Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #141
Wanasema kila mmoja ashinde mechi zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasema kila mmoja ashinde mechi zake
Ndio maana nikakwambia mapema ilitakiwaga mimi na wewe tukutane hapo zamani ndio ingenoga sana maana nakusomaga tu posti zako nasema see this little punk here..Lengo la mahusiano ni leboloz na K. Kila mmoja kapata anachostahili
Inategemea.Mwanaume Rijali unayepembana haiwezekan kila muda uwe unanukia perfume.
Mnafanya Wanaume Wa Dar waonekane Mchele mchele
Wakati mwingine, mvi zinapendezesha kichwa na ndevu, muhimu sura isiwe na makunyanziChunguza wanaume wanatumia mafuta wengi wana mvi, kwakifupi mafuta ni kirutubisho cha nywele yaani unalazimisha nywele zikue haraka, (unafukua nywele)
Zilikuwepo miaka fulani, kwa sasa kuzipata ni bahati sanakumbe huko daaslamu kuna hadi jinzi za kijani na memba humu mpo kimya tu!
Tungekutana zamani ungeshaniacha🤣Ndio maana nikakwambia mapema ilitakiwaga mimi na wewe tukutane hapo zamani ndio ingenoga sana maana nakusomaga tu posti zako nasema see this little punk here..
Huduma huwa ni matokea ya kutoka moyoniHuyu anajua majukumu yake 😅😅Kisa cha kuwa na limtu lisafi halafu halihudumii la nini Jamani 😅😅😅.
Isiwe imechoka, (tired face)Wakati mwingine, mvi zinapendezesha kichwa na ndevu, muhimu sura isiwe na makunyanzi
Huduma huwa zinakuja tu zenyewe, kutokana na ushirikiano utakao utoa.Simkimbii atahudumiwa kama kawa maana ameshanihudumia mimi vya kutosha.
Ila nyie wenye malandcruiser uchwara tafuteni pesa
Hapo umenena.ushirikiano muhimuHuduma huwa zinakuja tu zenyewe, kutokana na ushirikiano utakao utoa.
Usife na wala usilowane 😀🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂kwamba jinsi ya kijani na shati la kuonyesha vest🤣🤣🤣🤣🤣
Waaaaaiiii nakufaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Zimeadimika sana nyakati hiziKama kwa mganga vile, kila kitu kiko poa, hizo jeans za kijani zinapatikana wapi mkuu?