Watu wa aina hiyo wana utajiri wa afya.umaskini usikie tu mitandaoni. Kuna sehemu nilienda mboga hazijui mafuta,dagaa wanachemsha tu maji na chumvi au hata bjla chumvi ,uji bila sukari
Wachina wanatoka China wanakuja Africa kuleta bidhaa, huduma na teknolojia yao.Kwahyo wachina walivyotapakaa Africa ina maanisha china hakuna kitu? Una Elimu gan?
Hujui kuwa watu hutafuta fursa Zaid popote,ndio tunachofanya haturiziki na fursa Moja , nyie mtaendelea kupanua madomo Sisi tunaendelea kutanua nchi nzima
Tutazidi kununua maeneo Kila mahali mkija kushtuka kushakucha
Mimi kwetu Kanda ya Ziwa. Nimekaa Bukoba miaka 3.Huo mkoa ni mdogo sana, ukiupeleka Tabora, Lindi au Morogoro unaweza kuwa Halmashauri.
Mkoa mdogo ni mwepesi kupima maendeleo & unaweza kuonekana unamaendeleo kumbe ofisi na miundombinu mingine ipo karibu karibu.
Asante.
Kilimanjaro ni madoni wa pombe
Hâta mkoa MKUBWA una rasilimali kubwaHuo mkoa ni mdogo sana, ukiupeleka Tabora, Lindi au Morogoro unaweza kuwa Halmashauri.
Mkoa mdogo ni mwepesi kupima maendeleo & unaweza kuonekana unamaendeleo kumbe ofisi na miundombinu mingine ipo karibu karibu.
Asante.
Wachina wanakuja África kutafuta fursa Sawa na waarabu,wahindiWachina wanatoka China wanakuja Africa kuleta bidhaa, huduma na teknolojia yao.
Wachagga wanakimbia Kilimanjaro, kwenda kwenye Mikoa ya watu kufanya Nini, zaidi ya kuuza bar na kitimoto??
HahahaMimi kwetu Kanda ya Ziwa. Nimekaa Bukoba miaka 3.
Kwasasa Niko Kilimanjaro.
Ukiambiwa uchague Kati ya Kagera na Kilimanjaro, ni Bora uishi Kagera.
Kilimanjaro ni takataka.
Kapambane na utapiamlo kwanza Ktk mkoa wakoMoshi yenyew sasa...full slums...eti wameendelea....mbege hiz sio aiseeView attachment 2700021
Ukiwa dhaifu huwezi ishi K’NJARO!Mimi kwetu Kanda ya Ziwa. Nimekaa Bukoba miaka 3.
Kwasasa Niko Kilimanjaro.
Ukiambiwa uchague Kati ya Kagera na Kilimanjaro, ni Bora uishi Kagera.
Kilimanjaro ni takataka.
Nadhani unazungumzia udhaifu kwenye unywaji wa pombe na unafikiUkiwa dhaifu huwezi ishi K’NJARO!
Saw COPA CABANA Tumekusoma MkuuSalaam kabla ya habari.
Jana kuna report imeeleza.
Mikoa ya 1. Dodoma.
2. Singida.
3.Tabora.
4. Kagera.
Pia Kigoma ambayo Mh. Philipi Hakuweka bado ina wimbi la umaskini, mambo ya kuishi chini ya dola moja haya daaah.
Arusha, Dar, Mwanza, n.k ni maskini kwa sababu watu wake wanateseka, magorofa sio tatizo bali jiulize wewe unakula na kulala pazuri yaani basic needs kwa mtu mmoja mmoja ni ishu.
Tunafanyaje watz, kwenu ushauri.
Cha kushangaza huko kwenye msongamano na maji ya mifugo ndio mnakimbilia kila siku.Hahaha
Kanda ya ziwa wanakokunywa maji pamoja na ngombe kwenye malambo?
Kilimanjaro ni kimkoa kidogo mnoo, na kwakuwa nchi yetu mifumo siyo customized. Ndio maana Kuna umeme.Kilimanjaro 95% ya nÿumba zote zina maji na umeme,
Barabara ya rami ni moja tu. Barabara kuu ya kuunganisha Wilaya.barabara Safi,
Kilimanjaro mjini ni wapi??supermarkets Hadi vijijin,
Kwenda mjini wapi?huduma zote za kijamii zinapatikana wilayan hkohko MTU Hana haja ya kwenda mjin
Wewe jamaa ni limbukeni sana. Ghorofa ni utamaduni tu wa Jamii fulani, pamoja na uhaba wa ardhi.Maghorofa,
Hotel za Nini?mahotel yapo vijijin hkohko
Zahanati zilizopo ni za Katoliki na kwakuwa kieneo chenyewe ni kidogo kukiwa na zahanati ya wakatoliki pamoja na serikali moja itaonekana Kuna zahanati nyingiHaishangazi kukuta Hadi zahanati za private Vijijin,
haishangazi kukuta wilaya Moja Ina hospital 5
Shule hazina msongamano Kwasababu ninyi na Watoto wenu mmekimbia Kilimanjaro mmeenda mikoa mingine kuongeza msongamano. Rudini kwenu Kama mtatosha?!!Haishangazi kukuta shule hakuna msongamano WA wanafnz kama hko kanda ya ziwa
Huku nilikuja kikazi na ninapamba kila namna kuhama huku. 99% ya kila mfanyakazi aliyeletwa huku anapambana kuhama. Ndio maana wanakatalia Uhamisho, maana watu wataisha.Uthibitisho WA ubora WA kuishi Kilimanjaro unao maana Hadi MDA Huu unaishi Kilimanjaro means ni kuzuri sana,
Huko kwenu nimetembea, nimeona watafuna mirungi fu, mbege, dadii, tope, milima, vumbi, unafiki na kitimoto.tembelea maeneo ya machame,marangu,rombo,kilema NK ukasafishe macho kwa makazi Safi,mazingira Safi na Hali ya hewa Safi kule watu hawanywi maji ya malambo, kule huduma zote zipo Karibu na mwananchi sio kama kwenu MTU kwenda wilayani anatumia masaa 8
Si bora hata hiyo dar wanayosema mpaka ufanye kazi ndo ule, means misosi ipo hadi ya jero (kula usife).Sio kweli mzee na umaskini wa lishe sio kiivyo jaribu kuwa mdadisi ile mikoa ambayo ina vyakula kibao wanakuwa na udumavu untaka useme hawana chakula ...Vijijini wanalima vyakula ni bwerere na Kusema dar kuna umaskini ni uongo hata siku moja ni uongo hata wanaishi kweny zile slams huko mbagala ,manzese ,Tandale kupata pesa kwao ni rahisi sema matumizi ni makubwa vyakula kibao ni cheap kwa uchumi wa dar watu hata maskini wanakula.
ishu ni malazi kama nyumba ni tatizo la wabongo na umaskini huwezi kudefine kwa majengo sijui malazi kutokana na mila za watu tofauti Mfano wamasai hawana shida ya kula na pesa wanazo ila wanaishi kweny nyumba za tope.
Nimeenda mtwara vijijini kabisa yaani nyumba choka mbaya nimekaa wiki ila msosi wake ni mzuri kwanza samaki wakubwa ,Kisamvu cha nazi na usiku wali wana magunia kibao ya mpunga ila wanatangwa kwa kinu ndo wapate mchele hawa swala la kula kwao sio shida maana hata mafuta hawatumii kwa sana ni nazi ..Ukiwaaangalia hao watoto wao ni majitu yamshiba watu wa kazi miili mikubwa kuliko mimi
Nazungumzia wavivu na maskini.Nadhani unazungumzia udhaifu kwenye unywaji wa pombe na unafiki
HahahahaUkiwa dhaifu huwezi ishi K’NJARO!
Wewe hujui kwann wazungu hupigana vikumbo hku África? Je África ni nzuri kuliko ulaya? Kwanza una Elimu gani? Nisije kuwa nabishana na TABULARASACha kushangaza huko kwenye msongamano na maji ya mifugo ndio mnakimbilia kila siku.
Kilimanjaro ni kimkoa kidogo mnoo, na kwakuwa nchi yetu mifumo siyo customized. Ndio maana Kuna umeme.
Kusema Kuna maji 95% ni stori za vijiwe vya mbege na mirungi.
Barabara ya rami ni moja tu. Barabara kuu ya kuunganisha Wilaya.
Kilimanjaro mjini ni wapi??
Kwasababu unapend sana kubweka kuhusu supermarket as if ni kitu Cha maana mnoo.
Ninavyojua supermarket huwa wanakodisha shelves than kunakuwa na suppliers. Yaani mtu kuwa na duka lake kubwa unaita supermarket [emoji26]
Kwenda mjini wapi?
Huduma gani?
Wewe jamaa ni limbukeni sana. Ghorofa ni utamaduni tu wa Jamii fulani, pamoja na uhaba wa ardhi.
Ndio maana Kenya wanapenda sana kujenga maghorofa.
Ghorofa Ni nyuma 2 zinazokaliana Wala siyo kitu Cha ajaabu.
Hotel za Nini?
Kila, guest house au Nini?
Zahanati zilizopo ni za Katoliki na kwakuwa kieneo chenyewe ni kidogo kukiwa na zahanati ya wakatoliki pamoja na serikali moja itaonekana Kuna zahanati nyingi
Hospitali za kiwango gani?
Maana unazungumza zahanati Mara unarukia Hospitali. Upuuzi
Shule hazina msongamano Kwasababu ninyi na Watoto wenu mmekimbia Kilimanjaro mmeenda mikoa mingine kuongeza msongamano. Rudini kwenu Kama mtatosha?!!
Huku nilikuja kikazi na ninapamba kila namna kuhama huku. 99% ya kila mfanyakazi aliyeletwa huku anapambana kuhama. Ndio maana wanakatalia Uhamisho, maana watu wataisha.
Huko kwenu nimetembea, nimeona watafuna mirungi fu, mbege, dadii, tope, milima, vumbi, unafiki na kitimoto.
Labda Kama unajua sehemu nyingine