Ujumbe wa Tundu Lissu kuhusu Hayati Ally Hassan Mwinyi

Ujumbe wa Tundu Lissu kuhusu Hayati Ally Hassan Mwinyi

Hivi ndivyo alivyoandika kwa ufupi

Toa Maoni yako .

View attachment 2923057

"President Ali Hassan Mwinyi, who died on Thursday & was laid to rest yesterday was a kindly man. When I was gunned down in Sep. '17 & rushed to Nairobi for treatment, Mzee Mwinyi and Mama Sitti came to The Nairobi Hospital to wish me speedy recovery. May he Rest in Eternal Peace!" - Tundu Lissu
Rais Ali Hassan Mwinyi, aliyefariki siku ya Alhamisi na kuzikwa jana alikuwa mtu mkarimu. Nilipopigwa risasi Septemba '17 & kukimbizwa Nairobi kwa matibabu, Mzee Mwinyi na Mama Sitti walikuja The Nairobi Hospital kunitakia nafuu ya haraka. Apumzike kwa Amani ya Milele!"- Tundu Lissu
 
Hivi ndivyo alivyoandika kwa ufupi

Toa Maoni yako .

View attachment 2923057

"President Ali Hassan Mwinyi, who died on Thursday & was laid to rest yesterday was a kindly man. When I was gunned down in Sep. '17 & rushed to Nairobi for treatment, Mzee Mwinyi and Mama Sitti came to The Nairobi Hospital to wish me speedy recovery. May he Rest in Eternal Peace!" - Tundu Lissu
Rais Ali Hassan Mwinyi, aliyefariki siku ya Alhamisi na kuzikwa jana alikuwa mtu mkarimu. Nilipopigwa risasi Septemba '17 & kukimbizwa Nairobi kwa matibabu, Mzee Mwinyi na Mama Sitti walikuja The Nairobi Hospital kunitakia nafuu ya haraka. Apumzike kwa Amani ya Milele!"- Tundu Lissu
 
Rais Ali Hassan Mwinyi, aliyefariki siku ya Alhamisi na kuzikwa jana alikuwa mtu mkarimu. Nilipopigwa risasi Septemba '17 & kukimbizwa Nairobi kwa matibabu, Mzee Mwinyi na Mama Sitti walikuja The Nairobi Hospital kunitakia nafuu ya haraka. Apumzike kwa Amani ya Milele!"- Tundu Lissu
Kaka Mshana shikamoo nakuheshimu tangu nikufahamu humu JF
 
Mungu hajawahi kuwa Fala mpaka apokee mwakilishi wa Shetani nchini Tanzania
20231112_185139.jpg
 
Kila mtu atakufa kibwege mbona hata lisu alipigwa risasi kibwege ambazo zilikuwa zinamchagua yeye tu dereva zinamuacha?
Wewe tulia siku ukifa tukisha kufukia utadondokewa na Jabali kwenye Komwe Lita expose ubongo uliwe na decomposers as soon as possible
 
Hivi ndivyo alivyoandika kwa ufupi

Toa Maoni yako .

View attachment 2923057

"President Ali Hassan Mwinyi, who died on Thursday & was laid to rest yesterday was a kindly man. When I was gunned down in Sep. '17 & rushed to Nairobi for treatment, Mzee Mwinyi and Mama Sitti came to The Nairobi Hospital to wish me speedy recovery. May he Rest in Eternal Peace!" - Tundu Lissu
Alijuaje kama walienda kumpa pole maana alikuwa nusuKaputi ,🤔
 
Kwa Lisu watu wema ni wale tu waliokwenda kumsalimu Hospital.

Vipi kwa wale wasiokwenda kwa kukosa nauli??

This guy is sick in his head.
Wewe akili ndogo sana, sasa mtu aje kukujulia hali kwenye mazingira kama hayo ambapo wengine wamekatazwa wasije halafu mtu kama huyo naye apatwe na mkasa hivi kweli utakaa kimya tu...😲😲
 
Wewe tulia siku ukifa tukisha kufukia utadondokewa na Jabali kwenye Komwe Lita expose ubongo uliwe na decomposers as soon as possible
... umeteleza! Hatuongei hivyo kwenye vifo kwani hakuna ajuaye nani atatangulia.
 
Nadhani wazanzibari Wana moyo tofauti na wabara. Huku bara tulikiwa na rais mwenye moyo wa kishetani kwelikweli.

Yaani alimpiga risasi Lisu halafu akakataza:-
1. Watu kumchangia damu.
2. Watu kumchangia fedha.
3. Watu kuvaa Tshirts za kumtakia uponaji wa haraka.
4. Wanaccm kwenda kumuona hospitali.
5. Akamtumia Ndugai amnyime hela za matibabu.
6. Akamtumia Ndugai amfute ubunge Lisu.

Magufuli was a Satan in human face.

Afe tena huko aliko.
ANgekuwepo Maalim Shariff ukamwambia haya maneno.
 
Nadhani wazanzibari Wana moyo tofauti na wabara. Huku bara tulikiwa na rais mwenye moyo wa kishetani kwelikweli.

Yaani alimpiga risasi Lisu halafu akakataza:-
1. Watu kumchangia damu.
2. Watu kumchangia fedha.
3. Watu kuvaa Tshirts za kumtakia uponaji wa haraka.
4. Wanaccm kwenda kumuona hospitali.
5. Akamtumia Ndugai amnyime hela za matibabu.
6. Akamtumia Ndugai amfute ubunge Lisu.

Magufuli was a Satan in human face.

Afe tena huko aliko.
Mzee Mwinyi hajawahi kuwa Mzanzibari.
Alikuwa Mtanganyika,baada ya Muungano akawa Mtanzania.
 
Hivi ndivyo alivyoandika kwa ufupi

Toa Maoni yako .

View attachment 2923057

"President Ali Hassan Mwinyi, who died on Thursday & was laid to rest yesterday was a kindly man. When I was gunned down in Sep. '17 & rushed to Nairobi for treatment, Mzee Mwinyi and Mama Sitti came to The Nairobi Hospital to wish me speedy recovery. May he Rest in Eternal Peace!" - Tundu Lissu
Was a kindly man❌
Was a kind man✅

huwa nasisitiza watu watumie tu Kiswahili siyo dhambi.
 
Back
Top Bottom