Ujumbe wa Tundu Lissu kuhusu Hayati Ally Hassan Mwinyi

Ujumbe wa Tundu Lissu kuhusu Hayati Ally Hassan Mwinyi

Nadhani wazanzibari Wana moyo tofauti na wabara. Huku bara tulikiwa na rais mwenye moyo wa kishetani kwelikweli.

Yaani alimpiga risasi Lisu halafu akakataza:-
1. Watu kumchangia damu.
2. Watu kumchangia fedha.
3. Watu kuvaa Tshirts za kumtakia uponaji wa haraka.
4. Wanaccm kwenda kumuona hospitali.
5. Akamtumia Ndugai amnyime hela za matibabu.
6. Akamtumia Ndugai amfute ubunge Lisu.

Magufuli was a Satan in human face.

Afe tena huko aliko.
7.alijiita mungu
 
Google ni sehemu ambayo kuna taka na mali. Inatakiwa uwe na akili kujua ipi taka ipi mali.
Google is an accredited source of knowledge. Kweye google you visit the accredited original source of the information. Mfano: Mayo Clinic, you google it and you see information in there. Do you doubt what is contained in Mayo Clinic?
 
Kila mtu atakufa kibwege mbona hata lisu alipigwa risasi kibwege ambazo zilikuwa zinamchagua yeye tu dereva zinamuacha?
Who was the target? Utakuwa umesoma Kayumba and thereafter to extended high school!
 
Hahahaha,sure..Kama mwanasheria ngeli ndiyo hiyo,kazi ipo

Nimeamini, kumbe watu wengi hamjui English. Hapo Lisu ameandika English safi kabisa. Wasiojua wanaona Lisu kakosea.

Jamani, jielimisheni. Kuishi kwa kukariri ndiyo kunaleta hii aibu ya asiyejua kumkosoa anayejua.

Mwinyi was a kindly person, maana yake ni tofauti na mtu akisema, Mwinyi was a kind person. Kindly person ni zaidi ya kind person, ni zaidi ya very kind person.
 
Mwinyi was a kindly man, oh! Wow he was equally kind to the maasai? This bullshit man was toxic to the loliondo community, ameondoka na mikosi na laana zake
Acha ujinga hakuna binadamu mkamilifu. Relative to others, yes, he was a kind man.
 
Nimeamini, kumbe watu wengi hamjui English. Hapo Lisu ameandika English safi kabisa. Wasiojua wanaona Lisu kakosea.

Jamani, jielimisheni. Kuishi kwa kukariri ndiyo kunaleta hii aibu ya asiyejua kumkosoa anayejua.

Mwinyi was a kindly person, maana yake ni tofauti na mtu akisema, Mwinyi was a kind person. Kindly person ni zaidi ya kind person, ni zaidi ya very kind person.
 
Hivi ndivyo alivyoandika kwa ufupi

Toa Maoni yako .

View attachment 2923057

"President Ali Hassan Mwinyi, who died on Thursday & was laid to rest yesterday was a kindly man. When I was gunned down in Sep. '17 & rushed to Nairobi for treatment, Mzee Mwinyi and Mama Sitti came to The Nairobi Hospital to wish me speedy recovery. May he Rest in Eternal Peace!" - Tundu Lissu
Ni jambo zuri,lakini haitaondoa ukweli kwamba huyu mzee, na Marais wenzake, walikuwa majizi, Sana, wamejitajirisha kwa Mali haramu Sana, wameua Sana, wameifisadi Sana hii nchi,
 
Back
Top Bottom