pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Kaka mkuu shikamoo, umeeleza vizuriiiii, ila hapa mwisho umechanganya, pamoja na vita kuwa ni gharama lakini pia ukombozi wa nchi za kusini mwa afrika nalo limechangia pakubwa na inawezekana ni kuzidi hata hiyo vita yenyewe, tulitakiwa kufunga mkanda miezi 18 tu ila yaliyofuata sasa, na hata vita yenyewe kiuhalisia tungeweza kuiepuka kama tungetaka sema kutumwa nako ni shidaTulikuwa tunakwenda vizuri mpaka yule mshenzi nduli Amini alipotuvamia ile 1978 Taifa likaingia vitani kwenye vita vya Kagera ndio sasa tukaharibikiwa.
Okay alifanya makosa its bad! So since that time imeshindikana kuweka mamb saw hatua kwa hatua? Au kosa lake halibadilishiki? Au inabid tumlaum milele!!Nawasalimu wanaJF.
Leo nimeamua niseme ukweli kuhusu nchi yetu hii ya Tanzania.
Katika miaka 24 ya utawala wa Mwalimu Nyerere, alitangaza maadui wakubwa wa watatu wa watanzania:-
1. UJINGA
2. UMASKINI
3. MARADHI
Mwalimu Nyerere hakuwa visionary leader alikuwa mwanaharakati, badala ya kujenga nchi na kuwapatia elimu watanzania alikuwa na misemo tu, kuongea majukwaani tu bila vitendo.
Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kujenga shule za msingi kila kijiji kwa miaka yote hiyo 24 badala yake akajenga ofsi za chama kila kijiji?
Je, kitu gani Mwalimu Nyerere kilimshinda kwa miaka 24 kujenga vyuo vya ufundi kila wilaya badala yake alijenga viwanja vya mpira wa miguu?
Lowassa aliweza kujenga shule za secondary kila kata. Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kwa miaka 24 kujenga Shule hizo?
Tunaweza kutafuta mchawi wa taifa letu. But kusema kweli Nyerere alitukosea sana watanzania.
Nadhani Mwalimu Nyerere alikuwa na mentality za utawala wa kifalme ambao hauna malengo.
Tunaona mataifa mengi yaliyowekeza kwenye elimu alivyopiga hatua.
Yeye Mwalimu Nyerere hakuwa na nia kabisa ya watanzania wengi kupata elimu. Wakati wa Mwalimu Nyerere kusoma ilikuwa ni bahati na siyo haki ya Mtanzania.
Taifa lisilokuwa na elimu haliwezi kujiendesha vizuri, litabaki kuwa ombaomba tu.
Sisi kama Taifa ni lazima tujue tulipoangukia, tukainuke na kusonga mbele. Bado hatujachelewa.
Tanzania tupo na vijiji na mitaa isiyozidi 20,000. Kwani alishindwa nini kuchukua kila kijiji vijana 10 na kuwapeleka kusoma nchi za nje? Vijana 10 kila kijiji maana yake ni watanzania 200,000 tu.
Yaani angechukuwa wanawake 5 na wanaume 5.
But uwezo alikuwa nao wa kufanya hivyo.
Nitaendelea kueleza machungu yangu haya kwenye uzi huu ili tujue wapi tulipoangukia tukainuke na kusonga mbele...
Yoda ni kweli waafrika tuna matatizo yanayofanana katika maendeleo yetu na nadhani tatizo si viongozi wetu bali kuna watu waliyojipa mamlaka ya kuongoza dunia, hao ndiyo wanaotufanya sisi waafrika tuwe jinsi tulivyo. Viongozi wetu mara nyingi huwa wanapata shinikizo kutoka huko juu, ukiwa kiongozi wa kweli wa kutaka kuwaletea watu wako maendeleo na kutengana na wakoloni basi utafnayiwa figisu na hatimaye wanaweza kukuondoa.Matatizo ya Waafrika kwa Asilimia 60 yanafanana ndio maana Africa karibia yote tu inafanana, acha kupoteza muda kum single out Nyerere.
Mimi nimeishi kipindi Nyerere akiwa mtawala. Ndugu labda wewe umebahatika kukukulia katika jamii iliyopata kipaumbele hicho.Niseme japo kwa kifupi kuhusu lawama zako kwa mwalimu hayati JK Nyerere juu ya elimu ya Tanzania.
Mwalimu alipokea nchi toka kwa wakoloni ikiwa na kundi dogo sana la wasomi, na kundi jingine dogo la wanaojua kusoma na kuandika tofauti na majirani zetu.
Kazi ya kwanza ilikuwa ni kupunguza kundi la wasiojua kusoma na kuandika ambalo lilikuwa kubwa zaidi.
Akawa na kazi ya pili ya kuwasomesha vijana watakaosaidia katika idara nyeti kama madaktari na wahandisi. Kumbuka nafasi tunapopata uhuru zilikuwa zimeshikwa zaidi na wageni japo na wenyeji kidogo walikuwepo.
Haikuwa kazi rahisi kwa uchumi wa wakati huo kutoa elimu ya juu kwa watu wengi. Lakini alipambana kujenga shule za msingi,sekondari na chuo kikuu ili kuongeza idadi ya wasomi.
Alitumia wasomi wa idara mbalimbali kama walimu katika maeneo yao. Kwa mfano walimu mahali popote walipo walitakiwa kufundisha si tu wanafunzi, bali hata watu wazima katika eneo hilo japo wajue kusoma na kuandika.
Aliandika vitabu vya elimu ya watu wazima kwa mkono wake na wadau wengine, vikiwa na taaluma mbalumbali kama upishi, ufundi nk.
Kama haitoshi, ili kukuza kwa haraka elimu kwa wananchi, alianzisha mpango wa UPE (universal primary education), mpango ambao umerudiwa na Rais Magufuli. Mpango huu ndiyo ulioipa Tanzania sifa ya kuwa na wananchi wengi wanaojua Kusoma na Kuandika katika bara la Afrika mwishoni mwa miaka ya 70 hadi mwanzoni mwa miaka ya 80.
Kifupi mwalimu alipambana sana kuiinua Tanzania. Kumbuka haikuwa rahisi kutokana na mabeberu kuwakandamiza waafrika kupunguza kundi la wasomi wasijeleta upinzani wanapotaka kutunyonya.
Kama unaweza kujifunza, jifunze kwanini viwanda vya vyetu vilijengwa kisha vilikufa kwa haraka sana. Moja ya sababu ilikuwa ni kukosa vipuli na nguvu kazi (wataalam) kutokana na wazungu kugoma kuendeleza wataalamu wetu na kutuuzia vipuli.
Kama siyo juhudi zake Nyerere, tungekuwa na maisha kama ya Kenya. Sipati picha ingekuwaje.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Anachaguliwa na wajinga walio wengi kwenye jamii.Sasa huyo mbunge aliechaguliwa na hajui chochote kuhusu nchi si kachaguliwa na watu kama wewe mnaoijua nchi ama alijichagua mwenyewe?
Yani watu hamtaki ku accept failures zenu, mnafanya blame shifting.
Ivi mchongameno yeye alisoma?Nawasalimu wanaJF.
Leo nimeamua niseme ukweli kuhusu nchi yetu hii ya Tanzania.
Katika miaka 24 ya utawala wa Mwalimu Nyerere, alitangaza maadui wakubwa wa watatu wa watanzania:-
1. UJINGA
2. UMASKINI
3. MARADHI
Mwalimu Nyerere hakuwa visionary leader alikuwa mwanaharakati, badala ya kujenga nchi na kuwapatia elimu watanzania alikuwa na misemo tu, kuongea majukwaani tu bila vitendo.
Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kujenga shule za msingi kila kijiji kwa miaka yote hiyo 24 badala yake akajenga ofsi za chama kila kijiji?
Je, kitu gani Mwalimu Nyerere kilimshinda kwa miaka 24 kujenga vyuo vya ufundi kila wilaya badala yake alijenga viwanja vya mpira wa miguu?
Lowassa aliweza kujenga shule za secondary kila kata. Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kwa miaka 24 kujenga Shule hizo?
Tunaweza kutafuta mchawi wa taifa letu. But kusema kweli Nyerere alitukosea sana watanzania.
Nadhani Mwalimu Nyerere alikuwa na mentality za utawala wa kifalme ambao hauna malengo.
Tunaona mataifa mengi yaliyowekeza kwenye elimu alivyopiga hatua.
Yeye Mwalimu Nyerere hakuwa na nia kabisa ya watanzania wengi kupata elimu. Wakati wa Mwalimu Nyerere kusoma ilikuwa ni bahati na siyo haki ya Mtanzania.
Taifa lisilokuwa na elimu haliwezi kujiendesha vizuri, litabaki kuwa ombaomba tu.
Sisi kama Taifa ni lazima tujue tulipoangukia, tukainuke na kusonga mbele. Bado hatujachelewa.
Tanzania tupo na vijiji na mitaa isiyozidi 20,000. Kwani alishindwa nini kuchukua kila kijiji vijana 10 na kuwapeleka kusoma nchi za nje? Vijana 10 kila kijiji maana yake ni watanzania 200,000 tu.
Yaani angechukuwa wanawake 5 na wanaume 5.
But uwezo alikuwa nao wa kufanya hivyo.
Nitaendelea kueleza machungu yangu haya kwenye uzi huu ili tujue wapi tulipoangukia tukainuke na kusonga mbele...
Mbona haya mambo yapo hadi leo na bado serikali inaendesha mambo yake bila tatizo.Umesahau wachaga walikua na nchi yao na uongozi wao, umesahau huko Mbeya, Iringa na Usukumani kulikua ni falme/kingdom zinazojiendesha
Mzee Mchonga alijifanya Mungu mtu na aliamini ktk uungu wake,alichokosea ni kuwa alijua hii katiba siyo ila akatuachia hivyo hivyo hayo mengine unamuonea!
angebadili katiba na kuweka sheria kali kwa viongozi wa umma wala tusingekuwa hapa!
Hamna Cha kubadili ktk hiyo mikataba watu washakula mirungulaTusikae kimya sasa kusubiri miaka 10 ijayo Rais wetu aandike Kitabu cha kujutia kuingia mkataba huu mbovu wa Bandari, tumkosoe mapema ili akija kuandika kitabu hicho aseme nilishauriwa ila nilikataa Ushauri"-Baba Paroko wetu leo 27/08/2023
Kambona aliishiwa kuitwa Malaya na kuikimbia nchi...Nataka nikuongezee jambo hapa.
Kuna mtu mmoja aliitwa Oscar Kambona. Huyu aliweza kutendewa mambo ya ajabu sana na Mwalimu.
Kambona alipendekeza vyama vingi since independence. Bado Nyerere alikataa. Baada Nyerere aliweza kuwakamata ndugu zake Oscar Kambona na kuwafunga.
Kambona alikuwa Muumini wa kanisa la Anglican na alisomeshwa na viongozi wa Angican masuala ya Sheria huko Uingereza.
Inakuwaje vichwa kama hivi unaamua kuvipoteza kwa matakwa yako Binafsi. Kambona angesikilizwa hakika leo tungekuwa na katiba nzuri na nchi ya wasomi.
Katiba ya mwaka 1977 haikuandikwa na Julius, taja walioandika hiyo katiba kisha tuone wao na wewe nani anauelewa mpana kwenye masuala ya katiba, kisha tujue kama unajua unachotuhumu!Ukiachana na hilo. Pia yeye ndio chanzo cha mifumo mibovu miwili
1. Mfumo mbovu sana wa uongozi (ccm, katiba mbovu ya 1977)
Nenda kwenye trends, cheki ni sarafu gani ilikuwa na nguvu enzi hizo, cheki sarafu hiyo againsta Tzs, kisha tufananishe na baada ya mwaka 1984.2. Mfumo mbovu sana wa kiuchumi
Shule za kata zilianza kipindi cha mkapa mwaka 2003Daaaaaa nimcheka balaaa ila ok ila lowasa akujenga shule hizo ni kikwet ndo alie jenga shule mpe maua yake bana
JPM iliyeingia mitini na trillion 1.5 yule alikua jambazi suguHii mada niliona niipite tu kwakuwa kuanzia mtoa mada na wachangiaji wengi bado wako kwenye "Kati ya pesa na elimu, kipi bora" debate mode ki-primary zaidi.
Pamoja na wao kujisahaulisha UHALISIA lakini pia ni kana kwamba wamegoma kutumia uwezo wao wa kufikiri AU wanafikiri based on what they have seen already.
Ukiwapanga kwa UPIGAJI kazi uliotukuka katika nchi hii, wenye uzalendo na uwajibikaji, dhamira safi ya kuisogeza nchi mbele, basi listi itakuwa
1. JKN
2. JKN
3. JKN
4. JKN
5. Sokoine
6. Sokoine
7. JPM
8. JPM
9. JPM
10. BWM
Kwani Rome, Dubai Tokyo, New York nk no zimejengwa siku moja?Nawasalimu wanaJF.
Leo nimeamua niseme ukweli kuhusu nchi yetu hii ya Tanzania.
Katika miaka 24 ya utawala wa Mwalimu Nyerere, alitangaza maadui wakubwa wa watatu wa watanzania:-
1. UJINGA
2. UMASKINI
3. MARADHI
Mwalimu Nyerere hakuwa visionary leader alikuwa mwanaharakati, badala ya kujenga nchi na kuwapatia elimu watanzania alikuwa na misemo tu, kuongea majukwaani tu bila vitendo.
Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kujenga shule za msingi kila kijiji kwa miaka yote hiyo 24 badala yake akajenga ofsi za chama kila kijiji?
Je, kitu gani Mwalimu Nyerere kilimshinda kwa miaka 24 kujenga vyuo vya ufundi kila wilaya badala yake alijenga viwanja vya mpira wa miguu?
Lowassa aliweza kujenga shule za secondary kila kata. Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kwa miaka 24 kujenga Shule hizo?
Tunaweza kutafuta mchawi wa taifa letu. But kusema kweli Nyerere alitukosea sana watanzania.
Nadhani Mwalimu Nyerere alikuwa na mentality za utawala wa kifalme ambao hauna malengo.
Tunaona mataifa mengi yaliyowekeza kwenye elimu alivyopiga hatua.
Yeye Mwalimu Nyerere hakuwa na nia kabisa ya watanzania wengi kupata elimu. Wakati wa Mwalimu Nyerere kusoma ilikuwa ni bahati na siyo haki ya Mtanzania.
Taifa lisilokuwa na elimu haliwezi kujiendesha vizuri, litabaki kuwa ombaomba tu.
Sisi kama Taifa ni lazima tujue tulipoangukia, tukainuke na kusonga mbele. Bado hatujachelewa.
Tanzania tupo na vijiji na mitaa isiyozidi 20,000. Kwani alishindwa nini kuchukua kila kijiji vijana 10 na kuwapeleka kusoma nchi za nje? Vijana 10 kila kijiji maana yake ni watanzania 200,000 tu.
Yaani angechukuwa wanawake 5 na wanaume 5.
But uwezo alikuwa nao wa kufanya hivyo.
Nitaendelea kueleza machungu yangu haya kwenye uzi huu ili tujue wapi tulipoangukia tukainuke na kusonga mbele...