Ukweli ni kwamba Maandamano ya CHADEMA yamefanikiwa kwa 100%

Aisee 😯 😯 😯
 
Pamoja na nyumba yangu Tandika Mwembeyanga kuzingirwa tangu saa 4 usiku, Lakini muda huu niko mnazi mmoja, sasa kama hapa kuna uvungu basi sawa
Sasa kama walikuzingira na hapo umefika mnazi mmoja, sasa lengo lao lilikuwa ni lipi, au n ww mwnyw umejishtukia kuwa labla walikuwa wakuzingira nyumba yako?
 
 
Wewe umo katika waliokamatwa?au ndo unatuhubiria usichoweza kukitenda?
 
Well Said
 
Wale waandamanaji kutoka "mikoani" waliowakwepa Polisi hadi jana usiku waliposakwa hadi kwenye Magesti wameenda wapi? Ahahahahaha! Ukiwa Chadema kweli wewe ni nyumbu! Ahahahahaha!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…