Ukipata mtoto ukiwa na miaka 40, mpaka anamaliza chuo utakuwa na umri gani?

Ukipata mtoto ukiwa na miaka 40, mpaka anamaliza chuo utakuwa na umri gani?

Duniani ni mtihani sana ,unaweza kuishi kwa huzuni milele mpaka unakufa ...Unataka hichi umefuata protocol zote ila asili inakukataa hupati kile kitu.

Mimi binafsi umri umeenda ila kuzaa bila ya ndoa BIG NO ,bora kufa kuliko kuzaa nje ya ndoa kwa heshima yangu ..
aise dah,

Mungu akubariki sana :NoGodNo:
 
😳😁Mkuu trial n error
Acha masihara
Ndio tunakutana na ambao Bado akili
Yes trial and error, inafanya kazi vizuri sana. Maana yangu ni usijifungie kusubiri, go out there, date kiasi(sio kufanya ngono), katika dates tatu-nne lazima ukutane na Mr. Right🤣
 
Wadau nina Umri wa Miaka 40 nina mpango wa kuoa na kupata mtoto wa kwanza.Najiuliza je huyo Mtoto kwa mtiririko wa Elimu ya Nchi hii mpaka anamaliza Chuo mimi Mzazi wake nitakuwa na Umri gani?

Najaribu kutaka kujua ili nifanye MAAMUZI. Naamini Majibu yenu yatawasaidia Watu wengi kupanga Umri sahihi wa kuoa na kuwa na Familia.
Serikali imesikia kilio chako, sasa hakuna chuo kikuu, akimaliza ka saba tuu.... VETA!
Utakuwa na 53.
 
Sio wote wanaochelewa kupata watoto walimeza dawa, mie kuna mkaka alio mkewe hawakupata watoto familia wakamzonga akamwacha mkewe, akaoa binti mdogo katoka kumaliza STD 7 kamleta mjini, mwaka ukakatika hamna kitu mwaka wa pili kimya watu wakamwambia binti mwenzio aliondoka kisa hazai, haya yule aliyeachwa kaja siku Moja kuwa salimia ana watoto 2 mapacha , aibu iliowakuta acha ni familia nilikuwa naifahamu.
Mkuu samahani wewe ni wa kike?
 
:pedroP: sio kwamba nacheka kanakwamba hilo ni jambo zuri lahasha,
inasikitisha sana na inafedhehesha sana kusingiziana mabo tusio na hakika nayo,

infact ninao marafiki zangu kadhaa pia wamewahi kupitia kwenye jaribu hilo zito sana na la fedheha mno saa zingine, na kati hao marafiki zangu, moja ni mustahimilivu sana alifunga ndoa 2012, tangu wakati huo, amefanikiwa kupata mtoto mwaka jana 2024,

huyo mwingine walishindwa kuvumiliana wakatengana na hakuna mwenye mtoto mpaka sasa tangu watengane miaka4 iliyopita. Ni cases ambazo si nyingi sana lakini ni changamoto mno kuzikabili,

ni muhimu sana kupata watoto mapema na kama itakua ngumu basi angalau kubaini tatito ukiwa katika umri sahiihi kuliko kubaini kua una tatizo ukiwa na zaidi ya miaka40:NoGodNo:
Gentleman tulisha katazana kuchekeshana, hii sio nzuri 😂 😂
 
Back
Top Bottom