Ukizini na mwanamke nje ya ndoa, Mungu anapunguza Miaka 5 kwenye maisha yako

Hiyo lazima inaukweli maana watu wengi wanaoishi miaka mingi hawana ndoa wako single.
 
Umesoma biblia ipi mkuu?
Hio hio ambayo hausomi
Wagane NI wachache kuliko WAJANE
Tafakari chukua hatua

Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;
Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
 
Sio una type umekata roho tayari? 😅
Wagane NI wachache kuliko WAJANE
Tafakari chukua hatua

Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;
Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
 
Hiyo lazima inaukweli maana watu wengi wanaoishi miaka mingi hawana ndoa wako single.
Wagane NI wachache kuliko WAJANE
Tafakari chukua hatua

Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;
Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
 
Sijui itakuwaje sasa [emoji848]
Wagane NI wachache kuliko WAJANE
Tafakari chukua hatua

Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;
Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
 
Sasa Miaka 60 na 80 NI Miaka ya kuandika post unajivuna??
Akina Adam walikuwa wanaishi Miaka 400 kwanini sio wewe??

Huyo aunty, prof, unajuaje maisha Yao baada ya kuzini? Kama walitubu je kwa Mungu Kwa machozi??

Usicheze na Mungu bro, kifo kinamkuta MTU individual sio cha kuchezea

Wagane NI wachache kuliko WAJANE
Tafakari chukua hatua

Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;
Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…