Raine Col
JF-Expert Member
- Mar 1, 2024
- 468
- 1,460
😳😳 elaborate it sir,Mwinyi was a kindly man, oh! Wow he was equally kind to the maasai? This bullshit man was toxic to the loliondo community, ameondoka na mikosi na laana zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😳😳 elaborate it sir,Mwinyi was a kindly man, oh! Wow he was equally kind to the maasai? This bullshit man was toxic to the loliondo community, ameondoka na mikosi na laana zake
Pale walijua kuwa mental case sasa ....mziki wa EL ulimkosesha usingizi JKKuna haja ya kuchunguza Wagombea Urais kama ni Wachawi au La , Mchawi asipewe nafasi ya kugombea
Hata na wewe siku 1 utakuwa hivyo. Watch your steps 🚶♀️ dogo.Life tena huko liliko na liungue moto mkali
Liko hivi:
Mmmmmm alitawaliwa na Sitti nchi ikawa chini ya waarabu wa kariakoo....wapiga deal wa unga....Wapi Capt Aziz...? Alikamatwa mzigo mkubwa dhahabu kwenda London ....akiwa Pilot ...akafungwa baada muda mfupi akapewa msamaha na Rais Mwinyi...miaka 2010 nilimuona akiwa na Coastal aviation ....akirusha hizo ndegelabda sasa mtu mzima ....Mzee mwinyi Hana baya
Hujui Kiingereza wewe. Kasome tena shule.Kwa kweli. Si kwa kuchapia huku.
Apo utaambiwa wakili msomi huyo.lisu angeandika kiswahili tuh
Kipindi cha mwinyi ndicho kipindi biashara ya unga ilianza Tanzania yaani kuingiza unga na kusafirisha..Mmmmmm alitawaliwa na Sitti nchi ikawa chini ya waarabu wa kariakoo....wapiga deal wa unga....Wapi Capt Aziz...? Alikamatwa mzigo mkubwa dhahabu kwenda London ....akiwa Pilot ...akafungwa baada muda mfupi akapewa msamaha na Rais Mwinyi...miaka 2010 nilimuona akiwa na Coastal aviation ....akirusha hizo ndegelabda sasa mtu mzima ....
Acha kutetea upumbavu.Hilo ni neno sahihi. Ina maana zaidi ya kuwa kind.
A kindly person ni ambaye ni very kind.
Tatizo hujui kuwa JPM alikuwa nani. Kwa upuuzi wako utamuona shetani. TAL alijitakia mwenyewe na alistahili alichokipataNadhani wazanzibari Wana moyo tofauti na wabara. Huku bara tulikiwa na rais mwenye moyo wa kishetani kwelikweli.
Yaani alimpiga risasi Lisu halafu akakataza:-
1. Watu kumchangia damu.
2. Watu kumchangia fedha.
3. Watu kuvaa Tshirts za kumtakia uponaji wa haraka.
4. Wanaccm kwenda kumuona hospitali.
5. Akamtumia Ndugai amnyime hela za matibabu.
6. Akamtumia Ndugai amfute ubunge Lisu.
Magufuli was a Satan in human face.
Afe tena huko aliko.
Mkuu ukisoma katiba kuhusu rais ndo utajua balaa lake. Mtu ambaye hashtakiwi kwa kosa lolote alilofanya akiwa madarakani ni hatari. Halafu pia katiba imetamka wazi kuwa sio lazima afanyie kazi ushauri atakaopewa. Kimsingi hakuna mtu yeyote hapa Tanzania anaweza kumvimbia RaisHivi kweli hata Wastaafu waliufyata kwa lile Jinamizi?
Ziko wapi Busara na Hekima za Wastaafu?
7. Alizuia Lissu kuombewa wakati kwa muda mrefu alisisitiza yeye aombeweNadhani wazanzibari Wana moyo tofauti na wabara. Huku bara tulikiwa na rais mwenye moyo wa kishetani kwelikweli.
Yaani alimpiga risasi Lisu halafu akakataza:-
1. Watu kumchangia damu.
2. Watu kumchangia fedha.
3. Watu kuvaa Tshirts za kumtakia uponaji wa haraka.
4. Wanaccm kwenda kumuona hospitali.
5. Akamtumia Ndugai amnyime hela za matibabu.
6. Akamtumia Ndugai amfute ubunge Lisu.
Magufuli was a Satan in human face.
Afe tena huko aliko.
Wewe jamaa ulihusika kumpiga risasi Lissu?Tatizo hujui kuwa JPM alikuwa nani. Kwa upuuzi wako utamuona shetani. TAL alijitakia mwenyewe na alistahili alichokipata
Hebu tusaidie jiwe alikuwa nani na alifanya nn nchi hii zaidi ya kuua, kupora, kuteka na kupiga watu risasi?Tatizo hujui kuwa JPM alikuwa nani. Kwa upuuzi wako utamuona shetani.
Yaani baba yule bora kafa.7. Alizuia Lissu kuombewa wakati akasisitiza yeye aombewe
Anataka ujumbe ufike nje ya mipaka kwa haraka.lisu angeandika kiswahili tuh
Lile lilikuwa ni shetani halisi.Nadhani wazanzibari Wana moyo tofauti na wabara. Huku bara tulikiwa na rais mwenye moyo wa kishetani kwelikweli.
Yaani alimpiga risasi Lisu halafu akakataza:-
1. Watu kumchangia damu.
2. Watu kumchangia fedha.
3. Watu kuvaa Tshirts za kumtakia uponaji wa haraka.
4. Wanaccm kwenda kumuona hospitali.
5. Akamtumia Ndugai amnyime hela za matibabu.
6. Akamtumia Ndugai amfute ubunge Lisu.
Magufuli was a Satan in human face.
Afe tena huko aliko.
Tena kifo cha kizembe kabisaHalafu baadaye akafa yeye kibwege sana .
Lile chawi haswaaaaaKuna haja ya kuchunguza Wagombea Urais kama ni Wachawi au La , Mchawi asipewe nafasi ya kugombea