Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Namba moja inahitaji mjadala mpana, sina uhakika kama unaweza kujadili. Otherwise tufunike kombe na tucall it a day!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Perceptions....!6 was 9!
Ahsante babaangu yaan huyu anajifanyaga kana kwamba neno lake ni sheria ,kanikwaza kutuponda single mom akat tuna bahat zetu,maisha hayana formula muache abwabwajemimi napinga hyo ishue sijui mzazi kama hajasoma basi na watoto hawatasoma au kuwa maskini...
wazazi wangu hawakusoma kbsa na tumezaliwa watoto wa 5 ..nataka nkuambie mpka sasa wote tuna degree kasoro mmoja ana diploma.
siioni point kweny hicho kipengele lbda ungesema kuwa inategemea na akili ya mtu.
***********
KUOA SINGLE MOTHER
aisee nina jamaa yangu ameoa binti ambaye ana mtoto .
hivi navyozungumza wana miaka 7 kweny ndoa na hata siku moja sijawahi kuoa wametofautiana kiasi ch kujuta kuwa pamoja.
siamini kwny baadhi ya vipengele ulivyoainisha.
UMESEMA KILA MTU ANA KAUJINGA KAKE NO MATTER HOW PERFECT MTU ANA JI-POTRAY KWA JAMII...
NAAMINI WW KAUJINGA KAKO NI HAKA KUANDIKA VITU UKIWA VERY SURE AS IF U HAVE STUDIED THE HUMAN PHYCHOLOGY TO THE EXTENT OF EXPERTISE.
this is bull shit!!!
Kwa wale wasiopenda kusoma nyuzi refu najaribu kufupisha.Taikon nipumzike sasa!
nakazia namba 9UJINGA ULIOWAGHARIMU WENGI KWENYE MAISHA!
Anaandika, Robert Heriel.
Kila binadamu anakiwango chake cha ujinga, hata Yule unayemuona anaakili Sana ujue anakaujinga kake.
Sasa unaweza ukawa mjinga lakini kamwe Epuka kuwa MPUUZI, mpuuziaji ambaye baadaye itakufanywa uitwe mjuaji wakati hukuwa unajua. Mjinga ajifanyaye anajua huingia katika kundi la wapumbavu, hivyo ndivyo ilivyo ni Sawa na mwerevu mwenye upuuziaji nayr huingia kwenye kundi la wapumbavu.
Na hii sasa ndio orodha ya ujinga ambao ulisababishwa na upuuziaji uliowagharimu watu wengi Duniani;
1. "Kusoma sio kufanikiwa maisha" wakati Vijana wengi walipoambiwa wasome baadhi Yao walikuwa wakisema maneno hayo au Kuambiwa maneno hayo na watu walioshindwa shule. Wapo waliokuwa wakisema kimoyo moyo.
Usiposoma lazima utumie nguvu kuyamudu maisha hasa ukiwa umetoka familia Masikini. Tena utatumia nguvu na bado utalipwa Kama kibarua. Hii ni Kwa sababu huna tofauti na mnyama Kama punda au ng'ombe ambao nao hutumia nguvu tuu.
Lakini ukitumia akili maslahi yake huwa ya juu.
Vijana Kama huna elimu ni Bora ujiajiri Kwa kweli. Maana wewe ni kibarua na wala haupo kundi la Wafanyakazi. Mshahara wako utakuwa kidunchu wa kula tuu.
Ni Bora ukatembeze karanga, ukauze henge, mkaa, ukawa bodaboda au konda na kazi zingine zisizohitaji elimu kuliko uajiriwe maana utalipwa posho tuu.
2. "Uliona wapi pipi ikaliwa na maganda yake?"
Wengi Kwa ujinga walitumia Kauli hiyo wakaishia kupata UKIMWI, kupata mimba wasizokuwa wamezitarajia. Tena walioolewa au kuoa wakauleta UKIMWI nyumbani na kuiangamiza familia.
3. " Siwezi kujenga na kuishi kijijini Mimi" "Hivyo viwanja vipo mbali na mji"
Wengi wamejikuta wakizeeka pasipo kuwa na Nyumba za kuwastiri wao na watoto wao Kwa akili za kijinga jinga.
Hawakujua kuwa hata hapo wanapopaita Mjini palikuwa kijijini zamani, tena hapakuwa na Nyumba hata moja.
Hujikuta wakiishi maisha Yao Kwa taabu hasa umri ukiwa umeenda, mwishowe huwatesa watoto.
4. " Ngoja nikupe/niolewe naye nitambadilisha au atabadilika"
Wengi wamejikuta wakiyaharibu maisha Yao Kwa ujinga na upuuzi. Unakuta limwanamke ni kahaba, halina sehemu za siri, karibu wanaume wote WA mtaani wanamjua sehemu zake nyeti. Ati unamuoa alafu unahama mtaa, wewe si CHIZI tuu! Malaya hata umpeleke mbinguni ataleta umalaya wake Kwa Malaika. Hujiulizi Kwa nini Huko mbinguni hawataki Malaya, hujiulizi! Sehemu haimbadilishi mtu.
Mtu Kama anatabia mbaya achana naye, tafuta wenye tabia nzuri mbona wapo.
Au unakuta limwanaume haliheshimu wanawake, linazalisha hovyo, linapiga wanawake, linatukana tukana hovyo matusi ya aibu, alafu Kwa ujinga wako unaolewa nalo Kwa matarajio ya kumbadilisha, unaumwa wewe! Mtu kujibadilisha mwenyewe ni shughuli pevu sembuse wewe umbadilishe.
Ndio yake baadaye linatukana wazazi wako, ndugu zako, wengine wanafikia hatua ya kutoka na Dada yako au Mama yako.
Alafu unamlaumu, unalaumu nini wakati wewe ndio ulikuwa mjinga!
Acha Shetani waoane na mashetani.
Malaika waoane na Malaika!
Majini Kwa Majini
Walevi Kwa walevi
Malaya Kwa Malaya n.k.
5. " Acha Nile ujana, nitaolewa tuu"
Asilimia 90 ya wanawake ambao wanaumri wa miaka 30+ waliringa kuolewa na wanaume Fulani Kwa sababu kadha wa kadha!
Wengine walijiona bado wadogo, wakati mwanamke mwenye miaka 20 tuu tayari ni mtu mzima anaukaribia uzee. Akishafikisha 30 tayari keshaondoka kwenye soko.
Ujinga wa baadhi ya wanawake kufikiri Kama wanaume ndio inawagharimu leo hii. Huwezi kuhangaika kutafuta mchumba ukiwa umezeeka, labda utafuta mshirika wa kusogeza siku ziende.
Raha ya Mke umfaidi akiwa mbichi, mtoto bado ngozi inateleza bila hata Mafuta.
Sasa sijui Nani aliwadanganya dada zetu kutafuta kuolewa wakati Sura zao zikiwa zinadondoka chini, na ngozi zikiwa tepetepe!
Anyway!
6. "Pesa hainunui furaha"
Wanaume wenye mtazamo huu huishia kuumia na kugharamika maradufu. Huchukulia mambo rahisi. Hivyo hawawekezi nguvu zao kwenye utafutaji. Mwishowe huishia maisha ya kulalamika.
Mwanaume asipokuwa na pesa hawezi kuwa na nguvu ndani ya Nyumba, na hapa sisemi uwe na pesa nyingi Sana hapana, nazungumzia pesa inayokutosha wewe, Mkeo, na watoto.
Ukikosa hiyo basi Mkeo atakusumbua, asipokusumbua yeye basi Vijana wa mtaani watamsumbua, wasipomsumbua yeye basi watasumbua vibinti vyako vikiwa hata havijafika sekondari wataanza Kula embe na chumvi.
Uchunguzi wangu unaonyesha umasikini WA wasichana wengi husababisha kujiingiza katika mapenzi wakiwa wadogo Sana. Kwani hudanganywa na vijana wa mtaani Kama bodaboda, wauza magenge ya chipsi n.k.
Watoto wengu huiga maisha ya wazazi wao. Hupenda kuona kile unachowashauri wewe mwenyewe ulikifuata. Lakini ni watoto wachache Sana wanaofuata maneno ya wazazi pasipo kuangalia uhalisia wa wazazi.
Mtoto anakuwa inspired na Mzazi Kwa uhalisia sio maneno. Na ndio maana ukiwa hujasoma na Masikini ni rahisi Sana mtoto kuwa Masikini na asiwe na Elimu.
Halikadhalika ukiwa umesoma ni rahisi Sana mtoto kuwa kama Mzazi wake hata usipomwambia mtoto anataka kuwa kama Mzazi wake.
Ndio maana inashauriwa mtoto umwonyeshee matendo zaidi kuliko maneno.
Kama hujasoma na ni Masikini Taikon atakushauri ufanye utakavyoweza uoe msomi na mtu mwenye kipato cha kueleweka Kwa faida ya watoto. Vinginevyo utakuwa unapoteza muda. Ingawaje wapo Exceptional ambao ni wachache Mno, tena wachache Sana.
7. " Dini sio tatizo, kila mtu atakuwa na dini yake, ilimradi tunapendana"
Ukiona uliwahi fikiiria kitu Kama hiki ujue wewe ni mjinga wa kiwango cha juu kabisa. Wengi imewagharimu walipoamua kufuata mtazamo huu. Dini humfanya mtu kuwa na Imani Fulani, Imani huleta falsafa, falsafa huleta Mtazamo wa mtu juu ya Maisha. Kama watu mnatofautiana mtazamo mtawezaje kuishi pamoja, Kama sio kujidanganya.
8. " Kuoa single mother sio tatizo, Inategemea na Mwanamke mwenyewe"
Wengi imewagharimu, tena Sana. Wengi Hufanya hivyo Kwa hisia tuu, tena hisia za kitoto ambazo mtu mwenye akili iliyotulia hawezi kufanya hivyo.
Kuoa tuu mwanamke kama Mwanamke ambaye Hana mtoto na hata hajawahi kumjua mwanaume inatakiwa mwanaume ujishike, uwe umekomaa sembuse mwanamke ambaye ni single mother.
Huwa nawashauri Vijana wadogo ambao ndio Kwanza wanaingia kwenye ndoa, wasiingie ndoani na single mother bali Watafute wanawake WA level zao ambao nao hawajawahi kuolewa.
Single mother wawaachie single father, au Wazee waliofiwa na wake zao, au wastaafu au wanaume wanaotaka kuongeza mke WA pili au watatu kuendelea.
Kanuni ni Ileile!
Mchanga Kwa mchanga
Komavu Kwa komavu
Zee Kwa zee au kuukuu Kwa kuukuu!
Sio mwanaume mchanga achukue mwanamke mkuukuu hiyo ni kutafuta matatizo tuu!
9. " Ninatetea na kusaidia Masikini na wanaoonewa, Mungu atamlipa"
Wengi imewagharimu, hakuna malipo ya hivyo ndugu zangu. Maisha ya mwanadamu ni Kama maisha ya wanyama Porini. Wapo swala wanaoonewa na kila mnyama na kila mahali watakapoenda wataonewa tuu. Ndivyo ilivyo Kwa maisha yetu. Kuna watu wapo Kwa ajili ya kuonea wengine, na wapo waliopo Kwa ajili ya kuonea.
Ukijifanya mtetezi unakuwa kundi la watakaoumizwa.
Aliyeumba hii dunia aliweka hivyo, na ndiye mwenye uwezo wa kuondoa na sio wewe.
Niliwahi kusema; Kama tunataka tusioneana Kama Watanzania basi itatupasa tuvamia mataifa mengine ili tuyapekekea uonevu wetu huko. Yaani tupunguze uonevu ndani ya nchi yetu.
Lakini huwezi kuuondoa uonevu pasipo kujua mahali pa kuupeleka.
Huwezi kuondoa Giza hapa ukadhani limeondoka hapana ulichofanya ni kulihamisha Giza kutoka kwako na kukupeleka sehemu nyingine.
Hata Mungu aliuondoa Uovu na Shetani mbinguni na kuutupa/ kumtupa Duniani.
Huwezi kuondoa takataka alafu usijue pakuzitupa utaishia kuchafua zaidi.
Kama hujanielewa basi.
Taikon nipumzike sasa!
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Swadakta!4. " Ngoja nikupe/niolewe naye nitambadilisha au atabadilika"
Wengi wamejikuta wakiyaharibu maisha Yao Kwa ujinga na upuuzi. Unakuta limwanamke ni kahaba, halina sehemu za siri, karibu wanaume wote WA mtaani wanamjua sehemu zake nyeti. Ati unamuoa alafu unahama mtaa, wewe si CHIZI tuu! Malaya hata umpeleke mbinguni ataleta umalaya wake Kwa Malaika. Hujiulizi Kwa nini Huko mbinguni hawataki Malaya, hujiulizi! Sehemu haimbadilishi mtu.
Mtu Kama anatabia mbaya achana naye, tafuta wenye tabia nzuri mbona wapo.
Au unakuta limwanaume haliheshimu wanawake, linazalisha hovyo, linapiga wanawake, linatukana tukana hovyo matusi ya aibu, alafu Kwa ujinga wako unaolewa nalo Kwa matarajio ya kumbadilisha, unaumwa wewe! Mtu kujibadilisha mwenyewe ni shughuli pevu sembuse wewe umbadilishe.
Ndio yake baadaye linatukana wazazi wako, ndugu zako, wengine wanafikia hatua ya kutoka na Dada yako au Mama yako.
Alafu unamlaumu, unalaumu nini wakati wewe ndio ulikuwa mjinga!
Acha Shetani waoane na mashetani.
Malaika waoane na Malaika!
Majini Kwa Majini
Walevi Kwa walevi
Malaya Kwa Malaya n.k.
Kwa wale wasiopenda kusoma nyuzi refu najaribu kufupisha.
Mtoa mada anazungumzia mitazamo mbalimbali ambayo watu wakiwa nayo inaweza kuwagharimu maishani mwao.
Mitazamo hiyo huwakilishwa k2a njia ya maneno,na hayo maneno ni kama yafuatayo.
1. Kusoma sio kufanikiwa maisha(wanabeza elimu)
2. Uliona wapi pipi ikaliwa na maganda yake(wanahamaisha ngono zembe)
3. Siwezi kujenga na kuishi kijijini Mimi(wanabeza kununua maeneo maeneo ya mbali na mji)
4. Ngoja nikupe/niolewe naye nitambadilisha au atabadilika(wwnabeti kwenye ndoa)
5. Acha Nile ujanita nitaolewa tuu(wanakataa ndoa kwa kudhani wakiolewa hawatokula ujana)
6. Pesa hainunui furaha(wanajifariji kwa sababu hawana pesa au hawajazipata)
7.Dini sio tatizo(wanadhani dini haimati kwenye ndoa kumbe si kweli)
kila mtu atakuwa na dini yake, ilimradi tunapendana
8. Kuoa single mother sio tatizo, Inategemea na Mwanamke(wanajaribu kutia mkono gizani kuoa single mother)
9.. Ninatetea na kusaidia Masikini na wanaoonewa, Mungu atanilipa(sio kazi yako kutetea masikini ni kazi ya MMungu.
Ahsante babaangu yaan huyu anajifanyaga kana kwamba neno lake ni sheria ,kanikwaza kutuponda single mom akat tuna bahat zetu,maisha hayana formula muache abwabwaje
mimi napinga hyo ishue sijui mzazi kama hajasoma basi na watoto hawatasoma au kuwa maskini...
wazazi wangu hawakusoma kbsa na tumezaliwa watoto wa 5 ..nataka nkuambie mpka sasa wote tuna degree kasoro mmoja ana diploma.
siioni point kweny hicho kipengele lbda ungesema kuwa inategemea na akili ya mtu.
***********
KUOA SINGLE MOTHER
aisee nina jamaa yangu ameoa binti ambaye ana mtoto .
hivi navyozungumza wana miaka 7 kweny ndoa na hata siku moja sijawahi kuoa wametofautiana kiasi ch kujuta kuwa pamoja.
siamini kwny baadhi ya vipengele ulivyoainisha.
UMESEMA KILA MTU ANA KAUJINGA KAKE NO MATTER HOW PERFECT MTU ANA JI-POTRAY KWA JAMII...
NAAMINI WW KAUJINGA KAKO NI HAKA KUANDIKA VITU UKIWA VERY SURE AS IF U HAVE STUDIED THE HUMAN PHYCHOLOGY TO THE EXTENT OF EXPERTISE.
this is bull shit!!!
Mluu mimi naomba nijenge hoja katika hii kanuni ya "kilw mtu atapata wa kufanana nae"Kanuni inasema kila mtu atapata wa kufanana
Mluu mimi naomba nijenge hoja katika hii kanuni ya "kilw mtu atapata wa kufanana nae"
Neno kufanana ni neno pana ambalo hatutakiwi kulitafsiri kwa kulifinya hhata kidogo.
Kwa sababu neno kufanana upsna wake inaweza kuwa kufanana kiumri,
Inaweza kuwa kufanana kwa rangi
Inaweza kuwa kufanana kwa tabia
Inaweza kuwa kufanana kwa dini
Inaweza kuwa kufanana kwa idadi ya watoto mliokuwa nao
Inaweza kuwa kufanana kwa urefu.
Inaweza kuwa kufanana kwa unene.
Inaweza kuwa kufanana kwa hali za kipato.
Inaweza kuwa kufanana kwa makabila.
Inaweza kuwa kufanana kwa level za elimu
kufanana kwa idadi ya ndoa mlizowahi kufunga nakadhaalika.
Mkuu hizo zote hapo juu ni tafsiri zinazoingia kwenye neno kufanana.
So ni dhaahir kwamba utakapooa mtu ambaye mumefanana kwa jambo fulani maana yake kuna mambo mengi kinyume na hayo mtatofautina tu.
Mfano kijana ambae hajaoa anaoa mke ambaye hajawahi kuolewa kwa kudai tu anaoa mtu aliyefanana nae,
hapo huyu mtu katafuta mke anayefanana nae kwa mujibu wa idadi ya ndoa alizozipitia huko nyuma na akaona kwamba huyu hajawahia kuolewa kama yeye.
Lakini mbali ya kufanana hhuko hao watu kwa idadi ya ndoa za nyuma bila shaka watatofautiana kwa mambo mengine mengi
Mfano wa mambo ambayo wanaweza kutofautina ni hadhi ya familia,kipato,elimu,rangi,kimo,aina ya kazi,tabia n.k
Sasa kama hii fomula ingekuea inamata basi leo watu wasingeishi pamoja ama ingekuwa dunia yote ni taabu tupu kwa sababu hatufanani kwa yote na wala hatutofautiani kwa yote.
Nikirudi kwenye point yangu ni kwamba kuoa single mother sio tatizo kwa sababu huwenda mkatofautiana kwenye ishu ya idadi ya watoto
lakini mkafanana kwenye ishu ya tabia,kabila,levo ya elimu,hadhi ya familia na hayo mliyofanana yakawafanya muiishi vizuri kwenye ndoa kuliko hayo mliyotofautina.
why does it feel like you have taken everything so personally? By the way mimi sio muandishi wa huu uzi, nimecomment tu so I don't see why you had to reply to my comment specifically.
Try not taking everything for their literal meaning, same article can carry a different concept/understanding based on each reader's perception. So take a deep breath and relax, life is too short to take everything so serious. Uwe na mchana mwema ndugu.
Jee mwanaume akiwa na mtoto halafu Binti Hana mtoto hii Iko okeyUmenena sahihi!
Unapozungumzia ufanano hapo lazima watu waelekeane walau Kwa 70%
Sio tuu kisa dini moja ndio mmefanana.
Mpaka pawe na ufanano watu huangalia percentage kubwa ya ufanano ikizidi 70%-100 hao wanafanana
Ikiwa 40-60 wapo nusu Kwa nusu.
Nasisitiza zaidi, ikiwa kijana bado ni mdogo na ndio anataka kuingia kwenye ndoa afuate ushauri wangu, aoe kijana mwenzake ambaye Naye ni mdogo ambaye hajawahi kuolewa wala hajawahi kuzaa.
Siongei Kwa ubaya bali Kwa wema tuu.
Tena Kwa dunia ya sasa ushauri wangu ndio unanguvu zaidi na unapaswa kufuatwa Kwa sababu wanadamu wengi wameharibika.
Na Mwanamke Kama anamtoto ninamshauri atafute mume mkubwa na mwenye watoto kama yeye, au Mgane tena aliye na uwezo angalau.
Sio kuwapa Vijana wawatu shida na misongo ya mawazo
mwenzako kapanic aisee, yuko deepwhy does it feel like you have taken everything so personally? By the way mimi sio muandishi wa huu uzi, nimecomment tu so I don't see why you had to reply to my comment specifically.
Try not taking everything for their literal meaning, same article can carry a different concept/understanding based on each reader's perception. So take a deep breath and relax, life is too short to take everything so serious. Uwe na mchana mwema ndugu.