dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
Kwa hiyo sio Kiingereza ni Kisukuma?(Especially old-fashioned or literary)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo sio Kiingereza ni Kisukuma?(Especially old-fashioned or literary)
Aiseeeee !!Nyerere alimdhulumu classmate wake aitwae Julius Mwasanyagi.
Aliamuru akamatwe na kurudishwa kijijini kwao Malangali
Ohooooooo !!
Unafikiri Kati ya watu million ambao wanakujua wewe perception zao towards you wote zitakuwa sawa?Na perceptions za watu towards you have big influence on your life or after!
I have studied language. Not here in Tz . When i was there with the native speakers and language experts in the UK. I insist the correct word was a kind person. But only if you want to learn.otherwise i will just say. You are right to think he is right.Kwa hiyo sio Kiingereza ni Kisukuma?
... What matters is the proportion! If the proportion is significant it will have influence.Unafikiri Kati ya watu million ambao wanakujua wewe perception zao towards you wote zitakuwa sawa?
You are wrong to think he is wrong.I have studied language. Not here in Tz . When i was there with the native speakers and language experts in the UK. I insist the correct word was a kind person. But only if you want to learn.otherwise i will just say. You are right to think he is right.
Great. I concur with you.You are wrong to think he is wrong.
Case closed.Great. I concur with you.
Hivi utu wema ni mpaka mtu awe mfuasi wa dini fulani?Huyu mzee dini ilimshiba moyoni. Ni wanasiasa wachache wanaojielewa na kujua kwanini wameumbwa
Anadumisha Mila
Na wenye dini sasa ndio Vihiyo wengi.Hivi utu wema ni mpaka mtu awe mfuasi wa dini fulani?
Kwamba binadamu hawezi kuwa na Maadili pasipo dini?
Jamaa umekomaa kama vile unalipwaI have studied language. Not here in Tz . When i was there with the native speakers and language experts in the UK. I insist the correct word was a kind person. But only if you want to learn.otherwise i will just say. You are right to think he is right.
😆😆😆😆😆Case closed.
Magufuri alivyo sasa huko kuzimuLife tena huko liliko na liungue moto mkali
Liko hivi:
Muulize Mwendazake Mzee Ali Mwinyi.Hivi ccm iliokota wapi mtu wa namna ile ?
Samia alienda kwenye Mkutano Nairobi , akasutwa na Viongozi wa nchi nyingine , ndio akaona achepuke hospitali ili kuua soo .
Nauli zao? Mmesahahu wamekuwa wakilipwa posho zao kwa mgongo wa walipa kodi Tanzania.Mzee Mwinyi na Mkewe walitoka moja kwa moja Tz kwa nauli zao kwenda Kenya kumuona Lissu tu .
Mbna Lissu yuko sawaHicho kizungu kimenyoka vizuri !!Ukiwa na akiili za UVCCM huwezi kuelewa haraka
Sijui ni mungu gani huyo, lakini kama ndie huyuhuyu waliyekuwa wakimnyooshea viganja juu pale makaburini, basi ukumbuke pia ndie huyu huyu anaye watetea Wamasai wa Loliondo.Furaha yetu ni kwamba Mungu amelitanguliza kabla halijaleta madhara zaidi