Ukiwaelewa na kuwajua wanawake huwezi kuoa

Matokea ya 50 kwa 50 mkuu , tumempigania mtoto wa kike mpaka ikapitiliza tukamsahau mtoto wa kiume , sasa inakua ni ngumu mtoto huyo wa kiume kuishi ya mtoto huyo wa kike aliyepiganiwa kwa kila namna .
Nadhani hata ukiachana na mpambano wa 50 kwa 50, hoja kubwa hapa ni je, ndoa Ina faida?
 
Sina uhakika kama utapata binadamu wa kike mwenye sifa hizo zote
 
Usipooa utaolewa ty mkuuu somaaa maandiko hili neno futa
 
Ivi ni kwanni uhamasishaji wa kuoa kwa Tanzania umekua mkubwa mno kuliko kupeana michongo ?
Mkuu wa like kesho asubuhi piga supu chapati mbili ila itabidi ulipie

Hili swali lako hata huko kwenyw jamii ukiuliza hawana majibu, tunapigishana michango ila michongo ya kuhakikisha michango ikiyokea tunaimudu hatupeani/hatujadili/hatushauriani
 
Mwanaume kuoa ni sawa na kujitumbukiza kwenye karai la kukaangia kiepe.
 
Not just to marry them, once you have full knowledge about women's hubristic female nature and how they navigate in the whole premise of intersexual dynamics to attain their personal desirability, you may even hate them for the rest of your life.
 
Hiyo ya pili ndio zaidi. Watu wengi wanaowajua wanawake kindakindaki huishia kuwa bachelor sugu. Hawaoi.

Vijana mna ujinga mwingi sana, naona mnaandika vitu kinyume nyume sana. Hao ambao hawaoi kwa kujidanganya ya kuwa wanawajua wanawake ndio ndio hawawajui Wanawake sasa.
 
Wapo wanaume wenye kila sifa ya kuoa lakini hawataki kufanya hivyo kutokana na uelewa wao mkubwa kuhusu wanawake.

Kazi inakuja sasa, pale tunapo wauliza hao wanao wajua wanawake watueleze kuhusu hao wanawake. Lazima ucheke.

Wanawake ni viumbe dhaifu kwa ujumla wao, kadhalika wana upungufu wa akili kwa ujumla wake (japokuwa kwa mmoja mmoja wapo wanawake wanawazidi baadhi ya wanaume kwa akili) sasa hao wanaosadikiwa ya kuwa wanawajua wanawake utakuta kila uchwao wanashindana na hao wanawake. Hili ni kosa la kiufundi la kutokuwajua wanawake.

Msilazimishe uongo ukaonekana kuwa kweli, hao ambao wenye sifa za kuoa kisha wasioe sio kweli kwamba wanawajua sana wanawake, bali hawawajui na matokeo yake wanawahofia na kuwaogopa.

Mimi siwezi kuacha kuoa sababu nawajua wanawake vizuri mno.
 
Ivi ni kwanni uhamasishaji wa kuoa kwa Tanzania umekua mkubwa mno kuliko kupeana michongo ?
Ndoa ni taasisi, Ndoa ni serikali, Ndoa ni shule, ukitaka jamii yako ieleweke na kukua katika misingi ya muunbaji wa mbingu na dunia, Ndoa ikiwa stable bila 50/50 unatoboa.

Kwa taarifa za mapema ni kwanba kuna kundi kubwa sana wanandoa wanaodai taraka hivi sasa, kwa hiyo hata hawa wanao hamasisha watu waingie huko wanafanya jambo zuri sana.

Mchongo wa pesa bila matumiaji ni O!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…