Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #41
Shauri yako, ukizarau hizo hatua utaendelea kuwapata hawa wapiga mizinga maisha yako yoteutopolo mtupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shauri yako, ukizarau hizo hatua utaendelea kuwapata hawa wapiga mizinga maisha yako yoteutopolo mtupu
Hawa wanatembea na pisi za kawaida aka mwajuma ndala ndefuVile bodaboda, wasafisha kucha na madaktari wanavyokucheka sasa
Kelsea unasemaje hapo?Point ya msingi hapo ni hela tu
Yupo pale anakutazamaAccording to Mzee Wassira
Mkuu zitafute, ukizipata utugawie na sisiJinsi ya kijani
Hujui kitu, wewe pisi unayoiona ni kali, boda boda anaitafutia wateja ili kupunguza marejesho ya vicoba, yeye kashaila kasaza.Hawa wanatembea na pisi za kawaida aka mwajuma ndala ndefu
dawa ya mwanamke ni mwanamke, simple and clear'Shauri yako, ukizarau hizo hatua utaendelea kuwapata hawa wapiga mizinga maisha yako yote
Easy, kama una kadi ya CCM mbona fasta tuMkuu zitafute, ukizipata utugawie na sisi
Boda boda anaweza kula pisi ya namna hii..Hujui kitu, wewe pisi unayoiona ni kali, boda boda anaitafutia wateja wanaotafuta mal*y*, yeye kashaila kasaza.
Jinsi ile ngumu iwe ya kijani, kama zile kaptula za shule ya msingi za zamaniNaomba picha ya suruali ya kijani
Na ni muhimu zaidi, kutafuta kifaa kikali zaidi yakedawa ya mwanamke ni mwanamke, simple and clear'
ichukue iyo itakusaidia
Vile ni vitambaa vya kawaida, inatakiwa jinsi ile ngumuEasy, kama una kadi ya CCM mbona fasta tu
Zipo huku zimejaaVile ni vitambaa vya kawaida, inatakiwa jinsi ile ngumu
Watakuwa wamekuelewa mkuu.Anayekupinga achana nae wengi hawaishi mjini. Mtu anakaa dodoma bar kama bambalaga hapajui.
Anakaa morogoro hajawahi kwenda samaki samaki.
Anakaa dar yeye tips mikocheni hajawahi kwenda, wavuvi anaogopa, samaki samaki kaenda miaka mi3 iliyopita bahati mbaya.
Serena hata juice anaogopa kwenda kuagiza.
Hili somo asiyekuelewa usimjibu. Watu wabishi sana humu.
Chimbo lipi?Zipo huku zimejaa
cha ajabu kipi hapo, tena hao wanapenda vicoba ni suala la timing wakibanwa na marejesho,Boda boda anaweza kula pisi ya namna hii..
View attachment 3230519
Diddy katika kumfahamu kwangu sijawah ona ana mwanamke aina hii, inawezekana kwake wale kina Cassie, Jenny ndio pisi kali. Sasa unataka wote mpende hayo mamizigo alafu sie vimbau mbau nani atupende?Mwamba alifeli, ingawa alikuwa anatembea na pisi za kawaida sana aka mbovu. Alitakiwa atembee na pisi kama hizi...
View attachment 3230508