Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
HahaaaaHakuna kejeli mbaya kama hii yako tangu mwaka 2024 uanze .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahaaaaHakuna kejeli mbaya kama hii yako tangu mwaka 2024 uanze .
Hahaha yaaniKwani kamwandikia Mwinyi?
Rais Ali Hassan Mwinyi, aliyefariki siku ya Alhamisi na kuzikwa jana alikuwa mtu mkarimu. Nilipopigwa risasi Septemba '17 & kukimbizwa Nairobi kwa matibabu, Mzee Mwinyi na Mama Sitti walikuja The Nairobi Hospital kunitakia nafuu ya haraka. Apumzike kwa Amani ya Milele!"- Tundu LissuHivi ndivyo alivyoandika kwa ufupi
Toa Maoni yako .
View attachment 2923057
"President Ali Hassan Mwinyi, who died on Thursday & was laid to rest yesterday was a kindly man. When I was gunned down in Sep. '17 & rushed to Nairobi for treatment, Mzee Mwinyi and Mama Sitti came to The Nairobi Hospital to wish me speedy recovery. May he Rest in Eternal Peace!" - Tundu Lissu
Rais Ali Hassan Mwinyi, aliyefariki siku ya Alhamisi na kuzikwa jana alikuwa mtu mkarimu. Nilipopigwa risasi Septemba '17 & kukimbizwa Nairobi kwa matibabu, Mzee Mwinyi na Mama Sitti walikuja The Nairobi Hospital kunitakia nafuu ya haraka. Apumzike kwa Amani ya Milele!"- Tundu LissuHivi ndivyo alivyoandika kwa ufupi
Toa Maoni yako .
View attachment 2923057
"President Ali Hassan Mwinyi, who died on Thursday & was laid to rest yesterday was a kindly man. When I was gunned down in Sep. '17 & rushed to Nairobi for treatment, Mzee Mwinyi and Mama Sitti came to The Nairobi Hospital to wish me speedy recovery. May he Rest in Eternal Peace!" - Tundu Lissu
... wa mafunzo ya amali na stadi za maisha wana tabu kweli humu!Wewe uliyesoma VETA utajulia wapi lugha hii , lazima utaona nyota tu
Kuanzia wewe ukoo wako wote walimu wote walokufundisha hakuna hata mmoja mwenye uwezo wa kusahihisha grammar ya kingreza Cha Lissu tena ukomelisu angeandika kiswahili tuh
Kaka Mshana shikamoo nakuheshimu tangu nikufahamu humu JFRais Ali Hassan Mwinyi, aliyefariki siku ya Alhamisi na kuzikwa jana alikuwa mtu mkarimu. Nilipopigwa risasi Septemba '17 & kukimbizwa Nairobi kwa matibabu, Mzee Mwinyi na Mama Sitti walikuja The Nairobi Hospital kunitakia nafuu ya haraka. Apumzike kwa Amani ya Milele!"- Tundu Lissu
Mungu hajawahi kuwa Fala mpaka apokee mwakilishi wa Shetani nchini Tanzania
A kindly person is kind, caring, and sympathetic....was a kindly man...
Wewe tulia siku ukifa tukisha kufukia utadondokewa na Jabali kwenye Komwe Lita expose ubongo uliwe na decomposers as soon as possibleKila mtu atakufa kibwege mbona hata lisu alipigwa risasi kibwege ambazo zilikuwa zinamchagua yeye tu dereva zinamuacha?
Viongozi wetu wana mengi ya kujifunza kwa Mwinyi, apumzike kwa amani daima.Huyu mzee dini ilimshiba moyoni. Ni wanasiasa wachache wanaojielewa na kujua kwanini wameumbwa
Alijuaje kama walienda kumpa pole maana alikuwa nusuKaputi ,🤔Hivi ndivyo alivyoandika kwa ufupi
Toa Maoni yako .
View attachment 2923057
"President Ali Hassan Mwinyi, who died on Thursday & was laid to rest yesterday was a kindly man. When I was gunned down in Sep. '17 & rushed to Nairobi for treatment, Mzee Mwinyi and Mama Sitti came to The Nairobi Hospital to wish me speedy recovery. May he Rest in Eternal Peace!" - Tundu Lissu
Wewe akili ndogo sana, sasa mtu aje kukujulia hali kwenye mazingira kama hayo ambapo wengine wamekatazwa wasije halafu mtu kama huyo naye apatwe na mkasa hivi kweli utakaa kimya tu...😲😲Kwa Lisu watu wema ni wale tu waliokwenda kumsalimu Hospital.
Vipi kwa wale wasiokwenda kwa kukosa nauli??
This guy is sick in his head.
... umeteleza! Hatuongei hivyo kwenye vifo kwani hakuna ajuaye nani atatangulia.Wewe tulia siku ukifa tukisha kufukia utadondokewa na Jabali kwenye Komwe Lita expose ubongo uliwe na decomposers as soon as possible
ANgekuwepo Maalim Shariff ukamwambia haya maneno.Nadhani wazanzibari Wana moyo tofauti na wabara. Huku bara tulikiwa na rais mwenye moyo wa kishetani kwelikweli.
Yaani alimpiga risasi Lisu halafu akakataza:-
1. Watu kumchangia damu.
2. Watu kumchangia fedha.
3. Watu kuvaa Tshirts za kumtakia uponaji wa haraka.
4. Wanaccm kwenda kumuona hospitali.
5. Akamtumia Ndugai amnyime hela za matibabu.
6. Akamtumia Ndugai amfute ubunge Lisu.
Magufuli was a Satan in human face.
Afe tena huko aliko.
Mzee Mwinyi hajawahi kuwa Mzanzibari.Nadhani wazanzibari Wana moyo tofauti na wabara. Huku bara tulikiwa na rais mwenye moyo wa kishetani kwelikweli.
Yaani alimpiga risasi Lisu halafu akakataza:-
1. Watu kumchangia damu.
2. Watu kumchangia fedha.
3. Watu kuvaa Tshirts za kumtakia uponaji wa haraka.
4. Wanaccm kwenda kumuona hospitali.
5. Akamtumia Ndugai amnyime hela za matibabu.
6. Akamtumia Ndugai amfute ubunge Lisu.
Magufuli was a Satan in human face.
Afe tena huko aliko.
Mi nadhani ungemwambia arekebishe si kuponda amesoma wapi. Wapo ambao hata hawajasoma darasa moja can speak english.Wewe uliyesoma VETA utajulia wapi lugha hii , lazima utaona nyota tu
Was a kindly man❌Hivi ndivyo alivyoandika kwa ufupi
Toa Maoni yako .
View attachment 2923057
"President Ali Hassan Mwinyi, who died on Thursday & was laid to rest yesterday was a kindly man. When I was gunned down in Sep. '17 & rushed to Nairobi for treatment, Mzee Mwinyi and Mama Sitti came to The Nairobi Hospital to wish me speedy recovery. May he Rest in Eternal Peace!" - Tundu Lissu
Hadi picha ya Mzee Mwinyi akisabahiana na Lissu wodini si imewekwa hapo mzee?Alijuaje kama walienda kumpa pole maana alikuwa nusuKaputi ,🤔
A kindly person is a kind, caring, and sympathetic person. Umeelewa?Was a kindly man❌
Was a kind man✅
huwa nasisitiza watu watumie tu Kiswahili siyo dhambi.