... na hao mashoga mnawakaribisha kupiga umbea nyumbani ni hatari sana kwa ndoa zenu! Unakuta lishankupe na dera lake ndani liko tupu unalileta nyumbani Jpili kupiga stori; hatari sana.
Mimi na wewe Nani ameandika hisia na mtazamo?
Unajua maana ya uhalisia?
Kwa Akili yako hata kama ni ndogo, ni Watoto wangapi hawatunzwi na Baba zao kisa na mkasa ni kuzaliwa nje ya mfumo wa Ndoa?
Lazima ujue zipo sheria, Maoni na mtazamo ambazo kamwe haziwezi kubadili Nature/asili.
Kiasili mtoto anatakiwa alelewe na Baba na Mama Full stop, kutokea Aina yoyote ya kutengana au kuingilia mahusiano ya Watu ni kumkosesha Haki mtoto atakayezaliwa nje ya mfumo.
Wewe Kwa Akili yako kisoda, badala uone andiko hili liwahamasishe Wanawake wawe Makini na waache kubeba mimba Kiholela pasipo ndoa wewe unaleta dhana zako za kipuuzi ati ninachuki.
Alafu tofautisha Kufanya ngono na Kupata mimba.
Jukumu la Kupata mimba lipo Chini ya Mwanamke na sio vinginevyo.
Hata Dunia ipinduke, Mwanamke ndiye Mhanga namba moja wa matokeo ya ngono.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Usiwashtue tunataka ongezeko la singo maza liongezeke ili na wao waupate moto wa kutafuta kwa jasho huku wakibweka kwenye status
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Akazae na mume wa mtu halafu aende huko mahakamani aipate habari yake.
Ndo atajua kuna maisha ya kwenye makaratasi na maisha halisi.
Ila wanaume
Kidogo linikutage jambo kama sio huyu Mungu kuniepusha sijui ningekuwa katika hali gani mimi.
Kama mwanamke anayejitambua lazima atatumia njia zote za kimedani kujuaa huyu mwanaume ameoa au hajaoa .
Lazima tu. akizaa na mume wa mtu basi ni makosha washalalaa
Umeandika kisomi zaidi[emoji4][emoji106]-Kwa mujibu wa sheria zetu jukumu la kutunza mtoto ni la baba, ndiyo maana mwanaume akimpa mimba binti Ili amkomboe mtoto ni lazima alipe gharama zote za Matunzo ya mtoto, au amuoe hiyo ni Kwa mujibu wa Tamko la Kimila la serikali that is to say Local customery law declaration order
- na Ili apate Matunzo ya mtoto Mama wa mtoto itabidi ampeleke mwanaume kwenye Mahakama ya watoto, na akipinga kwamba huyo mtoto sio Wake Mahakama itatoa Amri ya kwenda kwenye DNA test, na DNA results zikionesha kuwa ni mtoto wake mwanaume utawajibika kumtunza huyo mtoto hata Kama una mke
-
Umejibu kisomi zaidi[emoji4][emoji106]- ukipelekwa Mahakamani, inakuwa ni lawful order, ukiikiuka unapigwa contempt of court/kudharau mahakama, unaenda jela
.
Hata Dunia ipinduke, Mwanamke ndiye Mhanga namba moja wa matokeo ya ngono.