Ukristo unaruhusu ndoa ya mke wapili kwa mujibu wa andiko hili

Ukristo unaruhusu ndoa ya mke wapili kwa mujibu wa andiko hili

K

Kwanini wasikae chungu kimoja?

Sasa hapo hatimizi, hapo anakuwa katengua, yaani ruhusa ya mke wa pili ye aseme mke mmoja sasa hapo anaikamilisha ama anaitengua sheria, angesema mfano mke wa pili awe hivi na hivi na vile, hapo sasa ndio anaikamilisha torati, anakamilisha pale ambapo hapajaelezea vizuri
Torati ni Sheria na si Sheria zote zilitoka kwa the most high bali zingine zilikua ni mapendekezo binafsi ya Musa na kwenye hizi za mapendekezo binafsi zingine zilikua poa na zingine zilikua na utata na moja kati ya hizo zenye utata ni hiyo ya kuoa. Lakini pia ukifuatia utagundua zipo nyingi ambazo alizitengua kwa matendo kama ile ya kuponya siku ya sabato na kadhalika.

Ndio maana watu mmekua mkidai katiba mara kwa mara kwasababu iliyopo haiendani na zama tulizopo, kwahiyo torati ilikua kama katiba ya waamini ila kuna mambo yalikua hayaendani na nyakati basi yakabadilishwa na sasa hivi tuko na katiba mpya ambayo ni mjumuiko wa mambo mapya na yale ya zamani ambayo bado yanafaa kuendelea kutumika.
 
Nimelisoma baba.linahusu mtumwa
Ila naomba ujue torati ipo updated(kuendelezwa ) baadhi ya vipengele kwenye agano jipya.
Anakwambia Msidhani nimekuja kuitangua torati Bali kuiendeleza.
So katika muendelezo wa hizo Sheria ndo tukaambiwa Kila mume awe na mke wake ,Kila mke awe na mme wake..haijsemwa Kila mume awe na wake zake.sie kama wakristo it means ni wafuasi/waamini wake,tunafata kile anachosema
Ni mtume au nabii gani aliesema hivyo kuwa kila mwanaume awe na mke mmoja?
 
Hapa ndiyo mkanganyiko wa wakristo ulipo.

Wengi hawaelewi kuwa, ukristo ni agano jipya tu. Agano la kale siyo ukristo. Agano la kale ni Judaism, (Uyahudi).

Hivyo basi, unapozungumzia Ukristo, siyo sahihi sana kurejea agano la kale.
Ni sahihi kurudia agano la kale kwasababu si mambo yote yaliyo kwenye agano la kale yalirekebishwa
 
Shukurani kwa Mungu vile upo na heri I'm glad.

Natamani ungefahamu hili hizi unazo sema nguvu hazipo kwenu!

Changamoto kubwa kwa sasa ni ukosefu wa nguvu za kike, kibao kimegeuzwa kwa mwanaume ndie mwenye shida, kumbe shida ipo upande wa pili.
Mwanamke hasimamishi nguvu anakosa vipi?
Wanawake tuko gado ni nyie hamna nguvu bhana msitafute huruma..!!
 
Mwanamke hasimamishi nguvu anakosa vipi?
Wanawake tuko gado ni nyie hamna nguvu bhana msitafute huruma..!!
Hili nalo ngumu kilielewa, i'm sure wanawake wengi hawana nguvu , hawana pumzi.
Nguvu sio kusimamisha, mbona hata madogo wanasimamisha!
 
Gharika ndio wameua yani hapana km Mv Titanic walivyoichezea kwenye swimming pool ndio ile sasa..!! 😹😹😹

Dunia nzima ijae maji majengo yote yafukiwe ila safina (mtumbwi) usurvive aweeehh.!! Wazungu watupumzishe 🤣
wewe utakuwa umelewa, kesho utafuta posts

ila ukiacha kwenda kanisani utakuwa mzuri
 
Uwe unasoma na kuelewa sio kurukaruka kama makande yanayotaka kuiva.
Screenshot_20250213-231400.jpg
 
K

Kwanini wasikae chungu kimoja?

Sasa hapo hatimizi, hapo anakuwa katengua, yaani ruhusa ya mke wa pili ye aseme mke mmoja sasa hapo anaikamilisha ama anaitengua sheria, angesema mfano mke wa pili awe hivi na hivi na vile, hapo sasa ndio anaikamilisha torati, anakamilisha pale ambapo hapajaelezea vizuri
Nilikuja kugundua kitu kimoja, watu wengi tunasoma biblia kama gazeti na kuna baadhi ya mambo huwezi kuyajibu kwa sababu tu ya utashi binafsi ila kwa kuisoma biblia, mapokeo ya kihistoria na kujua michango ya wanazuoni wa dini.
Lakini pia najua early church ilikuwa tofauti kiasi na kanisa la leo ndo maana utasoma kuna mtaguso wa nicaea ambao ulibadili masuala baadhi. Kwa hiyo kuna mabadiliko yanahitaji facts

Kwa hiyo swali uliloliuliza lipo sawa kabisa maana kwenye agano la kale, mitume wengi kama Mussa wala hawakutiwa unajisi kwa kuoa wake wengi. Kwa hiyo, hiyo shift inahitaji mtu mwenye details na sio soga. Na ninaamini hunu jf ni wachache kama wapo
 
Uwe unasoma na kuelewa sio kurukaruka kama makande yanayotaka kuiva.View attachment 3235853
Sasa kati ya mimi na wewe nani ambae anasoma bila kuelewa, ungesoma vizuri uzi wangu ungeelewa, kuna sehemu nimesema, ukisoma kuanzia mstari wa 1 utagundua ni habari za utumwa, lakini nikasema kitendo cha kuandikwa AKIJITWALIA MKE WA PILI, kitendo cha kujitwalia mke wa pili maana yake kuna ruhusa ya mke wa pili, haijalishi ni utumwa ama vipi, yaani kuna ruhusa ya mke wa pili.

Ulisoma kama gazeti, rudi usome upya mkuu.
 
Nilikuja kugundua kitu kimoja, watu wengi tunasoma biblia kama gazeti na kuna baadhi ya mambo huwezi kuyajibu kwa sababu tu ya utashi binafsi ila kwa kuisoma biblia, mapokeo ya kihistoria na kujua michango ya wanazuoni wa dini.
Lakini pia najua early church ilikuwa tofauti kiasi na kanisa la leo ndo maana utasoma kuna mtaguso wa nicaea ambao ulibadili masuala baadhi. Kwa hiyo kuna mabadiliko yanahitaji facts

Kwa hiyo swali uliloliuliza lipo sawa kabisa maana kwenye agano la kale, mitume wengi kama Mussa wala hawakutiwa unajisi kwa kuoa wake wengi. Kwa hiyo, hiyo shift inahitaji mtu mwenye details na sio soga. Na ninaamini hunu jf ni wachache kama wapo
Uko sahihi kabisa..
 
Back
Top Bottom