Ukipata milioni unaila siku tatu, ikibaki elfu kumi unaishi nayo week. Hii kitaalam mnaiitaje?

Haya maneno Bwana Yesu aliwaambia wanafunzi wake (sio Makutano). mwanafunzi wa Yesu ni yule aliyezaliwa mara ya pili kwa maana ya kuokoka. Ni mtu ambaye Mungu ni Baba. mahusiano na Mungu ni BABA na MWANA. Kila mtu ni mtu wa Mungu, ila sio kila mtu ni mtoto wa Mungu.

hivyo haya maneno ya Bwana Yesu hapo sio ya kila mtu, ni kwa wale waliozaliwa na Mungu katika Roho.


JESUS IS LORD&SAVIOR
 


Ni tabia ambayo inabidi muhusika aamue na kudhamiria kubadilika.
Wengi tunajifunza Kwa maumivu makali sana lakini sio rahisi ila inawezekana.

Pesa inahitaji discipline na Ina kanuni zake, ukizifuata hizo kanuni haikutupi. Itakuheshimu
 
Ni tabia ambayo inabidi muhusika aamue na kudhamiria kubadilika.
Wengi tunajifunza Kwa maumivu makali sana lakini sio rahisi ila inawezekana.

Pesa inahitaji discipline na Ina kanuni zake, ukizifuata hizo kanuni haikutupi. Itakuheshimu
Hakika mkuu nachokiona kwa jamaa kama ana nia ya kubadilika ila kuisimamia nia yake ndio changamoto kwake hasa akishapata hela.
 
Hakuna gari la laki 1 kula mbavu za kitimoto na bia wewee
πŸ˜‚ kuna waliowahi kusema hivyo sahivi wanajutia.

Mzee wangu aliwahi niambia miaka hiyo anaitiwa maeneo ya kununua kimara alipuuzia na kusema nani anunue pori, hela akaweka heshima bar kuna rafiki yake alinunua akatulia kaja kuuza kwa sasa anaponda raha za uzeeni. Kupanga ni kuchagua.
 
Asilimia mia moja ni kujiendekeza tu...hamna lolote...

sijawahi kucheza kamari yeyote ile kwa zaidi ya miaka kumi na tano mpaka sasa,...
Situmii kilevi chochote kile kwa zaidi ya miaka mitano sasa...

Nikiwa najitafuta migodini, rafiki zangu walikuwa wanashangaa nawezaje kwenda kugonga nyundo maporini huko, ilihari nina zaidi ya million kwenye account yangu..wakati huo na mimi nawashanga WANASHINDWA NN...
kifupi wengi hawana ndoto kubwa,na walionazo hawawezi kujitoa muhanga vya kutosha ili kutimiza ndoto zao,wapenda sifa za kijinga zinazodumu kwa siku moja na kisha kuyeyuka kama barafu tu,na ndio sababu kama umechunguza vizuri watu wengi wakishajenga kanyumba tu ka kulaza mbavu, hata jitihada za utafutaji au uwekezaji zinapungua, akinunua kipikipiki au kigari basi kamaliza kila kitu..kinachobaki ni kujitamba huko bar, vijiweni na kwenye mitandao ya kijaamii.....

mtu ambaye akipata pesa kidogo hakamatiki, wala hashauriki na zikiisha ndo anatia huruma na kuwa msikilizaji mzuri na kuapa kuto kurudia kwingi, kamwe usimsaidie kwa kumpa pesa, anapolia njaa mkumbushe juu ya kutapanya kwake pesa kipindi alipopata kilaki moja...
 
Maelezo yamejitosheleza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…