Ukiogea chumvi ya mawe kila mtu hukuona ni mtu mwenye amani

Ukiogea chumvi ya mawe kila mtu hukuona ni mtu mwenye amani

Wanazuoni wanadai ili upate matokeo azuri tumia chumvi ya mawe ambayo haijagushiwa...isiwe imechakatwa kiwandani.

Wanaongeze pia, nzuri zaidi ni ile ya rangi ya pink inayotoka milima ya Himalayan.....almaarufu Himalayan salt. Hii huchimbwa kwenye miamba ya milima tofauti na tulizozizoe za kwenye bahari na sehemu nyingine.

Chumvi na maji zikiungana zinatengeneza kitu kikubwa katika ulimwengu wa roho, ni element ambazo hazina mbadala (alternative). Hakuna mbadala wa chumvi na maji kwenye matumizi yake.

Kazi za chumvi kikawaida ni hizi, kutunza (hutunzia vitu km nyama visiharibike), kutia ladha, kutakasa/kusafisha. Sasa unpoitumia lazima unuie...kwa maneno yetu tunaumba.

Ewe chumvi uliyeumbwa toka asilia ya dunia ilipoanza, kama utunzapo vitu....itunze nyota yangu...,., kama utakasapo vitu....takasa mwili na nyota yangu....nuia kwa kumaanisha.
Sahihi!
nilisoma mahali sikumbuki,unapokoga asubuh ujeukie jua linapochomoza. Nahisi ni humu humu ama youtube.

Yuko jamaa alifanya kazi sehemu zaidi ya nane na zote wanamfukuza bila sababu,mke kamwachia mtoto mdogo kachukuliwa na rafiki yake wa karibu..
Ni rafiki nilimsikiliza kwa kina,amekwenda kwa waganga wengi na amekunywa makombe(sijui vikombe) vingi vya wataalam ila hakupata msaada..

Hapa ofisini kwetu alikaa mwezi na nusu wakamfukuza"ilinisikitisha",sikuona sababu ya msingi ni alionewa tu,iko siku alipigwa na dereva wa staff bus kisa alimgusa bega..utawala ukasimama upande wa dereva.

Jamaa sijui alikua na nyota gani?hakuna zuri atakalofanya likaonekana..moyoni nikahisi ni "karma" inamwinda.

Siku niliona uzi wa Mshana Jr
Nikamshauri aogee maji ya chumvi.

Mwaka huu mwanzoni nilonana nae akanishukuru imemsaidia amepata kazi na amedumu anaendea mwezi wa sita.
 
Mchawi kiboko yake sadaka tu ukiinenea hakuna takataka itakugusa uonekani kwenye radar zao.
Thus wanapotosha sana watu ili wasitoe sadaka mara zinaliwa,mara sijui nini,Hali wao wanatoa sana kwa shetani.
Hivi mchawi ambae kamtoa mtoto wake sadaka kwa maumivu,we Mkristo utoae chenji utamuweza kweli?
Thus wachawi wanawagalagaza sana Wakristo sababu wao wanatoa sadaka kwa maumivu na uaminifu wa Hali ya juu.
Hata Siri kubwa ya wayahudi kufanikiwa ni sadaka.
Hakuna Myahudi fukara Duniani labda awe teja au hayupo kwenye mfumo wa dini Yao.
Sadaka yangu natoa kwa wahitaji tu..sipeleki kanisani hata siku moja.

Naamini nitabarikiwa nikipeleka kwa wagonjwa,mayatima n.k

Hata sahani moja ya chakula kwa mwenye uhitaji ama kilo ya unga ni sadaka kubwa sana.

Wachungaji wanachangiwa masikini wanaombewa.
#ubatili
 
Sadaka yangu natoa kwa wahitaji tu..sipeleki kanisani hata siku moja.

Naamini nitabarikiwa nikipeleka kwa wagonjwa,mayatima n.k

Hata sahani moja ya chakula kwa mwenye uhitaji ama kilo ya unga ni sadaka kubwa sana.

Wachungaji wanachangiwa masikini wanaombewa.
#ubatili
Kwani we ukiwa unapeleka pale kanisa moyoni umeamua kumtolea nani? Mtu hajiongozi yeye pakupeleka kutoa sadaka ila kama amekaa kwenye network nzuri yakusikia atasikia wapi pakupeleka kwahiyo hata akiambiwa apeleke kanisani haitomsumbua nani atakaye pokea hapo kanisani. Niongeze sauti ??
 
Kwani we ukiwa unapeleka pale kanisa moyoni umeamua kumtolea nani? Mtu hajiongozi yeye pakupeleka kutoa sadaka ila kama amekaa kwenye network nzuri yakusikia atasikia wapi pakupeleka kwahiyo hata akiambiwa apeleke kanisani haitomsumbua nani atakaye pokea hapo kanisani. Niongeze sauti ??
Sauti inatosha,
Wapelekee wakakuombee
 
Huwa inategemea na neno la Mungu na maelekezo ya Roho Mtakatifu atakayompa kuitumia hiyo chumvi...

Inaweza ikawa siku 3 au 7

Nyingine sio kuoga ni kula
mimi nimeifanya kuiogea kila siku..yaani ndio style ya maisha yangu kwa sasa...nilikuwa napigwa vita mbaya sana kuanzia kwenye familia ya baba yangu mpaka kwenye mfumo(system)
 
Back
Top Bottom