Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unauliza 'Kuchomekea' Shati kwa Max Mpia Zengeli?Kumbe na wewe ni kondoo wa mwamposa na kuhan Musa?
Sahihi!Wanazuoni wanadai ili upate matokeo azuri tumia chumvi ya mawe ambayo haijagushiwa...isiwe imechakatwa kiwandani.
Wanaongeze pia, nzuri zaidi ni ile ya rangi ya pink inayotoka milima ya Himalayan.....almaarufu Himalayan salt. Hii huchimbwa kwenye miamba ya milima tofauti na tulizozizoe za kwenye bahari na sehemu nyingine.
Chumvi na maji zikiungana zinatengeneza kitu kikubwa katika ulimwengu wa roho, ni element ambazo hazina mbadala (alternative). Hakuna mbadala wa chumvi na maji kwenye matumizi yake.
Kazi za chumvi kikawaida ni hizi, kutunza (hutunzia vitu km nyama visiharibike), kutia ladha, kutakasa/kusafisha. Sasa unpoitumia lazima unuie...kwa maneno yetu tunaumba.
Ewe chumvi uliyeumbwa toka asilia ya dunia ilipoanza, kama utunzapo vitu....itunze nyota yangu...,., kama utakasapo vitu....takasa mwili na nyota yangu....nuia kwa kumaanisha.
Sadaka yangu natoa kwa wahitaji tu..sipeleki kanisani hata siku moja.Mchawi kiboko yake sadaka tu ukiinenea hakuna takataka itakugusa uonekani kwenye radar zao.
Thus wanapotosha sana watu ili wasitoe sadaka mara zinaliwa,mara sijui nini,Hali wao wanatoa sana kwa shetani.
Hivi mchawi ambae kamtoa mtoto wake sadaka kwa maumivu,we Mkristo utoae chenji utamuweza kweli?
Thus wachawi wanawagalagaza sana Wakristo sababu wao wanatoa sadaka kwa maumivu na uaminifu wa Hali ya juu.
Hata Siri kubwa ya wayahudi kufanikiwa ni sadaka.
Hakuna Myahudi fukara Duniani labda awe teja au hayupo kwenye mfumo wa dini Yao.
1kg n 2000/=kama kumbukumbu zangu hazijapoteaKwa ambao hamjui pa kupata chumvi njooni na elfu 5 niwape 1kg mjini dar
Kwani we ukiwa unapeleka pale kanisa moyoni umeamua kumtolea nani? Mtu hajiongozi yeye pakupeleka kutoa sadaka ila kama amekaa kwenye network nzuri yakusikia atasikia wapi pakupeleka kwahiyo hata akiambiwa apeleke kanisani haitomsumbua nani atakaye pokea hapo kanisani. Niongeze sauti ??Sadaka yangu natoa kwa wahitaji tu..sipeleki kanisani hata siku moja.
Naamini nitabarikiwa nikipeleka kwa wagonjwa,mayatima n.k
Hata sahani moja ya chakula kwa mwenye uhitaji ama kilo ya unga ni sadaka kubwa sana.
Wachungaji wanachangiwa masikini wanaombewa.
#ubatili
Ndo yule ambaye akiongea chawa wake anaitikia eeeeemeeeeeeni akiongea kidogo tena unasikia emeeeeeeni ndo yule?Ndo style yake
Uliibiwa 1Kg ni Tsh 1,000/= tu Mkuu Ok?1kg n 2000/=kama kumbukumbu zangu hazijapotea
Sauti inatosha,Kwani we ukiwa unapeleka pale kanisa moyoni umeamua kumtolea nani? Mtu hajiongozi yeye pakupeleka kutoa sadaka ila kama amekaa kwenye network nzuri yakusikia atasikia wapi pakupeleka kwahiyo hata akiambiwa apeleke kanisani haitomsumbua nani atakaye pokea hapo kanisani. Niongeze sauti ??
Anaboa sana yule chawa anaelipwa kwa kazi ya kuongeza ladhaNdo yule ambaye akiongea chawa wake anaitikia eeeeemeeeeeeni akiongea kidogo tena unasikia emeeeeeeni ndo yule?
Anaboa sanaa. Kanisa likalitazame hili ile sio kazi ujinga uleAnaboa sana yule chawa anaelipwa kwa kazi ya kuongeza ladha
Yeye nabii Musa huwa anaipata wapi hiyo chumviNenda ibadani kwa Kuhani Musa...
Huwa haipatikani mpaka ibadani...
Hiyo stage nilishavuka sa hivi naomba mwenyew halafu naambiwa wapi niwapelekee. Kwan mfano wewe kwa baba yako unaombewaga Mahitaji yako au unaomba mwenyewe?Sauti inatosha,
Wapelekee wakakuombee
Kama nimekwambia siendi kanisan na sitoi sadaka,dini ni utapeli kama utapeli mwingine..Hiyo stage nilishavuka sa hivi naomba mwenyew halafu naambiwa wapi niwapelekee. Kwan mfano wewe kwa baba yako unaombewaga Mahitaji yako au unaomba mwenyewe?
mimi ni kaka yake damu moyaOy una undugu na marehemu mwizukulu jilala mume WA Norah?
mimi ni kaka yake damu moya
mimi nimeifanya kuiogea kila siku..yaani ndio style ya maisha yangu kwa sasa...nilikuwa napigwa vita mbaya sana kuanzia kwenye familia ya baba yangu mpaka kwenye mfumo(system)Huwa inategemea na neno la Mungu na maelekezo ya Roho Mtakatifu atakayompa kuitumia hiyo chumvi...
Inaweza ikawa siku 3 au 7
Nyingine sio kuoga ni kula
sele yupi unaemuongelea hapa?....au sele (selemani) wa msanii mboso😁Ni wewe mlikuwa na ofisi pale magomeni mapipa? Nimemkumbuka sana rafiki yangu Sele.
Sio chumvi ya mawe tu hata magadiHiyo kweli Mkuu nimejionea Sana.