Ukweli kuhusu Vita vya Majimaji

vita ya maji maji ilipiganwa 1905-1907,
'rosary' ninavyofahamu kidogo ilianza kusaliwa 1917 baada ya bikira maria kuwatokea Lucia, Francis na Yasinta huko Fatma na kuwaamuru kusali rosary na kuieneza ibada hiyo duniani ili kuomba amani. (kama siko sahihi naomba kurekebishwa)

Sasa kama hivyo ninavyofahamu ndivyo; inakuaje kwenye picha za askari wa kitanzania waliopigana 1905/07 kuonekana wameshika rosary kama rosary ilikua bado haijaanza kusaliwa duniani??

Naomba kujuzwa hili nijue usasahihi wake.
 
Ukitaka kumfurahisha muislamu wewe mwambie kila kitu duniani ni matokeo ya uislamu.

Remote,
Hapa ni swali la Transatlantic Slave Trade.

Hayo mengine tukiyaleta hapa yatatuvurugia mnakasha.
 
Ukweli ni kwamba makabila ya kusini yalikuwa na imani zao za asili.
Mwarabu alipokuja akawaletea dini ya kiislamu kama ilivyo kwa wakristo.
Hivyo basi siyo wote walikuwa waislam hiyo siyo dini ya asilia imekuja tu kama nyingine zote zilivyokuja.
Mohamed jitahidi kuondoa hiyo element ya udini uliyonayo.
Kinjekitile aliitwa jina gani la kiislamu?
 
Kahinda,
Mimi bado sijasema lolote kuhusu Maji Maji.

Ikiwa unataka niingie In Sha Allah nifahamishe.
 

Can you give us the statistics of how many wazungu were in those countries you mentioned, where are now originaly they were plenty of African slaves? And can you give the population count of Arabs in those countries where is what you claim there are many arabs but African slaves were killed?


For instance. Wazungu and Africans of Trinidad and Tobago and Arabsa and Africans of Oman, your newly politically acquired Bogeyman.
 
Jamaa kapiga porojo na hadithi halafu anaita historia. Historia ili iwe credible lazima kuwe na source. Tena vyanzo vijumuishe primary and secondary zionyeshwe kwenye footnote ili ku-authenticate reliability and validity. Hizi footnotes lazima zionyeshe wapi source inapatikana, zimetokea wapi na lini lilipatikana. Weye unabwabwaja kama chiriku halafu unaita eti ni historia.
 
Kwa niaba yake nakuomba useme kuhusu Maji Maji mzee ili na sisi tuelimike.

Chipanga,
Hayo hapo chini ni kutoka kitabu changu: "The Life and Times of
Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold Story of the Muslim Struggle
Against British Colonialism in Tanganyika," Minerva Press London, 1998.

Hivyo vita ninavyovieleza ni Vita Vya Maji Maji na hayo mawasiliano ni kati
ya baadhi ya viongozi wa vita hivyo.

Soma kwa utulivu na tafakari:
[TABLE="width: 601"]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Islam has always been the ideology of resistance against colonial rule or any
other authority which tried to subjugate Muslims.

Consequently, no government in power either indigenous or foreign has ever
been kind or supportive to Islam, and likewise Muslims have always been
engaged in a continuous struggle to preserve their faith and fight for their
rights.

Christianity was resisted by Muslims right from the beginning.

In any uprising against the colonial government, Muslims took the opportunity
to attack missionaries and Christian establishments.

Muslim perceived both missionaries and the colonial government as fellow
collaborators and therefore enemies to Islam.

Islamic radicalism has therefore a long history in the struggle against colonial
rule and Christianity.

Christianity became a reactionary force siding with the colonial authority.

One needs only to read the letter written by the Chief Songea bin Ruuf at
the time when he was mobilising his people for war while at the same time
trying to cement alliances with other chiefs in Southern Tanganyika and
across River Ruvuma in Mozambique.

This letter written to Sheikh and Sultan Mataka bin Hamin Massaninga
reads:[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]"Sultan Songea bin Ruuf writes: To the Shaykh and Sultan Mataka bin
Hamis
Massaninga.

Greetings, etc.

I am sending you a letter through Kazembe.

We have received an order from God that the Europeans must leave the
country.

We are in the process of fighting them here. I believe that we have long
since been reconciled,[so] send me your children, so that we may make an
alliance.

I had wanted to send you some cattle as a gift, but am not able to[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]do so, as the war which God desired is continuing.

Send me a hundred riflemen, and support me in storming the Boma (Songea).[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]I am also sending you a flask of the Prophet Muhammad, which contains the
means for conquering the Europeans.

Have no doubt about it, it possessed great power.

And when we have taken the Boma (Songea), we shall go on the stations on
the Nyasa together, you and I.

Now, let us forget our old quarrels.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]This bottle, with a da’wa, has been sent by Chinyalanyala himself, the war
leader.

He also sends the container (kombe), and sends you many greetings.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]If your men will come, then Chinyalanyala himself will come and will give you
many of the holy things.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Hassan bin Isma’il greets you.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Many salutations,[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Sultan Songea bin Ruuf[1][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]A point to note here is that this letter, beautiful as it is, it is being doubted
by Becker, who maintains that the origins of the letter are dubious.[2]

This is the stand which many Christian researchers have taken when faced
with the realities of Islam in Tanganyika.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[1]C.H. Becker, ‘Material for the Understanding Islam in German East Africa’,
Tanzania Notes and Records, No. 68, February, 1968, p.58.

[2]Ibid.
 

CHADEMA islamophobes beware the Ides of October 2015
 
Unaongea utafikiri waarabu walikuwa malaika wazungu walikuwa makatili sana ila hawatafikia ukatili wa waarabu sababu hao waliwakatili wazee wetu wao pamoja na kizazi chao wote makatili wakutupwa makafiri kabisa.

"wajerumani walipoingia walikuta makadhi na watu woote wakiwa katika imani ya kiislam huku maisha yakienda bilaa matatizo yoyote "

albuluushiy una uhakika na usemi huo?

Swali chokonozi....

Kwa nini hakuna "Black Arabs"


Wapo waafrika walioenda huko uarabuni. Kwa kukimbia vita na kuzamia na wamelowea huko karne ya 19 lakini waliochukuliwa kama maswahiba hakuna kizazi chao wanaume walihasiwa na hiyo ndio iliyokuwa VISA ya kuingilia uarabuni.

waarabu weusi ni wa asili tofauti na wazungu weusi ni wale walokwenda utumwani


Mkuu unamaanisha wakristo ndio wavivu wa kusoma?

Hizi dini za kuja bure kabisa...bora dini zetu ''za ujima'' ambazo hazikutuharibu uwezo wa kufikiri!


Nemulo,
Ukitaka historia ya utumwa itabidi kwanza usome Transatlantic Trave Trade.

Unaijua?

safi kwa makala nzuri, cku nyingine utuletee jinsi waafrika walivyoteswa na waarabu kwenye biashara ya utumwa


Waarabu waliuwa watumwa wote walipelekwa uarabuni.
 

Kuna kitu kanisa katoliki linaficha.
Mkuu hongera. Ila tunaitaji more references.
 
Waarabu waliuwa watumwa wote walipelekwa uarabuni.

Naifahamu vizuri Trans Atlantic Slave trade(Triangular slave trade) ilikuwa ni ya Western Africa zaidi,na ni tofauti na East African Slave Trade iliyofanywa zaidi na waarabu.
 
Remote,
Hapa ni swali la Transatlantic Slave Trade.

Hayo mengine tukiyaleta hapa yatatuvurugia mnakasha.

Sawa,hebu Mohamed Said naomba utupe wewe historia ya vita vya majimaji tena bila kumsupport mleta mada kwa kuwa ni muislam mwenzio na pia bila kudharau dini nyingine yoyote.

Tafadhali tusaidie hilo.
 
Last edited by a moderator:
Sawa,hebu Mohamed Said naomba utupe wewe historia ya vita vya majimaji tena bila kumsupport mleta mada kwa kuwa ni muislam mwenzio na pia bila kudharau dini nyingine yoyote.

Tafadhali tusaidie hilo.

Nemulo,
Nitoe mimi "historia ya Vita Vya Maji Maji" na "bila ya kumsupport mleta
mada kwa kwa kuwa ni Muislam," na "pia bila ya kudharau dini nyingine."

Ikiwa haya ndiyo masharti yako inaelekea hunijui kwa kuwa siko hivyo.
Mimi naandika kile ninachokijua tena kwa adabu zote.

Vita vya Maji Maji nimevieleza katika moja ya post zangu za nyuma na ni
kutoka kitabu changu.

Soma post #61 .
 
Naifahamu vizuri Trans Atlantic Slave trade(Triangular slave trade) ilikuwa ni ya Western Africa zaidi,na ni tofauti na East African Slave Trade iliyofanywa zaidi na waarabu.

Nemulo,
Umesahau kuwataja wahusika wa Transatlantic Slave Trade.
Ila umekumbuka kuwataja wa East African Slave Trade peke yao.

Barza inasubiri uwataje na hao wengine walikuwa kutoka utaifa upi?
 
Nemulo,
Umesahau kuwataja wahusika wa Transatlantic Slave Trade.
Ila umekumbuka kuwataja wa East African Slave Trade peke yao.

Barza inasubiri uwataje na hao wengine walikuwa kutoka utaifa upi?

Nijuavyo wahusika wa Trans Atlantic slave trade ni European(wazungu na ndio walioconduct),waafrika(watumwa) waliopelekwa utumwani kuwork kama vibaraka Amerika pamoja na baadhi ya waamerika(wakati huo ni red Indians)
 
Wengine walihasiwa kabisa, hizo historia mzee wala hazitafuti.
 
Kuna kitu kanisa katoliki linaficha.
Mkuu hongera. Ila tunaitaji more references.

Cerengeti,
Hebu msome Chief Songea anavyotokea katika utafiti wa Baker hapa chini:

[TABLE="class: cms_table, width: 601"]
[TR]
[TD]One needs only to read the letter written by the Chief Songea bin Ruuf at
the time when he was mobilising his people for war while at the same time
trying to cement alliances with other chiefs in Southern Tanganyika and
across River Ruvuma in Mozambique.

This letter written to Sheikh and Sultan Mataka bin Hamin Massaninga
reads:[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]"Sultan Songea bin Ruuf writes: To the Shaykh and Sultan Mataka bin
Hamis
Massaninga.

Greetings, etc.

I am sending you a letter through Kazembe.

We have received an order from God that the Europeans must leave the
country.

We are in the process of fighting them here. I believe that we have long
since been reconciled,[so] send me your children, so that we may make an
alliance.

I had wanted to send you some cattle as a gift, but am not able to[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]do so, as the war which God desired is continuing.

Send me a hundred riflemen, and support me in storming the Boma (Songea).[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]I am also sending you a flask of the Prophet Muhammad, which contains the
means for conquering the Europeans.

Have no doubt about it, it possessed great power.

And when we have taken the Boma (Songea), we shall go on the stations on
the Nyasa together, you and I.

Now, let us forget our old quarrels.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]This bottle, with a da'wa, has been sent by Chinyalanyala himself, the war
leader.

He also sends the container (kombe), and sends you many greetings.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]If your men will come, then Chinyalanyala himself will come and will give you
many of the holy things.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Hassan bin Isma'il greets you.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Many salutations,[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Sultan Songea bin Ruuf." [1]

Kutoka: Mohamed Said, "The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold Story of The Muslim Struggle Against British Colonialism in Tangnayika, Minerva Press, London 1998."[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Sultan Songea bin Ruuf huyu hapo juu ndiyo huyu anayoelezwa tena hapa chini kama Chief
Songea Mbano?:


"Anasema hali hiyo ilitokea kwa sababu Chifu Songea Mbano alikuwa ndiyo Jemedari Mkuu
wa Jeshi la Wangoni na alikuwa ni hodari sana asiyeogopa lolote kwa hiyo Wajerumani walitaka
abakie ili wamtumie kwa malengo yao.


"Yeye Chifu Songea alidai na yeye anyongwe kama walivyonyongwa ndugu zake, basi alinyongwa
na Wajerumani ambao waliondoka na kichwa chake wakiwa wamekiweka ndani ya kasha kwenda
Ujerumani ambako hakijarudi hadi leo na kiwiliwili chake kuzikwa katika kaburi la peke yake."

(Kutoka:https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/64754-historia-ya-vita-vya-majimaji.html)


Wanajamvi
Naamini mnaiona tofauti iliyopo.
Au hawa ni machifu wawili tofauti?

Nani anahusika na uchakachuaji huu wa majina haya ya Kiislam katika historia ya Vita Vya Maji Maji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…