Ujumbe wa Tundu Lissu kuhusu Hayati Ally Hassan Mwinyi

Jamaa ana roho mbaya kuliko shetani mwenyewe
 
Mwenyezi Mungu akakataa katakata Lissu asife akaamua kuliua lenyewe sheitwani baradhuli eti linajiita Jiwe au Kichaa! Liendelee kuungua milele na milele huko Jehanamu!
Hahaaahaha sipati picha jinsia anavoteseka kwa ziwa la moto
 
Tatizo hujui kuwa JPM alikuwa nani. Kwa upuuzi wako utamuona shetani. TAL alijitakia mwenyewe na alistahili alichokipata
Ndio jpm ni zaidi ya shetani katili roho mbaya aliingilia kazi ya Mungu na hasira za mola zilamuondoa kwa namna ya kizembe sana kimya kimya
 
Labda kama Mungu ni Msukuma jiwe ataenda peponi lakin kama Mungu wetu sote basi jiwe kwake ni motoni jehanam
 
Hata makazini hawa jamaa nadra sana kuwa na wivu na fitna. Ni watu open sana na very helpful
 
Huko kaburini lilimo litakuwa linapitia mateso makubwa sana. Litaungua moto wa milele na milele. Amina.
Ndio maana walikuwa wakiomba dua Mwendazake Ali H. Mwinyi apunguziwe mateso kaburini? Kumbe

 
Binafsi natumaini yeye tayari moto wake keshaukwaa
 
Ndio maana walikuwa wakiomba dua Mwendazake Ali H. Mwinyi apunguziwe mateso kaburini? Kumbe

Yes. Lilienda kwa Mwinyi aliombee msamaha kwa Mungu lipunguziwe adhabu huko Chato linamoozea kaburini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…