Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
Fuata hayo maelekezo, slay queen wa mjini uwe unajichagulia tu unavyotaka.Pumba nyingi, mchele kidogo sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fuata hayo maelekezo, slay queen wa mjini uwe unajichagulia tu unavyotaka.Pumba nyingi, mchele kidogo sana!
Ata kidogo ulichonacho, kinaweza kukufanya ukaishi kwa furaha sana, muhimu mpangilio tu.Hapo unazungumziaa mabachela cyo na wenye vipato vinavyoelewekaa au cyo mkuu wanguu🤔
Uanaumee n kazii
Inapunguza lile kundi la omba ombaHapo lengo ni mwanaume kuhongwa na wanawake 😱
🤣Mkuu wewe kwenye fasheni bado sana Ila point ya kusema usihonge honge, miliki chuma yako, nakubaliUnajua mkuu, hizi jinsi za kijani kitambaa kigumu ni vigumu sana kuzipata kwa sasa, ukionekana umeivaa unaweza kujikuta uko mwenyewe tu
Ni maelekezo ya kisayansi tu 😀mbona kama masharti ya mganga kwa hayo maelezo
Ukitaka kuota mvi haraka paka mafuta kwenye nywele zako
Hakikisha ngozi yako inanukia pesa (imenawiri, na vinyweleo vimesimama na kutoa jasho) Mwili wako unukie vizuri, sio ile harufu kali ya kutisha Uwe na biashara yako/ofisi yako inayoeleweka. Uwe ni mtu wa kuongea maneno machache ila vitendo viwe vingi Usiwe mtu wa makundi, ishi mwenyewe mwenyewe, mfano ukienda sehemu, nenda mwenyewe. Uwe ni mtu wa kusaidia wahitaji kwa wanaohitaji msaada wako. Ukiwa na gari kubwa kama land cruiser hivi, itapendeza zaidi Piga viatu vya ngozi rangi nyeusi, ikiwa travolta itakuwa powa zaidi. Vaa suruali ya jinsi ya kijani na shati jeupe linaloonyesha vest uliovaa ndani. Kama utakosa jinsi ya kijani, unaweza kuvaa zilizopo. Ndevu ziwe fupi za kuchana na brashi, ikiwezekana uzitoe kabisa; usifuge mzuzu kama beberu. Kichwani unaweza kunyoa kipara, au staili ya box Kichwani, paka mafuta yatakayoonyesha mpaka shina la nywele, ngozi ya kichwa ing'ae. Usihonge mwanamke yeyote, waache wao wakuhonge kwa sababu watakuwa wanakutafuta kama utitiri kwenye nyumba za ibada, waganga n.k Achana na wanawake wanao omba omba hela. Baada ya hapo, kula maisha kama mwanaume halisi anavyotakiwa kuishi.
Huyo naniMwamba alifeli, ingawa alikuwa anatembea na pisi za kawaida sana aka mbovu. Alitakiwa atembee na pisi kama hizi...
View attachment 3230508
Ebu ongezea abcHapo kwenye uchebe ndo umefeli kabisaa
🤣Mkuu wewe kwenye fasheni bado sana Ila point ya kusema usihonge honge, miliki chuma yako, nakubali
Sasa sisi ambao hatuna taili la baiskeli haturuhusiwi kusimamisha makhaghari🤔kwahiyo mapenzi ni kwa ajili ya waliona vipato vikubwa
Una uhakika hizo ni amri hapo juu haiwezi kuwa vice versa?
Kama biashara ipi?Na nikitaka nishike soko la biashara nifanyaje 😄
Hii kiutaalamu inakuwaje?Ukitaka kuota mvi haraka paka mafuta kwenye nywele zako
Pisi kali yenye swagaHuyo nani
According to Mzee Wassira
Hakikisha ngozi yako inanukia pesa (imenawiri, na vinyweleo vimesimama na kutoa jasho) Mwili wako unukie vizuri, sio ile harufu kali ya kutisha Uwe na biashara yako/ofisi yako inayoeleweka. Uwe ni mtu wa kuongea maneno machache ila vitendo viwe vingi Usiwe mtu wa makundi, ishi mwenyewe mwenyewe, mfano ukienda sehemu, nenda mwenyewe. Uwe ni mtu wa kusaidia wahitaji kwa wanaohitaji msaada wako. Ukiwa na gari kubwa kama land cruiser hivi, itapendeza zaidi Piga viatu vya ngozi rangi nyeusi, ikiwa travolta itakuwa powa zaidi. Vaa suruali ya jinsi ya kijani na shati jeupe linaloonyesha vest uliovaa ndani. Kama utakosa jinsi ya kijani, unaweza kuvaa zilizopo. Ndevu ziwe fupi za kuchana na brashi, ikiwezekana uzitoe kabisa; usifuge mzuzu kama beberu. Kichwani unaweza kunyoa kipara, au staili ya box Kichwani, paka mafuta yatakayoonyesha mpaka shina la nywele, ngozi ya kichwa ing'ae. Usihonge mwanamke yeyote, waache wao wakuhonge kwa sababu watakuwa wanakutafuta kama utitiri kwenye nyumba za ibada, waganga n.k Achana na wanawake wanao omba omba hela. Baada ya hapo, kula maisha kama mwanaume halisi anavyotakiwa kuishi.
Tafiti zinabadilika siku hadi siku kutokana na mazingira kubadilikaKuna siku mtatuambia Mwanaume avae Magunia.