Wewe huta kufa utaishi milele na kama ukifa mzoga wako utatupwa lakini Kila mnyama na mdudu ataona kinyaa kuusogereaWewe tulia siku ukifa tukisha kufukia utadondokewa na Jabali kwenye Komwe Lita expose ubongo uliwe na decomposers as soon as possible
Anachomaanisha konyola sio kufa au kutokufa. Suala ni baada ya kufa kwako, unaacha bango gani nyuma yako? What others will say about you? Mzee Mwinyi kaacha bango zuri.Wewe huta kufa utaishi milele na kama ukifa mzoga wako utatupwa lakini Kila mnyama na mdudu ataona kinyaa kuusogerea
Ushachekwa tayariWas a kindly man❌
Was a kind man✅
huwa nasisitiza watu watumie tu Kiswahili siyo dhambi.
AmeenRais Ali Hassan Mwinyi, aliyefariki siku ya Alhamisi na kuzikwa jana alikuwa mtu mkarimu. Nilipopigwa risasi Septemba '17 & kukimbizwa Nairobi kwa matibabu, Mzee Mwinyi na Mama Sitti walikuja The Nairobi Hospital kunitakia nafuu ya haraka. Apumzike kwa Amani ya Milele!"- Tundu Lissu
Na perceptions za watu towards you have big influence on your life or after!Bango zuri ni mtizamo tu wa watu
Sasa unachobisha nini ?A kind person. Not kindly. Umeenda ku google. Mimi nakueleza ambaye nimekaa uingereza. Kind ni adjective ambayo ina modify noun.
Kindly is adverb which modifies very.
Msiwe wabishi dogo. Jifunzeni msonge mbele.
Mmh!Nadhani wazanzibari Wana moyo tofauti na wabara. Huku bara tulikiwa na rais mwenye moyo wa kishetani kwelikweli.
Yaani alimpiga risasi Lisu halafu akakataza:-
1. Watu kumchangia damu.
2. Watu kumchangia fedha.
3. Watu kuvaa Tshirts za kumtakia uponaji wa haraka.
4. Wanaccm kwenda kumuona hospitali.
5. Akamtumia Ndugai amnyime hela za matibabu.
6. Akamtumia Ndugai amfute ubunge Lisu.
Magufuli was a Satan in human face.
Afe tena huko aliko.
Matendo yako ndio Hatima yakoNa perceptions za watu towards you have big influence on your life or after!
Wakurupukaji hao.Naona umemtandika za uso! Kwenye post#142 anadai eti kaishi Uingereza so he/she knows English very well! Chizi Maarifa kweli yule!
Kuishi Uingereza sio kujua Kiingereza kwa ufasaha.A kind person. Not kindly. Umeenda ku google. Mimi nakueleza ambaye nimekaa uingereza. Kind ni adjective ambayo ina modify noun.
Kindly is adverb which modifies very.
Msiwe wabishi dogo. Jifunzeni msonge mbele.
So kweliHiko Kiingereza kimenyooka zaidi ya rula Mzee. Ungepita kimya kimya ingekusaidia sana.
Kimsingi Lissu katumia Kiingereza cha zamani kidogo; Kiingereza cha medieval period. Ni lugha iliyotumika kwenye nyaraka kama KJV na lugha ngumu za kisheria za enzi za medieval! Sio kila mtu ana uwezo wa kumwelewa.Wakurupukaji hao.
Tundu Lissu akiandika jambo we ni nani unaquestion Lugha? That man is very smart
Ndiyo maana nimeuliza,hebu weka takwimuunaijua idadi ya waliouliwa Pemba 2020 na majeshi yale ya kukodi ?
Bila shakaKimsingi Lissu katumia Kiingereza cha zamani kidogo; Kiingereza cha medieval period. Ni lugha iliyotumika kwenye nyaraka kama KJV na lugha ngumu za kisheria za enzi za medieval! Sio kila mtu ana uwezo wa kumwelewa.
Wewe ndo Mungu sio? Binti wa Mbowe kafariki ana miaka 30 naye alikuwa hana hekima? Kaka yake na Mbowe naye kafariki hana miaka 70 naye ilikiwaje? Don't be stupid kifo sio adhabu ni asili!Huyo jamaa hakuwa MTU mzuri alijisahau akaanza kushikilia madaraka badala ya kushikilia hekima na angeshikilia hekima asingekufa angeishi hadi miaka sabini ya biblia
Kuna kitu unakwepesha hapaWewe ndo Mungu sio? Binti wa Mbowe kafariki ana miaka 30 naye alikuwa mbishi? Kaka yake na Mbowe naye kafariki hana miaka 70 naye ilikiwaje? Don't be stupid kifo sio adhabu ni asili!
Umechukua google uka copy and paste here. I explained to you linguistically. Kikanuni si sawa.Naona umekimbilia Google! Nenda Oxford Learner's Dictionary you will get the same! Kabishane nao kule.
Chizi mbona Mbishi sana?we ni mdogo wake zitto?Umechukua google uka copy and paste here. I explained to you linguistically. Kikanuni si sawa.
Tatizo vijana wengi wenye smart phone walikuwa wadogo au hawajazaliwa kipindi anatawala ndo maana wanamwita Babu hana baya!Bila shaka hili swali linaonyesha pia umri, tuliokuwepo miaka hio hakuna mtu aliyechukiwa kama Nyerere, kimsingi magufuli ni mtoto kwa Nyerere, yule alikuwa anawanyofoa madarakani hadi Marais wa nchi nyingine, sijui Kama umewahi kumsikia Binaisa, Tito Okelo n.k
Waliokoswakoswa humu ndani kina Kasanga Tumbo, fundikira, Tuntemeke. Waliokimbia nchi ni wengi, waliokula Shaba labda uwaulize wazenji nini kilimkuta Karume alipotaka kuvunja muungano
Huyo Mwinyi ndio mlezi mkuu wa ujambazi na madawa ya kulevya, enzi hizo jambazi anakutumia barua kuwa saa flani anakuja akute fedha kadhaa, ole wako useme polis, na wanakuja kweli kuchukua hela zao!!! Wengi wa polisi waliamua kuwa majambazi, lakini wamasai wanamjua vizuri alichowafanyia huko loliondo
Kuna mwandishi aliyeandika habari za Mwinyi kuuza mbuni wa ikulu kwa waarabu, wa gazeti la mfanyakazi, kesho yake maiti ilikutwa kwenye mtaro
HAKUNA RAIS MPOLE