Ujumbe wa Tundu Lissu kuhusu Hayati Ally Hassan Mwinyi

Wewe tulia siku ukifa tukisha kufukia utadondokewa na Jabali kwenye Komwe Lita expose ubongo uliwe na decomposers as soon as possible
Wewe huta kufa utaishi milele na kama ukifa mzoga wako utatupwa lakini Kila mnyama na mdudu ataona kinyaa kuusogerea
 
Anachomaanisha konyola sio kufa au kutokufa. Suala ni baada ya kufa kwako, unaacha bango gani nyuma yako? What others will say about you? Mzee Mwinyi kaacha bango zuri.
Bango zuri ni mtizamo tu wa watu
 
Ameen
 
A kind person. Not kindly. Umeenda ku google. Mimi nakueleza ambaye nimekaa uingereza. Kind ni adjective ambayo ina modify noun.

Kindly is adverb which modifies very.

Msiwe wabishi dogo. Jifunzeni msonge mbele.
Sasa unachobisha nini ?
 
Mmh!

Mndengeleko huyu siyo mzanzibar
 
A kind person. Not kindly. Umeenda ku google. Mimi nakueleza ambaye nimekaa uingereza. Kind ni adjective ambayo ina modify noun.

Kindly is adverb which modifies very.

Msiwe wabishi dogo. Jifunzeni msonge mbele.
Kuishi Uingereza sio kujua Kiingereza kwa ufasaha.
 
Wakurupukaji hao.

Tundu Lissu akiandika jambo we ni nani unaquestion Lugha? That man is very smart
Kimsingi Lissu katumia Kiingereza cha zamani kidogo; Kiingereza cha medieval period. Ni lugha iliyotumika kwenye nyaraka kama KJV na lugha ngumu za kisheria za enzi za medieval! Sio kila mtu ana uwezo wa kumwelewa.
 
Kimsingi Lissu katumia Kiingereza cha zamani kidogo; Kiingereza cha medieval period. Ni lugha iliyotumika kwenye nyaraka kama KJV na lugha ngumu za kisheria za enzi za medieval! Sio kila mtu ana uwezo wa kumwelewa.
Bila shaka
 
Huyo jamaa hakuwa MTU mzuri alijisahau akaanza kushikilia madaraka badala ya kushikilia hekima na angeshikilia hekima asingekufa angeishi hadi miaka sabini ya biblia
Wewe ndo Mungu sio? Binti wa Mbowe kafariki ana miaka 30 naye alikuwa hana hekima? Kaka yake na Mbowe naye kafariki hana miaka 70 naye ilikiwaje? Don't be stupid kifo sio adhabu ni asili!
 
Wewe ndo Mungu sio? Binti wa Mbowe kafariki ana miaka 30 naye alikuwa mbishi? Kaka yake na Mbowe naye kafariki hana miaka 70 naye ilikiwaje? Don't be stupid kifo sio adhabu ni asili!
Kuna kitu unakwepesha hapa
 
Tatizo vijana wengi wenye smart phone walikuwa wadogo au hawajazaliwa kipindi anatawala ndo maana wanamwita Babu hana baya!
Lakini ndo mtu aliyesababisha Loliondo kuuzwa kwa warabu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…