ambapo wanataka uboreshwe na siyo kama ulivyo sasa watu wote hawawezi kuwa wajinga, hakuna anayepinga uwekezaji kila mtu analijua hilo hata mtoto mdogo ila tusichotaka ni kuibiwa kama tulivyoibiwa huko nyuma, hivyo watu wanataka win win situation na siyo kuibiwa, sasa hivi we know better …
 
Fikiria mtu haoni haya kuongea upumbavu kama huu hadharani
Labda kosa ni kuongea hadharani, lkn sirini tunachopinga ni Mwarabu tu otherwise mkataba kama huo huo angepewa mzungu sie ingekuwa roho kwatu!!
 
Kwani Serikali haijajibu hizo hoja? Maelezo mangapi yametolewa? Wewe hujasikia watu wakisema tunauzwa? Bandari inauzwa? Nchi inauzwa?
 
Labda kosa ni kuongea hadharani, lkn sirini tunachopinga ni Mwarabu tu otherwise mkataba kama huo huo angepewa mzungu sie ingekuwa roho kwatu!!
Pengo na Slaa are proud of you
 
Miwili? Watu wana 5 yrs hawajapata kitambulisho
Ila akitokea Kiongozi akasemq kua nawapa NIDA waarabu kutoka Dubai wakamilishe zoezi la vitambulisho ili kila anaestahili apate ndani ya mwezi tangu alipojisajili utaona vumbi litakalotimka
 
Ni wajinga hawa hawa ndiyo wamefanya tupoteze mabilioni ya dollar za Marekani kwenye makaa ya mawe ya Mchuchuma na Liganga.

Hivi Sasa makaa ya mawe yamepitwa na wakati, uhitaji wake ktk masuala ya nishati umepungua kiasi cha kutisha eti ndiyo hawa tunastuka kutafuta mwekezaji.

Mleta mada umeeleza vizuri sana ktk uzi wako huu kuwa hawa wajinga ni wa kupuuzwa.
 
Mimi nakuona wewe ndio mjinga Fulani hivi unaejifanya una akili. Wapi watanzania wamekataa wawekezaji?
Huzisikii hizi kelele za Do World? Wapumbavu wanasema nchi imeuzwa na wazanzibari 3.

Sasa wazanzibari wameuza vipi nchi? Ni kwasabb wajinga wanaamini kumpa mwekezaji ni sawa na kuuza nchi.
 
Una uhakika hizo hoja hazijajibiwa? Au zimejibiwa na hujataka kukubali hayo majibu?
Mkuu,kazi ya kukalili kama kasuku
Labda umuulize alipotoa hizo hoja maana yy kazikopi sehemu , naona kila mmoja anarudiarudia hoja hizo hizo
 
Kwani Serikali haijajibu hizo hoja? Maelezo mangapi yametolewa? Wewe hujasikia watu wakisema tunauzwa? Bandari inauzwa? Nchi inauzwa?

Kwa hiyo hawa wote wanaopiga kelele na kupaza sauti ni wajinga na hawajui chochote au?
 
Kweli wawekezaji wana nguvu ajabu, swali la kujiuliza...wakati viwanda vinabinafsishwa kuna wengi walipiga makofi, madini yanachibwa lakini yote ni ujinga mtu...leo watu wanapiga kelele kuhusu kurekebishwa kwa baadhi ya vifungu kwenye makubaliano ya DPW ili tusije tukaumia mbele ya safari ila kuna watu mipumbavu kama mleta mada wao kutwa kuleta lawama jumuishi kuwa watu wanakataa uwekezaji.

Tusaidie serikali kwa kuwashauri pa kuboresha na siyo kuleta stori jumuishi bila kuonesha sehemu zenye matatizo, hizi mikataba zinaandaliwa na watu hivyo wanaweza kukosea.
 
Hata China ingeingia mikataba dizaini hii leo ingekuwa maskini zaidi
 
Hapana wengi wanapinga bandari kupewa mwekezaji wanadai mambo ya usalama sijui nchi itauzwa n.k yaani sio tu mkataba uboreshwe hawataki kabisa DP world aje bandarini.

2. Wanadai tuliibiwa sana na wawekezaji yes ni kweli lakini kwa Sasa Kuna sheria nzuri zimewekwa mfano Ile ya 16% hisa kwa serikali, local content kwamba lazima ratio Fulani ya tender na ajira zitoke nchini, Kuna sheria kali za transfer pricing 2018 zimepunguza mianya ya kukwepa kodi walau kwenye haya makampuni ya nje etc. So mjadala uwe mkataba utakaoingiwa basi uwe na maslahi kwa nchi lakini sio kupinga mwekezaji apewe bandari.

3. Hao TPA ndio Wezi kuliko hata makampuni ya kigeni, so mbadala wa bandari usiwe TPA tena Bali muwekezaji serious otherwise tunachokwepa kubwa na DP ndio kinachoibiwa na hao wahuni wa TPA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…