Live circuit
Senior Member
- Mar 11, 2023
- 124
- 365
Hapana haya ni yako,Nimetoka kusoma Biblia sasa hivi
Dah, kupunguziwa Miaka 5 nayo mbaya.
Imagine Mungu alikuandikia kuishi Duniani Miaka 100, lakini ukazini na mwanamke nje ya ndoa kama 10 ivi ina maana wewe tuko nawe Kwa Miaka 50 tu.
Jamani ACHENI uzinzi, tuishi milele
Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Na kwa mwanamke pia aziniye matokeo ni hayohayoMithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Sawa na kwa mwanamke aziniyeMithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Sahihi kabisa, kwa kuangalia trend ya familia unaweza kujua kabisa ninaweza kufa nikiwa na miaka mingapi....kwa makadirio, tukiweka factors nyingine constant [emoji1787]Dingi yangu mmoja prof. katomba sana mademu wa chuo na watoto wa sekondari toka 1998 hadi anastaafu ila sasa ana miaka 73 na yupo freshi tu.
Mwengine ni wakili, kala sana pisi ila ana 65 sahizi.
Mshua boi mwenyewe ana 71 sahizi na yuko strong.
Anti yangu mmoja alivuta na 62.
Mwingine yuko mid 50s and going strong.
Baba yao alikufa akiwa 80 yrs.
Historia inakwenda hivyo yani kama kwenu huwa hamfiki 60 ni nadra sana kwa kizazi chenu kufikia hio age. Hio factor sijui ya kugonga sana sio ishu
Bqsi kuna watu wanadaiwa miaka na Mungu,maana akipiga hesabu hiyo 5 akitoa na umri wakw anapata negativeNimetoka kusoma Biblia sasa hivi
Dah, kupunguziwa Miaka 5 nayo mbaya.
Imagine Mungu alikuandikia kuishi Duniani Miaka 100, lakini ukazini na mwanamke nje ya ndoa kama 10 ivi ina maana wewe tuko nawe Kwa Miaka 50 tu.
Jamani ACHENI uzinzi, tuishi milele
Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Nikizini na wewe unaongezewa miaka 10...50thebe umebakisha mingap
Smart911 Seth saint Bujibuji Simba Nyamaume Ushimen nyie mmebakisha mingap
Kwa hiyo wanataka azini na mdoli au?Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
uzinzi mm nimeuacha mbona,,,na nikioa ntakuacga kabisaNdio maana Mungu alimwondoa fasta😂😂
Ivi ushawaji jiuliza kwanini WAJANE NI wengi kuliko wagane
Acheni uzinzi
ngojs aje kukupa muongozoNikizini na wewe unaongezewa miaka 10...
Rico strong kala Wanawake tufanye 100+ hivi kwa kumuonea huruma[emoji28]Kwa hili
Kuna watu wana maisha mafupi sana[emoji28]
IllogicalNimetoka kusoma Biblia sasa hivi
Dah, kupunguziwa Miaka 5 nayo mbaya.
Imagine Mungu alikuandikia kuishi Duniani Miaka 100, lakini ukazini na mwanamke nje ya ndoa kama 10 ivi ina maana wewe tuko nawe Kwa Miaka 50 tu.
Jamani ACHENI uzinzi, tuishi milele
Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
🤣🤣Rico strong kala Wanawake tufanye 100+ hivi kwa kumuonea huruma[emoji28]
Sasa 100×5=500 WTF[emoji15]
MIAKA 500
In the beginning Mungu alimuumba Adam akampatia mwanamke mmoja tu ambaye ni Hawa...vilevile maandiko yanasema mtu atamuacha babaye na mamaye ataambaatana na mkewe na hao wawili watakua mwili mmoja...hapo tunaona Mpango wa Mungu ni mume kuwa na mke mmoja tu na si vinginevyo....Suleiman alikengeuka Kuna kabila Mungu alimkataza asioe lakini yeye akaoa wale wanawake wakamgeuza moyo akaanza kuabudu miungu Kua na wanawake wengi ulikua ni ubatili wa Suleiman haukua Mpango wa Mungu na Mungu alimstahi Suleiman sababu aliweka agano na Daudi baba yake kua ataubariki uzao wake na hatauangamiza sababu Daudi alikua anamcha sana Bwana katika watu wote Daudi ndo alikua anamcha sana Bwana ...Mbona Suleima,mtoto wa mchepuko wa Days,the king,Mungu alimpa utajiri na vyote,hadi malkia wa Sheba "the queen of south alikwenda kumsujudia👌alikuwa na wake Mia 3 na masuria aka michepuki Mia 700
Hapa mleta mada ana hoja gani?
Ndiyo alivoanza uzinzi akili ziliondoka sababu wale makahaba walimgeuza moyoSuleiman alikua hana akili?
Anhaa sawaNdiyo alivoanza uzinzi akili ziliondoka sababu wale makahaba walimgeuza moyo
nitofautishie kati ya uashelati na uzinzi? Alafu nikwambie kituMithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.