Ukiogea chumvi ya mawe kila mtu hukuona ni mtu mwenye amani

Hio sadaka unampa nan labda?
 
Funguka sasa,tiririka kuhusu chumvi ya mawe,ya aina gani,inapatikana wapi,unaogea wapi mara ngapi,faida zake ni zipi.?nk

Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaogeaje? Unaikoleza kwenye maji? Kiasi gani? Chumvi ya mawe ni ipi hiyo? Au Magadi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…