Ukweli kuhusu Vita vya Majimaji

Ukweli kuhusu Vita vya Majimaji

Mwanzo umesema historia imepotoshwa kumbe unamaanisha iliitwa ya kishirikina sasa utatofautishaje Uislam na ushirikina mtoa mada.
 
Kwa hiyo Kinjekitile ndo Allah? Au mtume Muhammad ndo Allah?
 
What about Joshua? John?, James.....

Kwa taarifa yao Kiyahudi huwa na Y instead of J so Jesus si kiyahudi bali ni Kiingereza (this is very basic info)
According to bible Jesus anaitwa Emmanuel

Yesu written as Iesvs in hebrew,Jesus ni latin text lakini inasomeka hivyo hivyo Yesu,msipate tabu!!
 
Hapana pitia historia vizuri.
Kwanza kabisa nitaanza na kuwaelezea Hebrews or Jew ni nani.
Hebrew or Jews kwa kiswahili ni Wayahudi. Maandishi ya kale kabisa ya bibilia yapo Kwa lugha za kihebrew au kiyahudi.
Na napoeleza wayahudi nataka nieleweke nazungumzia watu wa race au rangi gani.
Wayahudi ni watu weusi, kama ulikuwa ufahamu hili ndo nakujulisha.
Majina kama Yesu, Peter, Matthew, James, John, Judas Iscariot, Jude, Bartholomew, na kadhalika yamekuwa ni tafsiri ya kingereze kutoka majina halisi ya kiyahudi.
Kwa mfano Peter [au petro Kwa kiswahili] peter alikuwa anaitwa Cephas au kephas ambayo ndo majina ya mwanzo kabisa ya bibilia ya mwanzo kabisa.
Hivi hivi Kwa majina kama
:
➡John alikuwa anaitwa Y'Hochanan [jina halisi la kihebrew]


➡James alikuwa anaitwa Ya'aqovu [jina halisi la kihebrew]

➡Matthew alikuwa anaitwa Mattithyahu [jina halisi la kihebrew]

➡ Thomas alikuwa anaitwa Tau'ma [jina halisi la Aramaic ]

➡Judas Iscariot was known as Yehuda [jina halisi la kihebrew]

➡Jude alikuwa anafahamika kama Judah [jina halisi la kihebrew]

➡Bartholomew alikuwa anafahamika kama Bar-Tolmay [jina halisi la kiAramaic ]

Hata jina Jesus ni tafsiri ya kingereza lakini Kwa jina halisi la kihebrew Jesus au Yesu alikuwa anafahamika na kuitwa➡Yeshua or Yashua.


Na hili tunafanya Kwa maisha yetu ya kila siku
Mfano wewe unaitwa John jina lako litatafsirika Kwa lugha hizi hapo chini utaitwa

◾Jean kwa kifaransa
◾loannes Kwa kilatini
◾Juan Kwa kispanish
◾Joao Kwa kiportuguese

Ndo hivyo hivyo kilichofanyikwa Kwa majina ya character wa bibilia.

Ila walichokosea wazungu nikuongopa kuwa wahusika wa bibilia au character wa bibilia ni watu weupe na wakati ni watu weusi. Yesu, Musa, Nuhu, watoto wa Nuhu n.k

Hawa wote niliwahainisha hapo juu ni watu weusi kabisa. Ndo mana huwa nasisitiza unaposoma bibilia uwe muangalifu sana mana imebadilishwa badilishwa na kuchapishwa machapisho mengi ambayo mstari Mingi imepotishwa.
 
Swala la original Arab bado nalimalizia kulieweka sawa ili kila MTU Kwa uwelewa aliojaliwa anielewe.
Ila nitaanza na kitabu cha Mfalme Suleiman ambacho ni wimbo wa Suleiman au wimbo ulio bora Kwa bibilia nyingine zilivyoandikwa au Kwa kingereza Songs of Solomon.

Huwa napenda sana kutoa angalizo mana bibilia zipo nyingi na zinatofautiana Kwa sababu ya uchabishwaji mwingi na hii nikutokana na interest za watu weupe kuupotosha Ukweli juu ya maandiko ya bibilia.
Nitaanza na bibilia ya kingereza.

Song of Solomon 1:5, 6 [I am black, but comely, O ye daughters of Jerusalem, as the tents of Kedar, as the curtains of Solomon. Look not upon me because I am black.]

Wimbo ulio bora1:5Mimi ni mweusi- mweusi na ninapendeza.. Enyi binti za Yerusalemu, Mfano wa hema za kedari kama mapazia yake Suleiman, Msinichunguze Kwa kuwa mimi ni MWEUSI.

Ukiangalia hii mistari miwili wa kingereza na kishwahili ni yanazungumzia kitu kimoja kwamba Suleiman anajidescribe mwenyewe kuwa ni MTU MWEUSI.

Au labda kuna neno ambalo halieleweki hapo.
Ukiangalia picha niliyoipost ya bibilia nimechorea Kwa kalamu utaona ni jinsi gani bibilia zilivyochapishwa machapisho mengi KIASI ambacho mingine inawezekana inabafilishwa kimya kimya.
Hapa kwangu namatoleo ya bibilia nyingi na ninaona jinsi wanavyo itwist bibilia iwe kama wanavyotaka.

Sasa Kwa kuanzia hapa unaweza kujua kabisa original Arabs ni watu gani.
Hii kazi sio ya kukurupuka wadau naombeni tena mda niiweke sawa nikianza kupost tu ni kazi kwenu kushare chochote mtakachoona kinafaa Kwa ajili ya kusaidia fikra za watu wote.
 

Attachments

  • 1435148481314.jpg
    1435148481314.jpg
    51.1 KB · Views: 195
VITA VYA MAJI MAJI (1)
"MNANIUA LAKINI KIFO CHANGU
HAKITA LETA BADILIKO LOLOTE KTK
VITA HIVI KWANI MAFUNDISHO
YANGU YAMEKWISHA KUENEA PANDE
ZOTE".
Maneno ya mwisho ya shujaa wa
uhuru wa ardhi ya Tanganyika
Kinjekitile Ngwale.
Huu ni mwanzo wa historia ya vita vya
maji maji vilivyokuwa machinjio ya
mashujaa na wanatanganyika wengi
kuuawa.
Katika vita hivyo wasaliti kama Jumbe
Ndembo waliposaliti taifa na ardhi yao
na kuwanyenyekea wajerumani na
kumsaliti kinjekitile na kusababisha
kifo chake.
Ktk vita hivyo mission nyingi
ziliteketezwa na kuangamizwa huku
shujaa mwanamke Binti Mkomanire
akiwa mwanamke wa pekee
alonyongwa kwa ushiriki wake ktk
vita.
Vita vilivyokuwa na siri ilojulikana
kwa jina la JUJILA na mazoezi ya vita
yalo julikana kama LIKINDA.
Ktk vita hivi vilipiganwa na makabila
mengi dhidi ya mjerumani huku baadhi
ya makabila yakiwasaliti
watanganyika wenzao na kupigana
upande wa mjerumani.
Ktk vita hivyo kulikuwa na wajumbe
wa kueneza vita walojulikana kama
WAPOKOSI au HONGO wajumbe hawa
walikuwa ni ktk mashujaa wa
kinjekitile.
Ktk vita hv wajerumani au wazungu
walipewa jina la LITUPILIKERE
likimaanisha udongo mwekundu...
Itaendelea,fuatilia na kufahamu
chanzo cha vita hivi,viongozi wake na
jinsi vita vilivyopiganwa.
 
mleta historia usituongopee..
 
TATIZO LA MAJINA YA KIISLAM KATIKA KUMBUKUMBU YA VITA VYA MAJI MAJI (1905 – 1907) MAHENGE SONGEA
Katika kumbukumbu ya Vita Vya Maji Maji Songea sehemu inayotia simanzzi kubwa ni pale penye kaburi kubwa la halaiki walipozikwa wazalendo 67 walionyanyua silaha dhidi ya dhulma za Wajerumani. Hawa walihukumiwa kunyongwa.

Kando ya kaburi hili la halaiki kuna kaburi moja lililo peke yake.
Hili ni kaburi la Abdulrauf Songea Mbano aliyenyongwa peke yake na kuzikwa kwenye kaburi la peke yake.

Hapo Mahenge ilikuwapo orodha ya majina ya wote walionyongwa na kuzikwa hapo. Robo tatu ya walionyongwa na kuzikwa hapo ni Waislaam.

Lakini karatasi hii yenye majina ya Kiislam yamewekwa mbele ya majina haya majina mengine ambayo si ya Kiislam.

Linaanza jina lake la Kiiislam kisha lingine mfano Abdulrahman (Dominic) Mputa Gama.

Ingekuwa kama siku kuchomekwa jina lingine jina lingesomeka kama hivi, ‘’Abdulrahman Mputa Gama.’’

Kazi hii ilifanywa na padre kutoka Peramiho aliyeletwa Mahenge kuwabatiza Waislam kwa ahadi kwa kuwa wakikubali kubatizwa hawatanyongwa.

Orodha hii yenye majina ya Kiislam hivi sasa imeondolewa na badala yake kuna orodha mpya yenye majina mengine ambayo yanasomeka kwa mfano wa hapo juu, ‘’Dominic Mputa Gama,’’ badala ya ‘’Abdulrahman (Dominic) Mputa Gama.’’

Labda tujiulize nani anafanya haya nani anamtuma nini nia ya kufanya hivi?
 
TATIZO LA MAJINA YA KIISLAM KATIKA KUMBUKUMBU YA VITA VYA MAJI MAJI (1905 – 1907) MAHENGE SONGEA
Katika kumbukumbu ya Vita Vya Maji Maji Songea sehemu inayotia simanzzi kubwa ni pale penye kaburi kubwa la halaiki walipozikwa wazalendo 67 walionyanyua silaha dhidi ya dhulma za Wajerumani. Hawa walihukumiwa kunyongwa.

Kando ya kaburi hili la halaiki kuna kaburi moja lililo peke yake.
Hili ni kaburi la Abdulrauf Songea Mbano aliyenyongwa peke yake na kuzikwa kwenye kaburi la peke yake.

Hapo Mahenge ilikuwapo orodha ya majina ya wote walionyongwa na kuzikwa hapo. Robo tatu ya walionyongwa na kuzikwa hapo ni Waislaam.

Lakini karatasi hii yenye majina ya Kiislam yamewekwa mbele ya majina haya majina mengine ambayo si ya Kiislam.

Linaanza jina lake la Kiiislam kisha lingine mfano Abdulrahman (Dominic) Mputa Gama.

Ingekuwa kama siku kuchomekwa jina lingine jina lingesomeka kama hivi, ‘’Abdulrahman Mputa Gama.’’

Kazi hii ilifanywa na padre kutoka Peramiho aliyeletwa Mahenge kuwabatiza Waislam kwa ahadi kwa kuwa wakikubali kubatizwa hawatanyongwa.

Orodha hii yenye majina ya Kiislam hivi sasa imeondolewa na badala yake kuna orodha mpya yenye majina mengine ambayo yanasomeka kwa mfano wa hapo juu, ‘’Dominic Mputa Gama,’’ badala ya ‘’Abdulrahman (Dominic) Mputa Gama.’’

Labda tujiulize nani anafanya haya nani anamtuma nini nia ya kufanya hivi?
Lipi lisilotakiwa lijulikane katika historia ya Vita Vya Maji Maji?
https://www.theeastafrican.co.ke/te...-7SNVfAliRvaeGuYtrn0n4dPKU1IGudszkPmpZuJpbqe0
 

Attachments

  • image_2022-07-02_075758835.png
    image_2022-07-02_075758835.png
    310.7 KB · Views: 12
Tatizo la kuwa na wasomi ambao hawajaelimika litaendelea kuitafuna sana Africa. Inashangaza kuona mtu anapigania kutambulishwa kwa majina ya 'Slave masters', majina yetu ya asili tunayaona hayana maana, hii ni aibu. Imenikumbusha song of lawino and ocol
 
Ulivyo mdini naona kila kiongozi wa nchii alikua muislamu ila alilazimishwa na mapadri abatizwe apewe jina jipya ili apewe mamlaka.

Unapoteza muda wako na nguvu zako bure..nadhani magonjwa ya uzee yanakunyemelea unajiabisha tu humu wewe mzee.

Tunaendelea kukupuuza.

#MaendeleoHayanaChama
 
Viongozi wa kiislam mbona wamepita wengi tu, kwanini mnalalama kuonewa na kukandamizwa na mnasemaga mko wengi hapa nchini!??
Ina maana hao viongozi wa kiislam nao walibariki hilo!?, Achana na hao wa kiserikali si kuna mabaraza pia na viongozi wa kidini, wameshindwa kufanya marudhiano na viongozi wa nchi kuhusu malalamiko yenu??

Shida ni nini mzee wangu!?
 
TATIZO LA MAJINA YA KIISLAM KATIKA KUMBUKUMBU YA VITA VYA MAJI MAJI (1905 – 1907) MAHENGE SONGEA
Katika kumbukumbu ya Vita Vya Maji Maji Songea sehemu inayotia simanzzi kubwa ni pale penye kaburi kubwa la halaiki walipozikwa wazalendo 67 walionyanyua silaha dhidi ya dhulma za Wajerumani. Hawa walihukumiwa kunyongwa.

Kando ya kaburi hili la halaiki kuna kaburi moja lililo peke yake.
Hili ni kaburi la Abdulrauf Songea Mbano aliyenyongwa peke yake na kuzikwa kwenye kaburi la peke yake.

Hapo Mahenge ilikuwapo orodha ya majina ya wote walionyongwa na kuzikwa hapo. Robo tatu ya walionyongwa na kuzikwa hapo ni Waislaam.

Lakini karatasi hii yenye majina ya Kiislam yamewekwa mbele ya majina haya majina mengine ambayo si ya Kiislam.

Linaanza jina lake la Kiiislam kisha lingine mfano Abdulrahman (Dominic) Mputa Gama.

Ingekuwa kama siku kuchomekwa jina lingine jina lingesomeka kama hivi, ‘’Abdulrahman Mputa Gama.’’

Kazi hii ilifanywa na padre kutoka Peramiho aliyeletwa Mahenge kuwabatiza Waislam kwa ahadi kwa kuwa wakikubali kubatizwa hawatanyongwa.

Orodha hii yenye majina ya Kiislam hivi sasa imeondolewa na badala yake kuna orodha mpya yenye majina mengine ambayo yanasomeka kwa mfano wa hapo juu, ‘’Dominic Mputa Gama,’’ badala ya ‘’Abdulrahman (Dominic) Mputa Gama.’’

Labda tujiulize nani anafanya haya nani anamtuma nini nia ya kufanya hivi?
Lipi lisilotakiwa lijulikane katika historia ya Vita Vya Maji Maji?
https://www.theeastafrican.co.ke/te...-7SNVfAliRvaeGuYtrn0n4dPKU1IGudszkPmpZuJpbqe0
Kama walibatizwa wakapewa majina mapya nashindwa kuelewa wanapoyatumia majina hayo kuna kua na shida Gani.
Pia tunaweza kutazama Koo zao sasa hivi ni watu wa dini Gani?
Huenda familia za wahusika ndio waliotaka marekebisho ya majina kwa kuona kwamba yamekosewa na wao wanajua jamaa zao walibatizwa na kupewa majina mapya.
Kama jamaa zao hawajalalamika basi walioandika upya wako sahihi.
 
Maelezo yako Mzee kuna sehemu sijaelewa au yanajichanganya ni kwamba hao walionyongwa waliambiwa kwamba wakikubali kubatizwa hawatanyongwa bali wataachwa, sasa imekuaje wakanyongwa wakati majina yao yanaonesha walikubali kubatizwa na kubadili baadhi ya majina yao?

Mji wa Songea una wakazi mchanganyiko toka kitambo sana, ila hilo jambo utakua umesimuliwa Mzee nenda Songea leo waulize Wazee wenyewe,,

Mimi jirani yangu alikua Mzee Mpambalioto ila bahati mbaya amefariki mwaka huu (huyu alikua ni mjukuu wa Mpambalioto ambae ni Mtemi wa kipindi hicho walipatikana katika moja ya safu za milima Matogoro) hawa ni waislamu kabisa toka zama hizo.

Mzee huyu amewai niambia kuwa wapo machifu wengi walikua wakristo na wengine waislamu mfano ukoo wa Mbano hawa wapo tena wanapatikana eneo moja linaitwa Mwengemshindo nenda pale utakutana na mbano na wengine nimesoma nao wote ni wakristo alafu kuna Gama nao ni wakristo kabla hata ya kunyongwa.

Ila wapo wengine walibatizwa kabla ya kunyongwa wengine kwa ridhaa wengine kwa lazima ila sio kama ilivyoandikwa na Mzee hapo juu
 
Back
Top Bottom