Ukitaka kujua nchi hii ina wenyewe, uliza tenda zote za mabilioni za huduma kwenye mradi wa bwawa la Nyerere nani walipewa!

Mgodi hata wewe unaweza kumiliki. Mtu yeyote anaweza kumiliki mgodi, wabongo wengi tu wa kawaida wanamiliki migodi nenda cadastre portal kajionee. Jielimisheni nyie mitanganyika acheni uzwazwa.
Kumaanisha!!!... Kuna fursa hivi sasa ya Samia Infrastructure Bond iko sokoni hadi mid January, wenye mihela yao kwa mabilioni wanaendelea kuwekeza.... Tusilaumiane huko mbele ya safari.... 🤓
 
Uongo ,umbeya na uzushi ndio vimekujaa na ndio maana umeshindwa kuweka ushahidi wa aina yoyote ile zaidi ya porojo zako za kitoto na kijinga.
 
TWENDE NA LISSU NDIO SULUHISHO LA MATATIZO YOTE YA TANGANYIKA TUITAKAYO.
 
Bila kutuwekea majina ni majungu tu umeandika
 
Mbunge wa mkoa jirani,si ungesema tu kibaha...jamaa ndio kazi zake toka kitambo,ana uzoefu.
 
Mgodi hata wewe unaweza kumiliki. Mtu yeyote anaweza kumiliki mgodi, wabongo wengi tu wa kawaida wanamiliki migodi nenda cadastre portal kajionee. Jielimisheni nyie mitanganyika acheni uzwazwa.
Soma uelewe

Narudia tena tenda ya kuhudumia chakula migodi ya Tanganyika ipo chini ya kampuni ya AKO na mmilika wa kampuni ni mke wa aliyewahi kuwa rais awamu ya tatu

Kama unaleta ubishi ambao hujui ukweli wake sema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…