Ujumbe wa Tundu Lissu kuhusu Hayati Ally Hassan Mwinyi

Mwinyi was a kindly man, oh! Wow he was equally kind to the maasai? This bullshit man was toxic to the loliondo community, ameondoka na mikosi na laana zake
😳😳 elaborate it sir,
 
Mzee mwinyi Hana baya
Mmmmmm alitawaliwa na Sitti nchi ikawa chini ya waarabu wa kariakoo....wapiga deal wa unga....Wapi Capt Aziz...? Alikamatwa mzigo mkubwa dhahabu kwenda London ....akiwa Pilot ...akafungwa baada muda mfupi akapewa msamaha na Rais Mwinyi...miaka 2010 nilimuona akiwa na Coastal aviation ....akirusha hizo ndegelabda sasa mtu mzima ....
 
Kipindi cha mwinyi ndicho kipindi biashara ya unga ilianza Tanzania yaani kuingiza unga na kusafirisha..
Kipindi kile pale magomeni kuna jamaa alikuwa anaitwa MTAMA MCHUNGU huyu tunaweza kusema ni Pablo Escobar wa Tanzania
 
Marehemu hasemwi vibaya...
 
Tatizo hujui kuwa JPM alikuwa nani. Kwa upuuzi wako utamuona shetani. TAL alijitakia mwenyewe na alistahili alichokipata
 
Hivi kweli hata Wastaafu waliufyata kwa lile Jinamizi?

Ziko wapi Busara na Hekima za Wastaafu?
Mkuu ukisoma katiba kuhusu rais ndo utajua balaa lake. Mtu ambaye hashtakiwi kwa kosa lolote alilofanya akiwa madarakani ni hatari. Halafu pia katiba imetamka wazi kuwa sio lazima afanyie kazi ushauri atakaopewa. Kimsingi hakuna mtu yeyote hapa Tanzania anaweza kumvimbia Rais
 
7. Alizuia Lissu kuombewa wakati kwa muda mrefu alisisitiza yeye aombewe
 
Lile lilikuwa ni shetani halisi.
Sijui alitaka kutupeleka wp wabongo.
Alitaka kufuta kabisa mioyo yetu ya kupendana na kujaliana.
Jitu lile lilikuwa na roho mbaya sn.
Mungu aliue tena na tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…