Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,289
- 9,748
Umeona ehee bho tuli!Asili yetu wanyakyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona ehee bho tuli!Asili yetu wanyakyu
Hahaha sasa unadhani ukiacha ndoa ni kipi kinachomfanya mwanamke wa kiafrika ajitunze, haijalishi mwanamke kajitunza au kakitembeza ila kama hajaolewa jamii itamsimanga tu, na kama kaolewa hata kama ni kahaba mstaafu jamii itamsifia tu.. this is africaMambo ya kuoa sijazungumzia, nachosemea ni uhusiano uliopo baina ya tamaa na kugeuzwa ndafu
nini
Yule msimbe unadhani atakuja olewa?Hilo swali kamuulize Joketi sijui kaolewa au BADO
Kwani una Tabia zipi??, mbona ume ogopa 😄Mimi hapana natamani aje apate mtu wake bora zaidi, acha na mimi nipambane na hali yangu na tabia zangu😀
Acha kabisa nna vitabia flani hivi mixer kulia lia kama jinga, sitaki mwanangu awe hivyo😀😀Kwani una Tabia zipi??, mbona ume ogopa 😄
Sasa una Lia kisa nini??, ume pigwa au kupunjwa chakula 🤣🤣Acha kabisa nna vitabia flani hivi mixer kulia lia kama jinga, sitaki mwanangu awe hivyo😀😀
Hahaaa yaani nikikaa tu naweza kufikiria kitu nikaanza kulia, nikionewa sasa ndiyo nalia mwaka mzima, sipendi ila ndiyo hivyo😀Sasa una Lia kisa nini??, ume pigwa au kupunjwa chakula 🤣🤣
Ohh hebu enjoy maisha, kulia sio vizuri Sana.Hahaaa yaani nikikaa tu naweza kufikiria kitu nikaanza kulia, nikionewa sasa ndiyo nalia mwaka mzima, sipendi ila ndiyo hivyo😀