Ujumbe wa Tundu Lissu kuhusu Hayati Ally Hassan Mwinyi

Ujumbe wa Tundu Lissu kuhusu Hayati Ally Hassan Mwinyi

Mkuu Sexless , unless una uthibitisho, na ushahidi.
Japo JPM hakuwa malaika, ila pia hakuwa shetani ndio maana amekwenda peponi, na hivi tunavyozungumza hapa, yuko mbinguni kwa Baba yake!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

Kwa sisi Wakristo, tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo, hivyo kwa mujibu wa sheria ya karma, mtu hata ukitenda maovu kiasi gani, ukaja kutenda mema mengi kuliko yale maovu, unaingia peponi!. "The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!

Magufuli pamoja na uovu wake wote wa mwanzoni, baadae ilikuja kubadilika na kuwa mwema kama malaika by the time anatwaliwa, he was a saint!.

P
Hawezi kuiona pepp yule ibilisi hta iweje yule ndgu yake shetani na motoni ataungua moto wa peke yake
 

Hakuna asiyefahamu kwamba Mzee Mwinyi alikuwa mtu mwema sana, sijui kama katika watoto wake kuna aliyerithi wema wake. Kama yupo Mungu amsaidie maana huwa wanasema vya kurithi huwa vinazidi.
Hata kama wapo ila hawezi kuwa Husein ambaye aliingia madarakani baada ya mauaji ya kutisha Pemba akishirikiana na Jiwe
 
Zote mbili ni lugha rasmi Tanzania..

Currently, English and Kiswahili are the official languages of the country. Kiswahili is used in government, and as the medium of instruction in primary school; English is the language of diplomacy and also the medium of instruction in secondary and post- secondary education.
Anamaanisha kavunja(broken),labda Kama ni typo
 
Hata kama wapo ila hawezi kuwa Husein ambaye aliingia madarakani baada ya mauaji ya kutisha Pemba akishirikiana na Jiwe
Kuna mauwaji ya kutisha yamefanyika Pemba hivi karibuni kuzidi ya 2001!?..au ndo upo kazini,kupiga propaganda
 
Hivi ndivyo alivyoandika kwa ufupi

Toa Maoni yako .

View attachment 2923057

"President Ali Hassan Mwinyi, who died on Thursday & was laid to rest yesterday was a kindly man. When I was gunned down in Sep. '17 & rushed to Nairobi for treatment, Mzee Mwinyi and Mama Sitti came to The Nairobi Hospital to wish me speedy recovery. May he Rest in Eternal Peace!" - Tundu Lissu
Hii ilikuwa pigo kwa wauaji
 
Nadhani wazanzibari Wana moyo tofauti na wabara. Huku bara tulikiwa na rais mwenye moyo wa kishetani kwelikweli.

Yaani alimpiga risasi Lisu halafu akakataza:-
1. Watu kumchangia damu.
2. Watu kumchangia fedha.
3. Watu kuvaa Tshirts za kumtakia uponaji wa haraka.
4. Wanaccm kwenda kumuona hospitali.
5. Akamtumia Ndugai amnyime hela za matibabu.
6. Akamtumia Ndugai amfute ubunge Lisu.

Magufuli was a Satan in human face.

Afe tena huko aliko.
Baada ya hapo KaziJob akapata aibu na fedheha ya Dunia kuwa Spika kwanza kutimuliwa kama Hayawani
 
K
Nadhani wazanzibari Wana moyo tofauti na wabara. Huku bara tulikiwa na rais mwenye moyo wa kishetani kwelikweli.

Yaani alimpiga risasi Lisu halafu akakataza:-
1. Watu kumchangia damu.
2. Watu kumchangia fedha.
3. Watu kuvaa Tshirts za kumtakia uponaji wa haraka.
4. Wanaccm kwenda kumuona hospitali.
5. Akamtumia Ndugai amnyime hela za matibabu.
6. Akamtumia Ndugai amfute ubunge Lisu.

Magufuli was a Satan in human face.

Afe tena huko aliko.
Kuna siku nilipata habari kuwa Kuna jitu baada ya kuzikwa liliporomokewa na jabali sijui kwenye utosi kama siyo komwe
 
Back
Top Bottom