Ujumbe wa Tundu Lissu kuhusu Hayati Ally Hassan Mwinyi

Ujumbe wa Tundu Lissu kuhusu Hayati Ally Hassan Mwinyi

Mkuu Sexless , unless una uthibitisho, na ushahidi.
Japo JPM hakuwa malaika, ila pia hakuwa shetani ndio maana amekwenda peponi, na hivi tunavyozungumza hapa, yuko mbinguni kwa Baba yake!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

Kwa sisi Wakristo, tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo, hivyo kwa mujibu wa sheria ya karma, mtu hata ukitenda maovu kiasi gani, ukaja kutenda mema mengi kuliko yale maovu, unaingia peponi!. "The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!

Magufuli pamoja na uovu wake wote wa mwanzoni, baadae ilikuja kubadilika na kuwa mwema kama malaika by the time anatwaliwa, he was a saint!.

P
Weka ushahidi wa picha, siamini na sita amini kuwa Mungu anawasiliana na wanaccm tu, mnahodhi maiti sasa mnataka kumhodhi Mungu!
 
Nadhani wazanzibari Wana moyo tofauti na wabara. Huku bara tulikiwa na rais mwenye moyo wa kishetani kwelikweli.

Yaani alimpiga risasi Lisu halafu akakataza:-
1. Watu kumchangia damu.
2. Watu kumchangia fedha.
3. Watu kuvaa Tshirts za kumtakia uponaji wa haraka.
4. Wanaccm kwenda kumuona hospitali.
5. Akamtumia Ndugai amnyime hela za matibabu.
6. Akamtumia Ndugai amfute ubunge Lisu.

Magufuli was a Satan in human face.

Afe tena huko aliko.

Duh…
 
Kwa Lisu watu wema ni wale tu waliokwenda kumsalimu Hospital.

Vipi kwa wale wasiokwenda kwa kukosa nauli??

This guy is sick in his head.
 

Hakuna asiyefahamu kwamba Mzee Mwinyi alikuwa mtu mwema sana, sijui kama katika watoto wake kuna aliyerithi wema wake. Kama yupo Mungu amsaidie maana huwa wanasema vya kurithi huwa vinazidi.
 
Mkuu ukisoma katiba kuhusu rais ndo utajua balaa lake. Mtu ambaye hashtakiwi kwa kosa lolote alilofanya akiwa madarakani ni hatari. Halafu pia katiba imetamka wazi kuwa sio lazima afanyie kazi ushauri atakaopewa. Kimsingi hakuna mtu yeyote hapa Tanzania anaweza kumvimbia Rais
Ni kweli unaweza kuuliza wazee wastaafu walikuwa wapi. Lakini somo la saikolojia na hulka ya binadamu ndiyo inatoa jibu. Ukiacha kiongozi mmoja na mwingine nusu, wengi wao wanajali namna watakavyotaka kuzikwa kuliko kugombana na viongozi wa sasa. Hili jibu nalitoa kama unataka maelezo yasiyo ya kinafiki! Watu wanaopigana mpaka kufa ndiyo wenye jina la "Mwenye heri" au "Saints". Watu hao ni wachache sana duniani!
 
Nadhani wazanzibari Wana moyo tofauti na wabara. Huku bara tulikiwa na rais mwenye moyo wa kishetani kwelikweli.

Yaani alimpiga risasi Lisu halafu akakataza:-
1. Watu kumchangia damu.
2. Watu kumchangia fedha.
3. Watu kuvaa Tshirts za kumtakia uponaji wa haraka.
4. Wanaccm kwenda kumuona hospitali.
5. Akamtumia Ndugai amnyime hela za matibabu.
6. Akamtumia Ndugai amfute ubunge Lisu.

Magufuli was a Satan in human face.

Afe tena huko aliko.
Mkuu hii Dua yako ya mwisho ni kiboko
 
Nadhani wazanzibari Wana moyo tofauti na wabara. Huku bara tulikiwa na rais mwenye moyo wa kishetani kwelikweli.

Yaani alimpiga risasi Lisu halafu akakataza:-
1. Watu kumchangia damu.
2. Watu kumchangia fedha.
3. Watu kuvaa Tshirts za kumtakia uponaji wa haraka.
4. Wanaccm kwenda kumuona hospitali.
5. Akamtumia Ndugai amnyime hela za matibabu.
6. Akamtumia Ndugai amfute ubunge Lisu.

Magufuli was a Satan in human face.

Afe tena huko aliko.
Tena atupwe choon
 
Kwa jinsi lugha ya Malkia ilivyoharibiwa,sidhani kama aliyeandika na kutuma hiyo post ni Lissu.
 
lisu angeandika kiswahili tuh
Zote mbili ni lugha rasmi Tanzania..

Currently, English and Kiswahili are the official languages of the country. Kiswahili is used in government, and as the medium of instruction in primary school; English is the language of diplomacy and also the medium of instruction in secondary and post- secondary education.
 
Back
Top Bottom