Chukua manka ya kichaga Acha kulia lia mkuu.Yaaah mkuu....ukioa mchaga kadri unavyozidi kutajiri ndivyo lifespan Yako Ina decline
Utabiri ni inversely proportional to lifespan [emoji23][emoji23]
Huu ulikuwa ujinga na dhana potofu ya zamani baada ya ukoloni......siku hizi jamii ikishajuwa umeoa mchagga (demu) wanakucheka pembeni (nyuma ya pazia), washikaji waliokuzoea watakukalisha chini na kukuuliza umepetwa na matatizo gani kuoa Mchagga. Wanawake wa Kichagga na Kipare si wa kuoa mkuu, ondoa kabisa ujinga huu kichwani mwako. Yes. kuna baadhi yao wako tofauti lakini jamii bado tu haitakuelewa kuoa hawa watu. Mtaani tunawaita majinamizi ya talaka.i hope wazima wana jamii forum
hivi kuna siri gani na nguvu ipi kwa wanawake wakichaga. kwanza ni wazuri wanajua kutafuta na washauri wazuri kwenye familia, na ni walezi wazuri kwa familia ukitaka familia yako iwe smart muoe mwanamke wa kichaga.
familia nyingi za kichaga zimejijenga vizuri kiuchumi utakapo muoa mwanamke wa kichaga yale mambo ya ndugu wa mwanamke kujaa kwako hayatakuwepo..kila mtu yupo na familia yake kutembeleana ni mwisho wa mwaka mwezi 12
Bro ukitaka kuheshimika mtaani muoe mwanamke kichaga mtaa mzima utatembea kifua mbele utapokea sifa za kila aina.Usiseme sijakwambia
Ukiwa fala uwezi kuoa mwanamke wa kichaga utampa nini au unataka kuleta laana za umasikini kwenye ukoo wao....
Acheni kuoa hao wacheza baikoko wapenda starehe mwanamke ana ata malengo
wanawake wa kichaga muwe na uck mwema nyie wengine lolote liwakute😁
Elewa maelezo ya msingi...kifupi mimi ndiye naishi nae naweza sema namfahamu vzr kwa sehemu,huu ni mwaka 9 tunaenda sawa...mpk sasa maisha positive more than 90%.Kwahiyo mtu akisali ndio anakuwa sio malaya
Bado una njia ndefu
Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
Hao wachaga wenyewe kuna maboya wa kutosha, punguzeni kujilisha upepo!Sema na ww kama sio mchaga kumpata mwanamke wakichaga lazima uwe na kitu, ukiwa boyaboya huwezi oa mchaga!
Kaamua kujifariji tuKwaiyo wewe...kuoa mchaga umeaona umepatia sanaaaaa....
Wachaga kibao wanaachwa tu
Kweli ameamua kuzua taharukiKaamua kujifariji tu
My friend.........
Tafuta mkinga, alafu thank me later
Pamoja me ni mchaga ila sijawahi elewa pisi za kichaga na ni ndoa chache unakuta wameoana wao kwa wao mana sisi tuna tunisha misuli tukikutana.
Hakuna anayemkubali mwenzake na vile men kwa mapenz ni 0 bc dah ...
Kuna wakinga mkuu na wahehe umesahau kwa list nawakubal sana.
Wote nimepita nao kidogo mchaga Ila wanawake wa kikinga wana uvivu fulani kwenye kupambana wanategemea zaidi wanaume, wanawake wa kichaga ni wapambanaji haswa wanapiga mishe mpaka usiku usiku wa manane
Utatangulia mbele za haki siku si zako
Wanawake wanapatikana Njombe tu.
Huko kwingine kujitafutia matattizo tu
Mimi nikiona kuna nguvu kubwa ya kutangaza Jambo ndio wasiwasi unanizidi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]i hope wazima wana jamii forum
hivi kuna siri gani na nguvu ipi kwa wanawake wakichaga. kwanza ni wazuri wanajua kutafuta na washauri wazuri kwenye familia, na ni walezi wazuri kwa familia ukitaka familia yako iwe smart muoe mwanamke wa kichaga.
familia nyingi za kichaga zimejijenga vizuri kiuchumi utakapo muoa mwanamke wa kichaga yale mambo ya ndugu wa mwanamke kujaa kwako hayatakuwepo..kila mtu yupo na familia yake kutembeleana ni mwisho wa mwaka mwezi 12
Bro ukitaka kuheshimika mtaani muoe mwanamke kichaga mtaa mzima utatembea kifua mbele utapokea sifa za kila aina.Usiseme sijakwambia
Ukiwa fala uwezi kuoa mwanamke wa kichaga utampa nini au unataka kuleta laana za umasikini kwenye ukoo wao....
Acheni kuoa hao wacheza baikoko wapenda starehe mwanamke ana ata malengo
wanawake wa kichaga muwe na uck mwema nyie wengine lolote liwakute[emoji16]
Ubaya wa dada wa kichaga unaweza kumuoa pisi Kali ila baada ya miaka kadhaa Tako linapotea, Tumbo linakuwa kubwa!
Wanajaa hovyo miili anakuwa kama mdudu!
Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
Mchaga akioa mkinga mambo yake yanakua boom [emoji95]
huyu ni mchaga?Kuna mastar wa kazi kina jams delicious, tatizo kujifanya utafutaji kumewaponza.
una uhakika?Ubaya wa dada wa kichaga unaweza kumuoa pisi Kali ila baada ya miaka kadhaa Tako linapotea, Tumbo linakuwa kubwa!
Wanajaa hovyo miili anakuwa kama mdudu!
Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
Tatizo wanaongea sana hadi mtaa wa pili! Mdomo mreeeeefu! Mwanaume kama unataka stress chukua hayo mamjamaa! Kama ukiomba Mungu akakupa hapo sawa! Lakini ukijichanganya hiyo mianamke ya kichaga ni majanga! Hayajui kumstahi mume! Yenyewe domo juu na kujifanya yanajua kila kitu! Mxiuuuh!i hope wazima wana Jamii forum
Hivi kuna siri gani na nguvu ipi kwa wanawake wakichaga. kwanza ni wazuri wanajua kutafuta na washauri wazuri kwenye familia, na ni walezi wazuri kwa familia ukitaka familia yako iwe smart muoe mwanamke wa kichaga.
Familia nyingi za kichaga zimejijenga vizuri kiuchumi utakapo muoa mwanamke wa kichaga yale mambo ya ndugu wa mwanamke kujaa kwako hayatakuwepo..kila mtu yupo na familia yake kutembeleana ni mwisho wa mwaka mwezi 12
Bro ukitaka kuheshimika mtaani muoe mwanamke kichaga mtaa mzima utatembea kifua mbele utapokea sifa za kila aina.Usiseme sijakwambia
Ukiwa fala uwezi kuoa mwanamke wa kichaga utampa nini au unataka kuleta laana za umasikini kwenye ukoo wao....
Acheni kuoa hao wacheza baikoko wapenda starehe mwanamke ana ata malengo
Wanawake wa kichaga muwe na uck mwema nyie wengine lolote liwakute😁
Warangi utakuja kulia lazimaKila mtu na aoe yule ampendaye sio kupangiwa na watu
.
Watu wameoa warangi na wametembea kifua mbele....
USITUPANGIE
Watu hawajui tu ila tuliopo ndani ya hizi clans tunajua vzur ni sio sana kwamba wanapendelea kuoana wao kwa wao mana madada zetu jeuri nying sana.Lazima iende. Wachagga na wapare wanaoana vizuri, ila kwa siku hizi mchaga kwa mchaga ndio imekuwa Kimbembe.
Wadada wengi wa kichaga hawapendelei kuolewa na Wachagga wenzao.
Nazungumzia hawa Wachagga waliochangamana na jamii zingine
Sio kweli mm sio mchaga lkn toka nmeanza mahusiano hua nakutana na wachaga tu sijawahi kutana na mwanamke tofauti na mchaga halaf siwapendi wanawake wa kichaga lkn ndio nakutana nao kingine watu wasichokijua hawa wanawake ni malaya aisee na huko kwao moshi ukimwi ni mwingi sana kuliko watu wanavyofikiriaSema na ww kama sio mchaga kumpata mwanamke wakichaga lazima uwe na kitu, ukiwa boyaboya huwezi oa mchaga!