Ujumbe wa Tundu Lissu kuhusu Hayati Ally Hassan Mwinyi

Ujumbe wa Tundu Lissu kuhusu Hayati Ally Hassan Mwinyi

Nadhani wazanzibari Wana moyo tofauti na wabara. Huku bara tulikiwa na rais mwenye moyo wa kishetani kwelikweli.
Yaani alimpiga risasi Lisu halafu akakataza:-
Magufuli was a Satan in human face.
Afe tena huko aliko.
Mkuu Sexless , unless una uthibitisho, na ushahidi.
Japo JPM hakuwa malaika, ila pia hakuwa shetani ndio maana amekwenda peponi, na hivi tunavyozungumza hapa, yuko mbinguni kwa Baba yake!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

Kwa sisi Wakristo, tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo, hivyo kwa mujibu wa sheria ya karma, mtu hata ukitenda maovu kiasi gani, ukaja kutenda mema mengi kuliko yale maovu, unaingia peponi!. "The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!

Magufuli pamoja na uovu wake wote wa mwanzoni, baadae ilikuja kubadilika na kuwa mwema kama malaika by the time anatwaliwa, he was a saint!.

P
 
Nadhani wazanzibari Wana moyo tofauti na wabara. Huku bara tulikiwa na rais mwenye moyo wa kishetani kwelikweli.

Yaani alimpiga risasi Lisu halafu akakataza:-
1. Watu kumchangia damu.
2. Watu kumchangia fedha.
3. Watu kuvaa Tshirts za kumtakia uponaji wa haraka.
4. Wanaccm kwenda kumuona hospitali.
5. Akamtumia Ndugai amnyime hela za matibabu.
6. Akamtumia Ndugai amfute ubunge Lisu.

Magufuli was a Satan in human face.

Afe tena huko aliko.
He was real the Devil Incarnate
 
Mkuu ukisoma katiba kuhusu rais ndo utajua balaa lake. Mtu ambaye hashtakiwi kwa kosa lolote alilofanya akiwa madarakani ni hatari. Halafu pia katiba imetamka wazi kuwa sio lazima afanyie kazi ushauri atakaopewa. Kimsingi hakuna mtu yeyote hapa Tanzania anaweza kumvimbia Rais
Sasa kwanini na wao hawaoni kuwa KATIBA MPYA ni Muhimu kuondoa Kikwete.
 
Hivi ndivyo alivyoandika kwa ufupi

Toa Maoni yako .

View attachment 2923057

"President Ali Hassan Mwinyi, who died on Thursday & was laid to rest yesterday was a kindly man. When I was gunned down in Sep. '17 & rushed to Nairobi for treatment, Mzee Mwinyi and Mama Sitti came to The Nairobi Hospital to wish me speedy recovery. May he Rest in Eternal Peace!" - Tundu Lissu
Mbona Samia alikuja kukuona privately na unamuona ni mbaya kwako? Hivi Kwa Lisu Kuna mtu mzuri hapa Tanzania?
 
Mbona Samia alikuja kukuona privately na unamuona ni mbaya kwako? Hivi Kwa Lisu Kuna mtu mzuri hapa Tanzania?
Samia alienda kwenye Mkutano Nairobi , akasutwa na Viongozi wa nchi nyingine , ndio akaona achepuke hospitali ili kuua soo .

Mzee Mwinyi na Mkewe walitoka moja kwa moja Tz kwa nauli zao kwenda Kenya kumuona Lissu tu .
 
Mambo mengine tumuachie Mungu tu.

Wengi sana walikwenda kumuona alipolazwa pale Nairobi na mpaka wengine kutumia influence Yao kumpeleka Nairobi na then Belgium, lakini kutwa kucha mnawananga humu, labda wakifa nao wanaitwa "Kind man/woman"
 
Samia alienda kwenye Mkutano Nairobi , akasutwa na Viongozi wa nchi nyingine , ndio akaona achepuke hospitali ili kuua soo .

Mzee Mwinyi na Mkewe walitoka moja kwa moja Tz kwa nauli zao kwenda Kenya kumuona Lissu tu .
JK naye?
 
Mkuu Sexless , unless una uthibitisho, na ushahidi.
Japo JPM hakuwa malaika, ila pia hakuwa shetani ndio maana amekwenda peponi, na hivi tunavyozungumza hapa, yuko mbinguni kwa Baba yake!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

Kwa sisi Wakristo, tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo, hivyo kwa mujibu wa sheria ya karma, mtu hata ukitenda maovu kiasi gani, ukaja kutenda mema mengi kuliko yale maovu, unaingia peponi!. "The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!

Magufuli pamoja na uovu wake wote wa mwanzoni, baadae ilikuja kubadilika na kuwa mwema kama malaika by the time anatwaliwa, he was a saint!.

P
Hakuna kejeli mbaya kama hii yako tangu mwaka 2024 uanze .
 
Nadhani wazanzibari Wana moyo tofauti na wabara. Huku bara tulikiwa na rais mwenye moyo wa kishetani kwelikweli.

Yaani alimpiga risasi Lisu halafu akakataza:-
1. Watu kumchangia damu.
2. Watu kumchangia fedha.
3. Watu kuvaa Tshirts za kumtakia uponaji wa haraka.
4. Wanaccm kwenda kumuona hospitali.
5. Akamtumia Ndugai amnyime hela za matibabu.
6. Akamtumia Ndugai amfute ubunge Lisu.

Magufuli was a Satan in human face.

Afe tena huko aliko.
Hakuwa nadamu ya kitanzania na ndiyo maana alikuwa tofauti.Kikwete ni habari nyingine,roho safi na ndiyo maana ataendelea kupendeza.Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
 
Nimesoma masters darasa la watu 25, wazazibar walikuwa 8. Niligundua hawa watu wanaroho nzuri kuliko sisi watanganyika. Umbaya wanaofanyiana ni sababu ya ushawishi wetu. Simchuki JPM kama binadamu lakini kwa unyama wake aliokuwa nao Wazanzibar hawawezi kuukubali utawala wake kwa vyovyote kama sisi hata mama mwenyewe.
 
Nimesoma masters darasa la watu 25, wazazibar walikuwa 8. Niligundua hawa watu wanaroho nzuri kuliko sisi watanganyika. Umbaya wanaofanyiana ni sababu ya ushawishi wetu. Simchuki JPM kama binadamu lakini kwa unyama wake aliokuwa nao Wazanzibar hawawezi kuukubali utawala wake kwa vyovyote kama sisi hata mama mwenyewe.
Acha uongo, majamaa yana Roho mbaya sana na mi jana tu kuna mzanzibar kanifanyia Roho mbaya sana na leo tu kamfanyia tena dereva huku Rungwe. Jamaa hawana utu na akili hazijatimia hao.
 
Kwenye hili Pascal Mayalla utakuwa umetumia dhahania na mahaba yako binafsi tu. Lakin ukweli kamili hakuna mwanadamu yeyote aliye hai ajuaye hatima ya mfu ama wafu
Knowledge ya wengi wetu ni limited kwenye ulimwengu huu wa mwili, lakini kwenye ulimwengu wa roho ni wachache tuu waliojaaliwa kufunuliwa. Mimi ni mmoja wao.
Karibu pande hizi

Hoja ya Magufuli yuko peponi, sio hoja dhanifu kutokana na mahaba niue ya the Sukuma Gang, mimi nimeelezwa kupitia sauti ya ndani, Voices from within.

Karibu uangalie mambo niliyoambiwa na nikayasema humu kabla hayajatokea, na nini kilikuja kutokea "Ombeni Mtapewa", "Tafuteni Mtapata", "Bisheni Hodi Mtafunguliwa" Je, Wajua Kuna "Kauli" na "Kauli Umba" Ambazo Huumba? Shuhudia

Baadhi ya kauli hizo ni hizi
Na kubwa kuliko ni HII ambayo itatokea 2025!.

P
 
Back
Top Bottom