Ujumbe wa Tundu Lissu kuhusu Hayati Ally Hassan Mwinyi

Ujumbe wa Tundu Lissu kuhusu Hayati Ally Hassan Mwinyi

Mimi nimeiuliza AI na jibu lake hilo. Hakuna kosa hapo.
 

Attachments

  • IMG_1595.jpeg
    IMG_1595.jpeg
    215.8 KB · Views: 1
Hivi ndivyo alivyoandika kwa ufupi

Toa Maoni yako .

View attachment 2923057

"President Ali Hassan Mwinyi, who died on Thursday & was laid to rest yesterday was a kindly man. When I was gunned down in Sep. '17 & rushed to Nairobi for treatment, Mzee Mwinyi and Mama Sitti came to The Nairobi Hospital to wish me speedy recovery. May he Rest in Eternal Peace!" - Tundu Lissu
Mzee was a good man
 
...was a kindly man...
Sometime auto typing zinazingua kusoma ujumbe ulioandika kabla hujaupost nimuhimu.. Kind man kama tulivyozoea so auto type ukachange kuja ''Kindly'' ila Ukishaambiwa Mwanasheri a Msomi basi kabla hujakosoa kacheki kwenye dictionary kwanza... Nyerere alitamka neno kuhusu Mrema ni watu wakasema Nyerere kmtusi Mrema kuwa ni Fisi. Nyerere alikuja akalitolea tafsiri nzuri tu from English to Swahili watu wakaelewa.
 
Walimu wa kingereza bado mna kazi kubwa sana, katika lugha maneno yanaweza kuchezeshwa kwa kanuni mbalimbali za ujenzi wa maneno na yakaleta maana ile ile, acheni kufundisha wanafunzi kukariri.Watu wazima wanatia aibu kwenye comments kwa kubisha vitu vilivyowazi kabisa.

Lugha sio π
Uko sahihi
 
Nadhani wazanzibari Wana moyo tofauti na wabara. Huku bara tulikiwa na rais mwenye moyo wa kishetani kwelikweli.

Yaani alimpiga risasi Lisu halafu akakataza:-
1. Watu kumchangia damu.
2. Watu kumchangia fedha.
3. Watu kuvaa Tshirts za kumtakia uponaji wa haraka.
4. Wanaccm kwenda kumuona hospitali.
5. Akamtumia Ndugai amnyime hela za matibabu.
6. Akamtumia Ndugai amfute ubunge Lisu.

Magufuli was a Satan in human face.

Afe tena huko aliko.
Lakini ndio auze loliondo kwa kuwa yeye ni Mzanzibari
 
Kama Kuna anayemjua adui wa Nyerere/Mwinyi atujuze.
Au Kama Kuna mtu alishawahi kudhulumiwa na Nyerere/Mwinyi naomba tumjue.
Naweka nukta.
Waulize wamasai wa loliondo watakujibu
 
Acha Kudanganya watu Pascal kwa kuandika maneno meeengi ili yaonekane ni kweli.
 
Kuanzia wewe ukoo wako wote walimu wote walokufundisha hakuna hata mmoja mwenye uwezo wa kusahihisha grammar ya kingreza Cha Lissu tena ukome
Kwani wewe lisu anakupumulia nini mbona umeshupaza mat*ko sana
 
Was a kindly man❌
Was a kind man✅

huwa nasisitiza watu watumie tu Kiswahili siyo dhambi.
Both sentences are grammatically correct, but they convey slightly different nuances:

1. "Was a kindly man" suggests that the person in question behaved kindly or with kindness.
2. "Was a kind man" simply states that the person was inherently kind by nature.

Both are valid depending on what you want to emphasize about the individual.
 
Nadhani wazanzibari Wana moyo tofauti na wabara. Huku bara tulikiwa na rais mwenye moyo wa kishetani kwelikweli.
Sio kweli.

Vifo vya Robert Mzungu??
na Makatta nani alizima uchunguzi...Transparency

Damu zoa zimo mikononi mwake.

Wakati waganda wakiangamizwa na Kony kule Uganda-

Rais mwinyi aliviondoa vikosi vya maJeshi ya Tz vilivyokuwa vikisaidia majeshi ya Uganda katika mafunzo na mbinu zingine za kivita, kulikopeleka mauaji ya kikatili ya Joseph Kony kutokea.

Taarifa hizi huzisikii na zipo.

Sio hivyo tu, vita vya maziwa makuu yalianza wakati wa kipindi chake. Ameandika mwenyewe kuwa kilikuwa kipindi kigumu kwake, kwani alikuwa na nafasi ya kuzima mauaji ya kimbari Rwanda.

Hakufanya hivyo.

Inasadikika makontena yale ya mapanga yalipita Bandari ya DSM under his watch.

Damu za wa Rwanda zimo mikononi mwake.

Ingali ukitafakari hayo, Mwendazake Ali Hassan Mwinyi, wakati wale Mujahedeen wa Sudan wakiwaangamiza watu wa Sudan kusini, alisuasua kuwasogezea Usaidizi makundi kama ya SPLA na kupeleka Operesheni za kumtwanga Mwarabu wa Sudan, kuchelewa na kupeleka mauji mengine huko.

Damu za Wasudani zimo mikononi mwake.

Itoshe kusema, hakuwa ana roho ya umalikia kama unavyotaka kuaminisha kadamnasi.

Vilevile hakuwa Mzanzibari, ila tu kama unataka kusema alikuwa "Mwislamu' kitu ambacho ni hatari na kinaweza kujenga uhasama, kama ulivyotumia matamshi yako hapa, basi sawa

Yaani hisia zako, vinyongo vyako vya kibinafsi ndivyo vilivyo kupeleka kuhara Chuki.
 
Huyo jamaa hakuwa MTU mzuri alijisahau akaanza kushikilia madaraka badala ya kushikilia hekima na angeshikilia hekima asingekufa angeishi hadi miaka sabini ya biblia
Wewe ndio MUNGU unapanga na umri wa kuishi watu
Mbona umeshindwa kuzuia vifo vya ndugu zako.
 
Mkuu Sexless , unless una uthibitisho, na ushahidi.
Japo JPM hakuwa malaika, ila pia hakuwa shetani ndio maana amekwenda peponi, na hivi tunavyozungumza hapa, yuko mbinguni kwa Baba yake!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

Kwa sisi Wakristo, tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo, hivyo kwa mujibu wa sheria ya karma, mtu hata ukitenda maovu kiasi gani, ukaja kutenda mema mengi kuliko yale maovu, unaingia peponi!. "The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!

Magufuli pamoja na uovu wake wote wa mwanzoni, baadae ilikuja kubadilika na kuwa mwema kama malaika by the time anatwaliwa, he was a saint!.

P


Hii sio kweli, ni kweli Magufuli amekwenda peponi straight, ila pia amerejea duniani kwa proxy, hivyo matokeo ya uchaguzi Mkuu wa 2025 yatakuwa kama yale ya 2020!. Nikimwangalia Makonda, mambo anayoyafanya namuona kama Magufuli
P
Aisee unachosha akili zetu
Jaribu kuwa mkweli ili sisi watoto wa millenia tusikuporomeshee matusi
Tumekuwa tu ghafla bin vuu tumekutana na Lissu attempted assassination
Ben who critise his intellectual disappear
Hold your horses au tutashindwa kukuvumilia, maisha yanaenda kasi, hizi ni enzi zetu, na nyinyi mlishapita, lakini tunaheshimu free speech..................
 
Back
Top Bottom