Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
A kind person. Not kindly. Umeenda ku google. Mimi nakueleza ambaye nimekaa uingereza. Kind ni adjective ambayo ina modify noun.A kindly person is a kind, caring, and sympathetic person. Umeelewa?
Hapa haizungumziwi nadharia, imazungumziwa uhalisia.Watu wote watakufa tu hata wale waliouhujumu uhai wa chacha wangwe na waliotaka kumdhuru zitto kabwe kwa sumu nao watakufa
Wenye lugha yao wanasema hivyo; wewe unaleta ujuaji!A kind person. Not kindly.
Ahmed Hassan DiriaMmmmmm alitawaliwa na Sitti nchi ikawa chini ya waarabu wa kariakoo....wapiga deal wa unga....Wapi Capt Aziz...? Alikamatwa mzigo mkubwa dhahabu kwenda London ....akiwa Pilot ...akafungwa baada muda mfupi akapewa msamaha na Rais Mwinyi...miaka 2010 nilimuona akiwa na Coastal aviation ....akirusha hizo ndegelabda sasa mtu mzima ....
Google ni sehemu ambayo kuna taka na mali. Inatakiwa uwe na akili kujua ipi taka ipi mali.Wenye lugha yao wanasema hivyo; wewe unaleta ujuaji!
Brocken. ?! 😅🙏lisu angeandika kiswahili tuh
Hili la mwinyi kwenda kumuona ndiyo nimelisikia leo. Au labda nilisahau. Kumbe ni wengi sana walichukizwa na kile kitendo ila walishindwa tu kusema. Nina uhakika hata wale waliopiga risasi watakuja kujulikana siku moja mmoja baada ya mwingine. Kinara tunajua ni Bashite.Jiwe alitamani kumvuruga Mzee Ruksa kwa nini aende kumuona Lisu ....Saa 100 pia alienda....Amb Sikoine alienda Belgium weeee....akarudishwa faster...ngumbani
Huyo mjinga hajui aina za maneno Kama avdverb na adjective..."kindly man=very kind man
Hata kama alikosea tuwe na roho ya msamahaMwenyezi Mungu akakataa katakata Lissu asife akaamua kuliua lenyewe sheitwani baradhuli eti linajiita Jiwe au Kichaa! Liendelee kuungua milele na milele huko Jehanamu!
Yule Ibilisi alikuwa mpumbavu sana.Nadhani wazanzibari Wana moyo tofauti na wabara. Huku bara tulikiwa na rais mwenye moyo wa kishetani kwelikweli.
Yaani alimpiga risasi Lisu halafu akakataza:-
1. Watu kumchangia damu.
2. Watu kumchangia fedha.
3. Watu kuvaa Tshirts za kumtakia uponaji wa haraka.
4. Wanaccm kwenda kumuona hospitali.
5. Akamtumia Ndugai amnyime hela za matibabu.
6. Akamtumia Ndugai amfute ubunge Lisu.
Magufuli was a Satan in human face.
Afe tena huko aliko.
Naona umekimbilia Google! Nenda Oxford Learner's Dictionary you will get the same! Kabishane nao kule.Google ni sehemu ambayo kuna taka na mali. Inatakiwa uwe na akili kujua ipi taka ipi mali.
Mkuu Sexless , unless una uthibitisho, na ushahidi.
Japo JPM hakuwa malaika, ila pia hakuwa shetani ndio maana amekwenda peponi, na hivi tunavyozungumza hapa, yuko mbinguni kwa Baba yake!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
Kwa sisi Wakristo, tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo, hivyo kwa mujibu wa sheria ya karma, mtu hata ukitenda maovu kiasi gani, ukaja kutenda mema mengi kuliko yale maovu, unaingia peponi!. "The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!
Magufuli pamoja na uovu wake wote wa mwanzoni, baadae ilikuja kubadilika na kuwa mwema kama malaika by the time anatwaliwa, he was a saint!.
P
Stan Katabalo alipata huu usamaria mwema wa Mwinyi?Huyu mzee dini ilimshiba moyoni. Ni wanasiasa wachache wanaojielewa na kujua kwanini wameumbwa
Suleiman aliomba jambo moja kwa Mola wake - HEKIMA.Huyo jamaa hakuwa MTU mzuri alijisahau akaanza kushikilia madaraka badala ya kushikilia hekima na angeshikilia hekima asingekufa angeishi hadi miaka sabini ya biblia
Bila shaka hili swali linaonyesha pia umri, tuliokuwepo miaka hio hakuna mtu aliyechukiwa kama Nyerere, kimsingi magufuli ni mtoto kwa Nyerere, yule alikuwa anawanyofoa madarakani hadi Marais wa nchi nyingine, sijui Kama umewahi kumsikia Binaisa, Tito Okelo n.kKama Kuna anayemjua adui wa Nyerere/Mwinyi atujuze.
Au Kama Kuna mtu alishawahi kudhulumiwa na Nyerere/Mwinyi naomba tumjue.
Naweka nukta.
Sio dini tu pia alikua na common sense, na bila shaka alijua Mungu wake anataka niniHuyu mzee dini ilimshiba moyoni. Ni wanasiasa wachache wanaojielewa na kujua kwanini wameumbwa
Uhalisia upi mkuuHapa haizungumziwi nadharia, imazungumziwa uhalisia.
Was a kindly man❌
Was a kind man✅
huwa nasisitiza watu watumie tu Kiswahili siyo dhambi.