Ukiona kijana tajiri ujue ni mwizi, aliachiwa pesa na baba yake au beti

Nipo kwny fani ya madini.

ni normal sana kuona kijana ana zaidi ya million 300 under 30.

Mimi mwenyewe niliwahi kukamata million 60 nikiwa na 27 kwenye madini.

Huyu mtoa mada atakuwa mwalimu
 
Kumiliki 100m sidhan kama ni utajiri.

Binafsi umri wangu bado haujafika hapo kwenye 30. Ila kutokana na kazi na mshahara wangu nakopesheka mpaka mil 100 nikitaka.

Je hapo nakuwa tajiri?
 
Wewe unaonaje mkuu
Kuna jamaa nilimaliza nae darasa la 7, akashindwa kuendelea sekondari sababu ya maisha. Jamaa akaingia kwenye kazi za kuchimba madini tena locally na sululu tu nyundo majembe. Miaka minne baadae akiwa na miaka 21 akapata dhahabu akapata milioni 50 mi hapo nipo form 4. Akanunua trekta akaenda Kiteto akajichimbia kwenye kilimo huku akikodisha trekta. Baadae mi namaliza Chuo jamaa anamiliki pesa si chini ya milioni 400 akiwa 26yrs nilikutana nae nilimshangaa sana. Mpaka Sasa anamiliki nyumba nyingi sana mikoa tofauti.
 
Ungekuw mbali kww kubadilisha wastan wa matokeo kwa devision format
 
mbona kawaida sana....་
 
Kwa hiyo, kwa mawazo yako, sisi tunaomiliki 100m ni matajiri?
Au ili mtu aitwe tajiri anatakiwa amiliki pesa kiasi gani?
 
Safi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…