Ukitaka kuwatesa warembo wakali wa mjini, wakutafute kwa udi na uvumba, fanya hivi wewe mwanaume

Ukitaka kuwatesa warembo wakali wa mjini, wakutafute kwa udi na uvumba, fanya hivi wewe mwanaume

🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂kwamba jinsi ya kijani na shati la kuonyesha vest🤣🤣🤣🤣🤣

Waaaaaiiii nakufaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Chunguza wanaume wanatumia mafuta wengi wana mvi, kwakifupi mafuta ni kirutubisho cha nywele yaani unalazimisha nywele zikue haraka, (unafukua nywele)
Wakati mwingine, mvi zinapendezesha kichwa na ndevu, muhimu sura isiwe na makunyanzi
 
Simkimbii atahudumiwa kama kawa maana ameshanihudumia mimi vya kutosha.
Ila nyie wenye malandcruiser uchwara tafuteni pesa
Huduma huwa zinakuja tu zenyewe, kutokana na ushirikiano utakao utoa.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂kwamba jinsi ya kijani na shati la kuonyesha vest🤣🤣🤣🤣🤣

Waaaaaiiii nakufaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Usife na wala usilowane 😀
 
Back
Top Bottom