johnhance
JF-Expert Member
- Jul 9, 2016
- 1,769
- 2,131
karma is a bitch, kamfata Azori na BenPainfully
View attachment 1729106
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
karma is a bitch, kamfata Azori na BenPainfully
View attachment 1729106
Kwa hiyo alitaka aishi milele. Idiot kabisa huyo mrasta.Afande amemlaumu sana Mungu kwa kutuonea waAfrica.
Ameshauri watanzania na waAfrica kuachana na dini za wazungu tuamini mizimu yetu na jua.
Amesema hayo akishangaa kwa nini Mungu aliyepewa kipaumbele na JPM ameshindwa kumlinda na husda za wazungu mpaka wakafanikiwa kumuondoa.
Jamani Corona ipo. Chukueni hatua hamtaki.Kwa Magu hata mimi imeniuma sana.. akili yangu inahisi ameuwawa kwa biological weapon.
Usalama wa taifa wamezidiwa ujanja na wazungu.
Najiuliza why yeye na msaidizi wake kijazi wafariki ndani ya muda mfupi kwa ugonjwa mmoja.. nahisi mtego waliotegwa na wakanasa ulikuwa unaenda kuvunja moyo kufanya kazi.. sitashangaa akifa mwingine kwa moyo tena
Msitafute mchawi.Michezo ya kikubwa hiyo uwezi elewa. Wenyewe wanaita kufix yani unatafutiwa angle yako weak unamalizwa umo umo
huijui dunia wewe kaa kimya, endelea kuzunguka mitaani na bendera la chademaCha msingi sayansi haiongopi.
Mnaambiwa mkiwa kwenye mikusanyiko mvae barakoa mnaleta ubishi na kuwasimanga viongozi wa dini wanaotoa angalizo.
Sasa mzee ameleta imani za kinjekitile kwenye Corona ameenda na maji alafu mvuta bange mmoja anakuja kulia-lia eti wazungu wamemuua.
Sayansi haiongopi.
Watanzania tumejengwa kwenye msingi ya uongo na lawama hata kama wazungu wame play part kwenye kifo chake yeye pia aliyataka kwa kauli zake na kuji expose wakati ana fahamu hali yake kiafya hakutakiwa kufanya yale aliyo kua ana fanyahuijui dunia wewe kaa kimya, endelea kuzunguka mitaani na bendera la chadema
hongera zako wewe unayeishi maisha sahihi.Watanzania tumejengwa kwenye msingi ya uongo na lawama hata kama wazungu wame play part kwenye kifo chake yeye pia aliyataka kwa kauli zake na kuji expose wakati ana fahamu hali yake kiafya hakutakiwa kufanya yale aliyo kua ana fanya
Mataga dunia mnaijua nyie mnaoishi kama kinjekitile karne hii ya 21.huijui dunia wewe kaa kimya, endelea kuzunguka mitaani na bendera la chadema
endelea kukalia dyudyu za kina mbowe achana na mimiMataga dunia mnaijua nyie mnaoishi kama kinjekitile karne hii ya 21.
Haya leo mzee wenu kafa kwa korona baada ya kudharau sayansi nyie vibendera mlikua mnakenua alivyokua anadharau njia za kisayansi.
By the way nyie wajane mnatakiwa mchukue tahadhari za kisayansi na muache mihemko.
Kwa hiyo kisukari,presha,Malaria,Homa za ini na Ukimwi vimeacha kuua.Hizi ndio akili fupi fupi za watanzania walizopandikiziwa na Magufuli. Wao kila wakipata baya wanawaza kuwa wazungu ndio wamewaletea.
Sote tunajua Corona kwa sasa ndio inayouwa watu kirahisi sana. Wataalamu wamesema tuchukue tahadhari zote muhimu, Magufuli yeye anasema hakuna haja sana ya kuchukua tahadhari maana Tanzania hakuna Corona! Alikuwa anasema tujifukize na kunywa zile togwa za waganga wa kienyeji.
Haya sasa Corona imemtandika fresh na kumuua, nani tumlaumu?
Mbona hata suruali umeletewa vua uvae kibwaya!Yani wewe huamini kama dini umeletewa?
Wewe unafikiri tungetawaliwa na wachina bado kungekuwa na ukristo na uislam? maybe sasa hivi wote tungekuwa buddha.
Afande apunguze matumizi ya mmeaAfande amemlaumu sana Mungu kwa kutuonea waAfrica.
Ameshauri watanzania na waAfrica kuachana na dini za wazungu tuamini mizimu yetu na jua.
Amesema hayo akishangaa kwa nini Mungu aliyepewa kipaumbele na JPM ameshindwa kumlinda na husda za wazungu mpaka wakafanikiwa kumuondoa.
Unayo hoja mkuu binadam n wa ajabu Sana je yasirini wanayajua ?Akili za Mungu si kama za mwanadamu yeye anazichunguza nafsi zetu mwangani hadi gizani je mnayajua matendo ya gizani ya marehemu?
Dini tumeletewa ni ukweli ambao hauitaji ligi. Sisi dini zetu za asili ni matambiko na mizimu.Mbona hata suruali umeletewa vua uvae kibwaya!
Mchina alikuja na nani?Hilo halina ubishi mkuu.