Nshomile wa Muleba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,166
- 5,620
Ujue kunatofauti kati ya kuwa na pesa nyingi na kuwa tajiri.Nipo kwny fani ya madini.
ni normal sana kuona kijana ana zaidi ya million 300 under 30.
Mimi mwenyewe niliwahi kukamata million 60 nikiwa na 27 kwenye madini.
Huyu mtoa mada atakuwa mwalimu
Kuna jamaa nilimaliza nae darasa la 7, akashindwa kuendelea sekondari sababu ya maisha. Jamaa akaingia kwenye kazi za kuchimba madini tena locally na sululu tu nyundo majembe. Miaka minne baadae akiwa na miaka 21 akapata dhahabu akapata milioni 50 mi hapo nipo form 4. Akanunua trekta akaenda Kiteto akajichimbia kwenye kilimo huku akikodisha trekta. Baadae mi namaliza Chuo jamaa anamiliki pesa si chini ya milioni 400 akiwa 26yrs nilikutana nae nilimshangaa sana. Mpaka Sasa anamiliki nyumba nyingi sana mikoa tofauti.Wewe unaonaje mkuu
Ungekuw mbali kww kubadilisha wastan wa matokeo kwa devision formatAliyesema hivyo ni mpumbavu sana na maskini wa kifikra. Siasa za ujamaa na kujitegemea ziliharibu sana fikra za watu na kudhani utajiri ni dhambi. Hadi nyakati hizi kwenye kampeni za uchaguzi wagombea hufanya maigizo kwamba wao ni maskini tu kama wapiga kura. Wapiga kura nao kwa kutaka kampani ya umaskini huishia kuwapigia kura wagombea wa aina hii. Tanzania utakuta mtu kama Fred mwenye umri wa zaidi ya miaka 35 anaitwa tajiri kijana wakati dunia ya leo ina mamilionea wenye miaka chini ya 25. Fikra kama hizo ndo zimefanya nchi kuendelea kupoteza pesa kwenye miradi kama BBT kwa kudhani kuna utajiri wa vikundi badala ya kuwawezesha vijana ambao tayari wako kwenye kilimo. Umaskini ni fedheha, tuukatae. Utajiri sio dhambi wala uhalifu.
Wazee wetu wengi hawataki kabisa changamoto mpya toka kwa vijana. Mimi niliwahi kuwa mwalimu wa sekondari kwa miezi kadhaa kabla sijaenda chuo.. nakumbuka niliandaa matokeo ya wanafunzi wa kidato cha pili nikayaweka kwenye wastani na madaraja (division). Mkuu wa shule akaniambia hiyo haifai yabadilishe kwenye report form isome wastani tu. Mambo ya division hadi form four. Nikashangaa sana na ninakumbuka waalimu wazoefu walinicheka na kusema TULIKUAMBIA. Miaka kadhaa mbele NECTA wanatoa matokeo ya form II kwa division. Kama lile wazo lingechukuliwa tungekuwa mbali sana ila kwa sababu ndo kwanza nilikuwa mdogo wa umri miaka 20 kasoro nikapuuzwa.
mwizi baba yakoMwizi
Wewe shikiria hapo hapo jua hivyo tu ni mwizi, au hadi tukupe mifano hai?
mbona kawaida sana....་Kuna jamaa nilimaliza nae darasa la 7, akashindwa kuendelea sekondari sababu ya maisha. Jamaa akaingia kwenye kazi za kuchimba madini tena locally na sululu tu nyundo majembe. Miaka minne baadae akiwa na miaka 21 akapata dhahabu akapata milioni 50 mi hapo nipo form 4. Akanunua trekta akaenda Kiteto akajichimbia kwenye kilimo huku akikodisha trekta. Baadae mi namaliza Chuo jamaa anamiliki pesa si chini ya milioni 400 akiwa 26yrs nilikutana nae nilimshangaa sana. Mpaka Sasa anamiliki nyumba nyingi sana mikoa tofauti.
Kwa hiyo, kwa mawazo yako, sisi tunaomiliki 100m ni matajiri?Kauli hii inayotrend imenifikirisha Sana wakati mwingine nikidhani nikweli!
Embu tutazame Jambo hili kwa Tanzania kijana kuwa tajiri labda mwenye Umri wa Under 30yrs amiliki angalau 100M Jambo hili linawezekana? Je, mifumo na mazingira yanawezesha?
Bila kutarajia vilivyotajwa kwenye kichwa Cha mada hii?
Mkuu ndio ujue mentality hii inaonesha level za umaskini uliopo TZ, yaani kijana kumiliki milioni 100 akiwa chini ya miaka 30 basi ni maajabu[emoji23][emoji23] kwamba ni mwizi.mbona kawaida sana....་
Rudia kusoma Tena labda utaelewaKwa hiyo, kwa mawazo yako, sisi tunaomiliki 100m ni matajiri?
Au ili mtu aitwe tajiri anatakiwa amiliki pesa kiasi gani?
Soma vizuri ueleweSasa 100M ni hela ya kumuita mtu tajir? Hiyo ni hela ya kijana mpambanaji, hiyo hela ni ya kununua eneo la biashara uendeleee kupiga noti
SahihiHata bodaboda anaweza kufikisha 100m akiwa chini ya miaka 30
Safi sanaKuna jamaa nilimaliza nae darasa la 7, akashindwa kuendelea sekondari sababu ya maisha. Jamaa akaingia kwenye kazi za kuchimba madini tena locally na sululu tu nyundo majembe. Miaka minne baadae akiwa na miaka 21 akapata dhahabu akapata milioni 50 mi hapo nipo form 4. Akanunua trekta akaenda Kiteto akajichimbia kwenye kilimo huku akikodisha trekta. Baadae mi namaliza Chuo jamaa anamiliki pesa si chini ya milioni 400 akiwa 26yrs nilikutana nae nilimshangaa sana. Mpaka Sasa anamiliki nyumba nyingi sana mikoa tofauti.
LinawezekanaUmri wa Under 30yrs amiliki angalau 100M Jambo hili linawezekana?
Wengi wenye mafanikio makubwa wametokea hukoKwa umri huo, unawezaje kuwa na milioni 100!
May be baada ya shule ya msingi,
Ukaenda kufanya kazi! Yenye malipo mazuri,