Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #241
Kumbe umekuja na matusi , basi endeleaMuulize aliuwa watoto wangapi kwa Livyokuwa anapiga punyeto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe umekuja na matusi , basi endeleaMuulize aliuwa watoto wangapi kwa Livyokuwa anapiga punyeto
Kwani hilo tusiKumbe umekuja na matusi , basi endelea
Asante sana kiongozi, umenijengaSometime auto typing zinazingua kusoma ujumbe ulioandika kabla hujaupost nimuhimu.. Kind man kama tulivyozoea so auto type ukachange kuja ''Kindly'' ila Ukishaambiwa Mwanasheri a Msomi basi kabla hujakosoa kacheki kwenye dictionary kwanza... Nyerere alitamka neno kuhusu Mrema ni watu wakasema Nyerere kmtusi Mrema kuwa ni Fisi. Nyerere alikuja akalitolea tafsiri nzuri tu from English to Swahili watu wakaelewa.
Video: Tundu Lissu amshukuru Rais Magufulu
View: https://m.youtube.com/watch?v=ezUp-4sPjoA&pp=ygUvdmlkZW86IFR1bmR1IGxpc3N1IGFtdHVtaWEgc2FsYW11IHJhaXMgbWFndWZ1bGk%3D
🤣🤣🤣Nadhani wazanzibari Wana moyo tofauti na wabara. Huku bara tulikiwa na rais mwenye moyo wa kishetani kwelikweli.
Yaani alimpiga risasi Lisu halafu akakataza:-
1. Watu kumchangia damu.
2. Watu kumchangia fedha.
3. Watu kuvaa Tshirts za kumtakia uponaji wa haraka.
4. Wanaccm kwenda kumuona hospitali.
5. Akamtumia Ndugai amnyime hela za matibabu.
6. Akamtumia Ndugai amfute ubunge Lisu.
Magufuli was a Satan in human face.
Afe tena huko aliko.
daaah nimecheka kinyonge ,Ndo amekizohofisha chama chetu CHADEMANadhani wazanzibari Wana moyo tofauti na wabara. Huku bara tulikiwa na rais mwenye moyo wa kishetani kwelikweli.
Yaani alimpiga risasi Lisu halafu akakataza:-
1. Watu kumchangia damu.
2. Watu kumchangia fedha.
3. Watu kuvaa Tshirts za kumtakia uponaji wa haraka.
4. Wanaccm kwenda kumuona hospitali.
5. Akamtumia Ndugai amnyime hela za matibabu.
6. Akamtumia Ndugai amfute ubunge Lisu.
Magufuli was a Satan in human face.
Afe tena huko aliko.
Inategemea ameikusudia hadhira gani? ya ndani au ya nje!Lissu angeandika kiswahili tuh
Kwahiyo asingekwenda kumuona asingekua KINDLY MAN?Hivi ndivyo alivyoandika kwa ufupi
Toa Maoni yako .
View attachment 2923057
"President Ali Hassan Mwinyi, who died on Thursday & was laid to rest yesterday was a kindly man. When I was gunned down in Sep. '17 & rushed to Nairobi for treatment, Mzee Mwinyi and Mama Sitti came to The Nairobi Hospital to wish me speedy recovery. May he Rest in Eternal Peace!" - Tundu Lissu
Muhimu sana lile shetani la Chato limetanguliaSijui ni mungu gani huyo, lakini kama ndie huyuhuyu waliyekuwa wakimnyooshea viganja juu pale makaburini, basi ukumbuke pia ndie huyu huyu anaye watetea Wamasai wa Loliondo.
Aliyekufa kibwege ni Magufuli tu.Kama Baba yako alivyokufa mdomo wazi
Lile shetani lenu la Chato lilikuwa haliishi kuomba kuombewa kila linapohutubiaAcha unafaki aliongea wapi lete ushahidi hapa
Matusi ndo legacy alokuachieni MaguKwani wewe lisu anakupumulia nini mbona umeshupaza mat*ko sana
Chuki chuki chuki.Sio kweli.
Vifo vya Robert Mzungu??
na Makatta nani alizima uchunguzi...Transparency
Damu zoa zimo mikononi mwake.
Wakati waganda wakiangamizwa na Kony kule Uganda-
Rais mwinyi aliviondoa vikosi vya maJeshi ya Tz vilivyokuwa vikisaidia majeshi ya Uganda katika mafunzo na mbinu zingine za kivita, kulikopeleka mauaji ya kikatili ya Joseph Kony kutokea.
Taarifa hizi huzisikii na zipo.
Sio hivyo tu, vita vya maziwa makuu yalianza wakati wa kipindi chake. Ameandika mwenyewe kuwa kilikuwa kipindi kigumu kwake, kwani alikuwa na nafasi ya kuzima mauaji ya kimbari Rwanda.
Hakufanya hivyo.
Inasadikika makontena yale ya mapanga yalipita Bandari ya DSM under his watch.
Damu za wa Rwanda zimo mikononi mwake.
Ingali ukitafakari hayo, Mwendazake Ali Hassan Mwinyi, wakati wale Mujahedeen wa Sudan wakiwaangamiza watu wa Sudan kusini, alisuasua kuwasogezea Usaidizi makundi kama ya SPLA na kupeleka Operesheni za kumtwanga Mwarabu wa Sudan, kuchelewa na kupeleka mauji mengine huko.
Damu za Wasudani zimo mikononi mwake.
Itoshe kusema, hakuwa ana roho ya umalikia kama unavyotaka kuaminisha kadamnasi.
Vilevile hakuwa Mzanzibari, ila tu kama unataka kusema alikuwa "Mwislamu' kitu ambacho ni hatari na kinaweza kujenga uhasama, kama ulivyotumia matamshi yako hapa, basi sawa
Yaani hisia zako, vinyongo vyako vya kibinafsi ndivyo vilivyo kupeleka kuhara Chuki.
Kifo cha mapema cha Magu kilichochangiwa pia na roho yake mbaya isiyo na utuWewe ndio MUNGU unapanga na umri wa kuishi watu
Mbona umeshindwa kuzuia vifo vya ndugu zako.
Hivi vifaa vyetu tunavyo vitumia, wakati mwingine vinatuangusha. Inabidi kuwa makini sana kuhakikisha neno nililokusudia kuliandika, ndilo lililoandikika!Jiwe alitamani kumvuruga Mzee Ruksa kwa nini aende kumuona Lisu ....Saa 100 pia alienda....Amb Sikoine alienda Belgium weeee....akarudishwa faster...ngumbani
Mzee Umempa udhuru mzee Mwinyi kwa kuwa kwake chama cha wadhulumati? Unajua hilo lichama kuwepo mule yahtaji uwe katili? Mimi ikifikia tu kuwa alikuwa mwanaccm naona nisisifie sana, hata Mwalimu JKN huwa nawashangaa baadhi yenu makada wa CDM hamumgusi isipokuwa TL pekee, inawezekana vipi mwalimu kutazama Chama kinapora mali za waTanganyika na kujimilikishia kisha yeye asiwe na kosa? Anyway Mola wake amsamehe, hata wewe Pascal Mayalla huwa nakupa vyeo, nikikumbuka usaliti wako juu ya mzee wako kwa ile dhulma aliyofanyiwa na hilo lichama nakuvua mavyeo yosyeeeHata kama wapo ila hawezi kuwa Husein ambaye aliingia madarakani baada ya mauaji ya kutisha Pemba akishirikiana na Jiwe
Supposed he could not come to hospital then ,would you have the same thinking about Mzee Mwinyi?Hivi ndivyo alivyoandika kwa ufupi
Toa Maoni yako .
View attachment 2923057
"President Ali Hassan Mwinyi, who died on Thursday & was laid to rest yesterday was a kindly man. When I was gunned down in Sep. '17 & rushed to Nairobi for treatment, Mzee Mwinyi and Mama Sitti came to The Nairobi Hospital to wish me speedy recovery. May he Rest in Eternal Peace!" - Tundu Lissu
Na Mwendazake Ali Hassan alikufaje? Pwa, wadudu wameanza kudonoa donoa mule.Aliyekufa kibwege ni Magufuli tu.