Ukweli unaoogopwa kusemwa kuhusu bwawa la umeme la Nyerere

Madhara Yana solution, hiyo ndio point yangu.

Na faida ya hili Bwawa ni kubwa kuliko unachokiongea
 
Acha UONGO!
Eneo linalojazwa maji na miti kukatwa katika mradi halifiki 2% ya eneo lote la hifadhi ya Selous, actually ni around 1.5% kama sikosei.
KNOW YOUR FACTS!
 
Kuna program za upandaji muti zaidi ya milioni 20 kila mwaka. So inaweza kureplace haraka.

Kinachofanya mvua isinyeshe ni jambo jingine ambalo wazung hawawezi kukwambia.
Unasubiri uambiwe na wazungu kwa nini mvua hazinyeshi?. Pole sana kizazi hiki. Hata babu zetu ambao hawakua na elimu ya kisasa wasingesubiri wazungu wawaambie.

Walikuwa na njia zao za asili za kujua vyanzo vya maji viliko na kuvihifadhi. Huyo tuliyemzika Chato mwaka jana alipkuwa anakata miti zaidi ya Milioni 4 kupisha ujenzi wa bwawa la JNHEPP mlikuwa mnamshangilia.

Sasa hivi mvua hakuna mnataka wazungu ndiyo wawasemee, poor ypu
 
Mkuu umesahau kutoa hoja yako....
 
Eti ukame. Ukame limekuwa ni janga la kidunia karibu robo karne sasa kutokana na mabasiliko ya hali ya hewa duniani kote. Hata hapa Tz sio mara ya kwanza miaka hii miwili kutopata mvua za kutosha. Wacha kushikiwa akili kipuuzi
Hayo mabadiliko ndio Sasa yamesababishwa na among other factors shughuli za kibinadamu kwenye maeneo ya misitu n.k mbona simple tu au alichodanganya hapo ni Nini? Ni sawa useme UKIMWI upo dunia nzima kwa hiyo katembee na mwanamke bila Kinga? Hapo umesolve tatizo au umeongeza?

Cha kushauri tu ni kuwa miti iliyokatwa ijaziliziwe upya around the facility Wala hakuna haja ya kupingana kwa kitu kilicho wazi.
 
Kwa tamaa ya pesa ulikubali kutatuliwa marinda na kichaa wa chato
 
Everything has merits and demerits for this project merits is very high.

Mtoa mada Mimi siungani na hayo mawazo yako.
Acha kuongea utafikiri ulizaliwa na Magufuli by cloning. Wewe huelewi haya mambo ya long term impacts, unachoona hapa ni suluhisho la load shedding basi unasema project has long merits.

Na kama umeelewa mada, katika case kama hii huwa tunaconsider alternative sources of power generation - natural gas was the obvious option. Na kumbuka kwamba tuna miradi ya HEP ambayo iko well below generation capacity kwa sababu za diminishing of river flow rates, ambapo hata hii Nyerere HEP itakuja kuwa impacted. The fact kwamba kuna concern kuwa hata season mbili zinaweza zisijaze Nyerere dam ni kwa kuwa kuna athari katika river flow rates nchini, kutokana na climate change, uharibifu wa catchment areas na wetlands na siltation kutokana na mashamba upstream

With gas turbines unakuwa na uwezo wa kuongeza generation capacity any time you want. Kwenye Nyerere tupo capped kweye 2100MW, na sijui kama tutafikisha hiyo generation level. Tungechukua option ya gas turbines tungeanza na units za 100MW tukiongeza taratibu hata kufika 5000MW kutokana na national power demand hata na exports kupitia grid ya Southern Africa (SAPP) na hata ya East Africa.

Choosing Nyerere dam over Mtwara gas turbines was one of the many dumb things done by Magufuli. In fact leadtime ya gas turbines is way shorter than HEP ya size ya Nyerere dam. Sasa tuna gas Mtwara lakini haitatusaidia kwa kuwa yote itauzwa nje kama LNG kwa bei ambayo wala sio sisi tutakaopanga. Then people kama Magufuli walijiona wana akili sana kuliko Watanzania wengine? Incompetent fools.
 
nilidhnai nitasoma kitu kipya ambacho hakijawahi kusemwa
 
Mkuu, unawezaje kumudu lundo hilo la chuki?
 
Naona baadhi yetu tuna tatizo la uelewa hafifu hasa kwa kutotembelea nchi za wengine kujifunza. Nenda Dubai tu ,kuna majengo hadi hayakaliwi kwa ajili ya utalii. Kila mradi humu,wapingaji husema gharama,gharama ,gharama.

Maoni yangu,Tuzalishe umeme wa maji, tuzalishe umeme wa gesi, tukiweza tuzalishe wa makaa ya mawe, ziada ya mahitaji ,tutawauzia majirani
 
Binadamu wanaishi hadi jangwani ambako huwezi kuwa na umeme wa maji.
WEKENI ANALYSISI ZA KITAALAMU TUONE HAPA..KAMA MAJI YAKIKOSA HATA BINADAMU WATAKUFA
 
Hiyo miti kama inawauma watuamia Watanzania tuipande ndani ya siku moja tu! Kila miti 200 kila mkoa kwisha! Unahofia miti utafikiri inaumbwa wakati ni ya kupanda tu.
Kama swala ni upatikanaji wa hewa safi. Bahari ipo na ndio inatoa 80% ya oksijeni tunayovuta.

Umetoa wazo zuri sana mkuu. Tupande miti kufidia iliyokatwa problem solved.
 
Misri lile bwawa lao la kufua umeme katika mto Nile walijenga juu ya miti?. Ghana na zimbabwe yale mabwa makubwa walijenga kwenye hewa bila kukata miti?

Ulaya miradk mikubwa ya nyukria wanajenga hewani? Acha kushikiwa akili we dogo
Nadhani Wewe ndiye umeshikiwa akili
 
Wewe Mtanzania una gas gani?,gas yote ni ya wachina,acha kudanganya watu
 
Lawama zote kwa CCM. Hali ya mvua imekuwa kusuasua sana. Wajinga hawa wanatuambia tuombee mvua. Haya maji yakikauka hiyo turbines zitaendeshwa kwa madenda?
 
Wrong. Gas turbines haziendeshwi na mvuke wa maji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…