Tajiri mkopeshaji
JF-Expert Member
- Dec 24, 2022
- 613
- 1,445
7.alijiita munguNadhani wazanzibari Wana moyo tofauti na wabara. Huku bara tulikiwa na rais mwenye moyo wa kishetani kwelikweli.
Yaani alimpiga risasi Lisu halafu akakataza:-
1. Watu kumchangia damu.
2. Watu kumchangia fedha.
3. Watu kuvaa Tshirts za kumtakia uponaji wa haraka.
4. Wanaccm kwenda kumuona hospitali.
5. Akamtumia Ndugai amnyime hela za matibabu.
6. Akamtumia Ndugai amfute ubunge Lisu.
Magufuli was a Satan in human face.
Afe tena huko aliko.
Kina nani?Kwani mulitaka kumuua na dereva?
Wewe na wauaji wenzakoKina nani?
Nadhani huyo ni mwendazake bila shaka
najua hiyo..kindly man ndiyo imekuchanganya. FYI kindly inaweza kutumika kama adverb na adjective. Usikurupuke..Lissu angeandika kiswahili tuh
ni correct. kindly inatumika interchangeably kama adjective na adverb. chukua hiyo mkuu....was a kindly man...
Asante mkuu kama vile friendly auni correct. kindly inatumika interchangeably kama adjective na adverb. chukua hiyo mkuu.
🙏🙏Hapo lugha haina shida Mkuu.
Google is an accredited source of knowledge. Kweye google you visit the accredited original source of the information. Mfano: Mayo Clinic, you google it and you see information in there. Do you doubt what is contained in Mayo Clinic?Google ni sehemu ambayo kuna taka na mali. Inatakiwa uwe na akili kujua ipi taka ipi mali.
Who was the target? Utakuwa umesoma Kayumba and thereafter to extended high school!Kila mtu atakufa kibwege mbona hata lisu alipigwa risasi kibwege ambazo zilikuwa zinamchagua yeye tu dereva zinamuacha?
Hahahaha,sure..Kama mwanasheria ngeli ndiyo hiyo,kazi ipo
Watu wengi kumbe ni mbumbumbu wa English. Lisu ameandika English safi kabisa. Mbumbumbu wanakosoa kwa sababu hawajui English.Anamaanisha kavunja(broken),labda Kama ni typo
Najua nimejufunza kingereza mtaani ila ilitakiwa iwe " he was a kind man"...was a kindly man...
Hata mimi nilielewa hivyoNajua nimejufunza kingereza mtaani ila ilitakiwa iwe " he was a kind man"
Acha ujinga hakuna binadamu mkamilifu. Relative to others, yes, he was a kind man.Mwinyi was a kindly man, oh! Wow he was equally kind to the maasai? This bullshit man was toxic to the loliondo community, ameondoka na mikosi na laana zake
Wewe ndio kituko mkuu. Lisu yuko more than correct.Hahahaha,sure..Kama mwanasheria ngeli ndiyo hiyo,kazi ipo
Nimeamini, kumbe watu wengi hamjui English. Hapo Lisu ameandika English safi kabisa. Wasiojua wanaona Lisu kakosea.
Jamani, jielimisheni. Kuishi kwa kukariri ndiyo kunaleta hii aibu ya asiyejua kumkosoa anayejua.
Mwinyi was a kindly person, maana yake ni tofauti na mtu akisema, Mwinyi was a kind person. Kindly person ni zaidi ya kind person, ni zaidi ya very kind person.
Hujui Kiingereza?Lissu angeandika kiswahili tuh
Ni jambo zuri,lakini haitaondoa ukweli kwamba huyu mzee, na Marais wenzake, walikuwa majizi, Sana, wamejitajirisha kwa Mali haramu Sana, wameua Sana, wameifisadi Sana hii nchi,Hivi ndivyo alivyoandika kwa ufupi
Toa Maoni yako .
View attachment 2923057
"President Ali Hassan Mwinyi, who died on Thursday & was laid to rest yesterday was a kindly man. When I was gunned down in Sep. '17 & rushed to Nairobi for treatment, Mzee Mwinyi and Mama Sitti came to The Nairobi Hospital to wish me speedy recovery. May he Rest in Eternal Peace!" - Tundu Lissu
Car was the target.Who was the target? Utakuwa umesoma Kayumba and thereafter to extended high school!