Ukitaka kuwatesa warembo wakali wa mjini, wakutafute kwa udi na uvumba, fanya hivi wewe mwanaume

Ukitaka kuwatesa warembo wakali wa mjini, wakutafute kwa udi na uvumba, fanya hivi wewe mwanaume

  • Hakikisha ngozi yako inanukia pesa (imenawiri, na vinyweleo vimesimama na kutoa jasho)​
  • Mwili wako unukie vizuri, sio ile harufu kali ya kutisha​
  • Uwe na biashara yako/ofisi yako inayoeleweka.​
  • Uwe ni mtu wa kuongea maneno machache ila vitendo viwe vingi​
  • Usiwe mtu wa makundi, ishi mwenyewe mwenyewe, mfano ukienda sehemu, nenda mwenyewe.​
  • Uwe ni mtu wa kusaidia wahitaji kwa wanaohitaji msaada wako.​
  • Ukiwa na gari kubwa kama land cruiser hivi, itapendeza zaidi​
  • Piga viatu vya ngozi rangi nyeusi, ikiwa travolta itakuwa powa zaidi.​
  • Vaa suruali ya jinsi ya kijani na shati jeupe linaloonyesha vest uliovaa ndani. Kama utakosa jinsi ya kijani, unaweza kuvaa zilizopo.​
  • Ndevu ziwe fupi za kuchana na brashi, ikiwezekana uzitoe kabisa; usifuge mzuzu kama beberu.​
  • Kichwani unaweza kunyoa kipara, au staili ya box​
  • Kichwani, paka mafuta yatakayoonyesha mpaka shina la nywele, ngozi ya kichwa ing'ae.​
  • Usihonge mwanamke yeyote, waache wao wakuhonge kwa sababu watakuwa wanakutafuta kama utitiri kwenye nyumba za ibada, waganga n.k​
  • Achana na wanawake wanao omba omba hela.​
  • Baada ya hapo, kula maisha kama mwanaume halisi anavyotakiwa kuishi.​
Hizi sifa zote ni mm kabisa aisee
Cc BICHWA KOMWE - na komwe lako
 
Diddy katika kumfahamu kwangu sijawah ona ana mwanamke aina hii, inawezekana kwake wale kina Cassie, Jenny ndio pisi kali. Sasa unataka wote mpende hayo mamizigo alafu sie vimbau mbau nani atupende?
Inashangaza sana, mfano yule mke anayemtesa Will Smith ni wa kawaida sana sana.
 
A98BF823-8210-4BD2-BC4B-7F85CD729A95.jpeg
 
Mkuu Equation x Embu endelea kuweka tupicha picha😆 kuna picha mbili umetupia hapa ndio mambo yangu hayo. Au hata kama una namba za simu za wadada au mashangazi wa designs hizo embu nitupie inbox...mimi ndio mambo yangu hayo😂😂😂
 
Back
Top Bottom