ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
Jamaa ana roho mbaya kuliko shetani mwenyeweNadhani wazanzibari Wana moyo tofauti na wabara. Huku bara tulikiwa na rais mwenye moyo wa kishetani kwelikweli.
Yaani alimpiga risasi Lisu halafu akakataza:-
1. Watu kumchangia damu.
2. Watu kumchangia fedha.
3. Watu kuvaa Tshirts za kumtakia uponaji wa haraka.
4. Wanaccm kwenda kumuona hospitali.
5. Akamtumia Ndugai amnyime hela za matibabu.
6. Akamtumia Ndugai amfute ubunge Lisu.
Magufuli was a Satan in human face.
Afe tena huko aliko.
Hahaaahaha sipati picha jinsia anavoteseka kwa ziwa la motoMwenyezi Mungu akakataa katakata Lissu asife akaamua kuliua lenyewe sheitwani baradhuli eti linajiita Jiwe au Kichaa! Liendelee kuungua milele na milele huko Jehanamu!
Sasa ikawaje kazikwa ungujaNi kweli mzee mwinyi ni mmoja wa watu waliojaaliwa moyo wa kiutu.
Lakini mzee mwinyi sio Mzanzibari.
Mwinyi, ameacha mwanaye damu za watu Zanzibar, zilimwagwa ili apewe Urais.Huyu mzee dini ilimshiba moyoni. Ni wanasiasa wachache wanaojielewa na kujua kwanini wameumbwa
Hiyo watajua wenyewe lakini ni jambo lipo wazi yeye ni mtu wa mkuranga.Sasa ikawaje kazikwa unguja
Ndio jpm ni zaidi ya shetani katili roho mbaya aliingilia kazi ya Mungu na hasira za mola zilamuondoa kwa namna ya kizembe sana kimya kimyaTatizo hujui kuwa JPM alikuwa nani. Kwa upuuzi wako utamuona shetani. TAL alijitakia mwenyewe na alistahili alichokipata
Labda kama Mungu ni Msukuma jiwe ataenda peponi lakin kama Mungu wetu sote basi jiwe kwake ni motoni jehanamMkuu Sexless , unless una uthibitisho, na ushahidi.
Japo JPM hakuwa malaika, ila pia hakuwa shetani ndio maana amekwenda peponi, na hivi tunavyozungumza hapa, yuko mbinguni kwa Baba yake!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
Kwa sisi Wakristo, tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo, hivyo kwa mujibu wa sheria ya karma, mtu hata ukitenda maovu kiasi gani, ukaja kutenda mema mengi kuliko yale maovu, unaingia peponi!. "The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!
Magufuli pamoja na uovu wake wote wa mwanzoni, baadae ilikuja kubadilika na kuwa mwema kama malaika by the time anatwaliwa, he was a saint!.
P
Kunywa maji ulale kwanza!Ndio jpm ni zaidi ya shetani katili roho mbaya aliingilia kazi ya Mungu na hasira za mola zilamuondoa kwa namna ya kizembe sana kimya kimya
Hata makazini hawa jamaa nadra sana kuwa na wivu na fitna. Ni watu open sana na very helpfulNimesoma masters darasa la watu 25, wazazibar walikuwa 8. Niligundua hawa watu wanaroho nzuri kuliko sisi watanganyika. Umbaya wanaofanyiana ni sababu ya ushawishi wetu. Simchuki JPM kama binadamu lakini kwa unyama wake aliokuwa nao Wazanzibar hawawezi kuukubali utawala wake kwa vyovyote kama sisi hata mama mwenyewe.
DuuuuuhLabda kama Mungu ni Msukuma jiwe ataenda peponi lakin kama Mungu wetu sote basi jiwe kwake ni motoni jehanam
Kushinda huyu?Jiwe alikuwa hatari kwa Taifa
Ndio maana walikuwa wakiomba dua Mwendazake Ali H. Mwinyi apunguziwe mateso kaburini? KumbeHuko kaburini lilimo litakuwa linapitia mateso makubwa sana. Litaungua moto wa milele na milele. Amina.
Binafsi natumaini yeye tayari moto wake keshaukwaaNadhani wazanzibari Wana moyo tofauti na wabara. Huku bara tulikiwa na rais mwenye moyo wa kishetani kwelikweli.
Yaani alimpiga risasi Lisu halafu akakataza:-
1. Watu kumchangia damu.
2. Watu kumchangia fedha.
3. Watu kuvaa Tshirts za kumtakia uponaji wa haraka.
4. Wanaccm kwenda kumuona hospitali.
5. Akamtumia Ndugai amnyime hela za matibabu.
6. Akamtumia Ndugai amfute ubunge Lisu.
Magufuli was a Satan in human face.
Afe tena huko aliko.
Yes. Lilienda kwa Mwinyi aliombee msamaha kwa Mungu lipunguziwe adhabu huko Chato linamoozea kaburini.Ndio maana walikuwa wakiomba dua Mwendazake Ali H. Mwinyi apunguziwe mateso kaburini? Kumbe
Astaghafillullah !!Yes. Lilienda kwa Mwinyi aliombee msamaha kwa Mungu lipunguxiwe adhabu huko Chato linamoozea kaburini.
Jiwe alikuwa shetani na nusu, ndiyo maana Mungu akaingilia kati maana bila hivyo sijui kama nchi tungekuwa wapiKushinda huyu?
Hata wewe fresh tuUlitaka zikupige wewe, akili kama za Jiwe
Kwani mulitaka kumuua na dereva?Kila mtu atakufa kibwege mbona hata lisu alipigwa risasi kibwege ambazo zilikuwa zinamchagua yeye tu dereva zinamuacha?
Kwani mulitaka kumuua na dereva?Kila mtu atakufa kibwege mbona hata lisu alipigwa risasi kibwege ambazo zilikuwa zinamchagua yeye tu dereva zinamuacha?