luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Wewe ni mshamba mnoKama Sasa hivi Kuna upepo na vumbi. Kuna maeneo ukifua nguo unaanika ndani.
Wanasubiri mvua ishuke, wakija Desemba wapige picha kijani kutambia mitandaoni
Same na mwanga ni uchagani ?Hahaa kilimanjaro upo overrated sana,umesema maghorofa na mahoteli yapo hukohuko vijijini je ni vijiji vipi hivyo?, umesema 95% nyumba zina maji je umeshawahi kuishi same au unaongelea uchagani tu
Ni kama uende marekan je utatoboa kama huna Hela? HII ni uthibitisho Kilimanjaro ilishaendelea Siku nyingi,utafanya kipi kisichokuwepo?Yah kuna mtu mmoja wa kilimanjaro niliongeaga nae alikiri kilimanjaro hasa moshi vijijini pamoja na mazingira mazuri ya walimu kuna uhaba wa walimu sababu wengi wanahama,ni ngumu kufanya maendeleo eneo ambalo hata kiwanja ni ngumu kuuziwa
Nyinyi si mnasems hamtegemei serikaliTatizo la walimu wa science liko nchi nzima ni jukumu la serekali kuajiri na kuwalipa walimu despite ya yote matokeo ya form four kilimanjaro imekua ikiongoza kwa kuwa ya kwanza kwa ufaulu
Ukiwa mfanyakazi Kilimanjaro utataabika sana.Yah kuna mtu mmoja wa kilimanjaro niliongeaga nae alikiri kilimanjaro hasa moshi vijijini pamoja na mazingira mazuri ya walimu kuna uhaba wa walimu sababu wengi wanahama,ni ngumu kufanya maendeleo eneo ambalo hata kiwanja ni ngumu kuuziwa
Kwani title inaongelea kilimanjaro au uchagani?Same na mwanga ni uchagani ?
Uchagan ni 95% whole région kwa mujibu WA NBS ni 90% makazi bora
Same,mwanga ,hai kuna maeneo mengi ni jangws nimeishi same usiongopee watuWewe ni mshamba mno
Nini maana ya seasons of the year?
Kilimanjaro kiangazi ni mwezi mmoja au miwili tu,kule wanalima mara mbili kwa mwaka au unadhani ni jangwani kama kwenu
Kilimanjaro naijua japo imeendelea iko overrated, eti tofauti ya mjini na vijijini ni idadi ya watu usitudanganye,hivi pale ruvu wilaya ya same kuna nyumba gani za kisasa ,mamba miamba ,kisiwani,vudee,ni mjini pale ?Tatizo lenu watu hamtembei hii nchi,ukifika kilimanjaro tofauti ya mjini na vijijini ni idadi ya watu sio maendeleo yao...makazi ya vijijini ni ya kisasa sana na huduma kama maji safi shule hospital na barabara ni tangu zamani...mikoa mingine bado hata makao makuu ya mkoa ni aibu
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Kilimanjaro hasa uchagani kuna uhaba wa walimu ,kuna shule zina walimu wanne ,watanoTatizo la walimu wa science liko nchi nzima ni jukumu la serekali kuajiri na kuwalipa walimu despite ya yote matokeo ya form four kilimanjaro imekua ikiongoza kwa kuwa ya kwanza kwa ufaulu
Uliishia same?kama umeishia huko siwezi kukulaumuKilimanjaro naijua japo imeendelea iko overrated, eti tofauti ya mjini na vijijini ni idadi ya watu usitudanganye,hivi pale ruvu wilaya ya same kuna nyumba gani za kisasa ,mamba miamba ,kisiwani,vudee,ni mjini pale ?
Kwahyo na waalimu tuwaajiri sio?Nyinyi si mnasems hamtegemei serikali
Wewe kadanganye nyumbu wenzioUkiwa mfanyakazi Kilimanjaro utataabika sana.
— Kilimanjaro ni Kama Ina centers chache sana ( urban areas), sehemu nyingine ni mapori tu, ya vichaka, milima, miinuko, mabinde,na mvua ikinyesha ni tope.
— Maisha ni gharama, hata Dar Kuna nafuu. Hakuna dagaa, ufugaji mgumu na samaki mpaka waletwe kutoka kwingine, hivyo Bei ni kubwa.
— Huwezi kujenga, utapanga mpaka siku ya kustaafu.
— Huwezi kulima. Kilimanjaro ardhi hakuna, na iliyopo inayofaa ni kidogo sana, nyingine imejaa pori, mabonde, milima na mawe.
— Huwezi kufuga. Kilimanjaro hakuna ardhi, hivyo hakuna ufugaji huria. Ufugaji ni mgumu,Kama unafuga ng'ombe, nguruwe, mbuzi au kuku unatakiwa kuwakatia majani kila siku. Na wewe Kama ni chasaka huna shamba, huwezi kukata majani kwa mtu, wachagga wanapenda kesi kuliko KULA.
— Unafiki na roho. Mchagga Yuko tayari hata kukusalimia shikamoo ili umpe anachotaka, ila siku ukipata mabaya atafurahi huyo.
— Ni ngumu kufanya biashara. Kwasababu kwanza vijana wengi wanaikimbia Kilimanjaro na kurudi mwisho wa mwaka tu. Mkoa umejaa wazee tupu.
— Kilimanjaro haimfai kijana mtafutaji, labda Kama unakuja kukaa tu, hasa wastaafu.
Kilimanjaro ni kama masaki ilishaendelea watu n'a Hela Zao wanatamua wewe tatizo huna HelaUkiwa mfanyakazi Kilimanjaro utataabika sana.
— Kilimanjaro ni Kama Ina centers chache sana ( urban areas), sehemu nyingine ni mapori tu, ya vichaka, milima, miinuko, mabinde,na mvua ikinyesha ni tope.
— Maisha ni gharama, hata Dar Kuna nafuu. Hakuna dagaa, ufugaji mgumu na samaki mpaka waletwe kutoka kwingine, hivyo Bei ni kubwa.
— Huwezi kujenga, utapanga mpaka siku ya kustaafu.
— Huwezi kulima. Kilimanjaro ardhi hakuna, na iliyopo inayofaa ni kidogo sana, nyingine imejaa pori, mabonde, milima na mawe.
— Huwezi kufuga. Kilimanjaro hakuna ardhi, hivyo hakuna ufugaji huria. Ufugaji ni mgumu,Kama unafuga ng'ombe, nguruwe, mbuzi au kuku unatakiwa kuwakatia majani kila siku. Na wewe Kama ni chasaka huna shamba, huwezi kukata majani kwa mtu, wachagga wanapenda kesi kuliko KULA.
— Unafiki na roho. Mchagga Yuko tayari hata kukusalimia shikamoo ili umpe anachotaka, ila siku ukipata mabaya atafurahi huyo.
— Ni ngumu kufanya biashara. Kwasababu kwanza vijana wengi wanaikimbia Kilimanjaro na kurudi mwisho wa mwaka tu. Mkoa umejaa wazee tupu.
— Kilimanjaro haimfai kijana mtafutaji, labda Kama unakuja kukaa tu, hasa wastaafu.
Kuna vitu viwiliKwani title inaongelea kilimanjaro au uchagani?
Hayo maeneo ya same ni asilimia ndgo mno ya populationKilimanjaro naijua japo imeendelea iko overrated, eti tofauti ya mjini na vijijini ni idadi ya watu usitudanganye,hivi pale ruvu wilaya ya same kuna nyumba gani za kisasa ,mamba miamba ,kisiwani,vudee,ni mjini pale ?
Katk mikoa yenye ratio inayoridhisha ya waalimu Kilimanjaro,dar ni mojawapoKilimanjaro hasa uchagani kuna uhaba wa walimu ,kuna shule zina walimu wanne ,watano
Na mm nimemjibu,Ana argue kwa kutumia upareni ambako ni 20% tu ya population, uchagan ndio inabeba 80% ya population hapo hapazungumziiUliishia same?kama umeishia huko siwezi kukulaumu
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Hai? Mkuu acha utaniSame,mwanga ,hai kuna maeneo mengi ni jangws nimeishi same usiongopee watu
Tanzania yote ni masikini. usijifariji. wewe mwenyewe ni masikini, katafute hela ili usishinde mitandaoni kuleta hoja za kimasikini.Salaam kabla ya habari.
Jana kuna report imeeleza.
Mikoa ya 1. Dodoma.
2. Singida.
3.Tabora.
4. Kagera.
Pia Kigoma ambayo Mh. Philipi Hakuweka bado ina wimbi la umaskini, mambo ya kuishi chini ya dola moja haya daaah.
Arusha, Dar, Mwanza, n.k ni maskini kwa sababu watu wake wanateseka, magorofa sio tatizo bali jiulize wewe unakula na kulala pazuri yaani basic needs kwa mtu mmoja mmoja ni ishu.
Tunafanyaje watz, kwenu ushauri.
Achana naeNa mm nimemjibu,Ana argue kwa kutumia upareni ambako ni 20% tu ya population, uchagan ndio inabeba 80% ya population hapo hapazungumzii