Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
- Thread starter
-
- #241
Ndugu yangu Elimu ndio msingi muhimu wa kujenga taifa.Kwahiyo ulitaka Nyerere afanye kila kitu?
Ili wewe na baba yako mbaki kupanda juu ya meza kunywa konyagi na kucheza amapiano tu??
Kwasababu naona ulitaka matatizo yote ya Tanzania ni Nyerere tu alitakiwa kuwa ameyamaliza.
Maendeleo kwa ujumla yalikuwa chini sana, kutoka Dar mpaka Tanga ilikuwa safari ya usiku kucha, leo hii ni chini ya masaa matatu.Ndugu yangu unabahati sana kusoma.
Kipindi chake hiyo elimu ilikuwa bahati haikuwa haki ya mwananchi.
Nasema hivi mpaka anaondoka kuna mikoa mingi tu ilikuwa haina hata shule moja ya sekondari.
Je, sababu ilikuwa ni nini?
Kosa langu ni nini? Kosa langu kusema ukweli? Lowassa ndiye aliyezunguka nchi nzima kupiga kelele kuhusu shule za kata. Alizomewa na wabunge lakini alikomaa.Lowassa walijenga shule za kata Kila kata akiwa kama nani?
Huyo Nyeterebunayemsema alijenga ofisi za Chama na viwanja vya mpira je, yeye hakuwà na waziri mkuu?
Shule za kata zilikengwa na Rais Jakaya Mrisho Kikwete na sio E. N. Lowassa.
Kama kule Rais alijenga lakini huku waziri mkuu kajenga! Rekebisha hapo kwanza vinginevyo andiko lako lifutwe.
TrueHuyu ndio rais aliyeweza kulinda rasilimali zanchi kama leo hii rais ndani ya miaka 2 tu kashauza kila kila kitu tukimpa miaka 20 hii nchi itakuwa sio yetu tena tutarudi kwenye ukoloni
Angeweka kingereza ndio lugha ya taifa milembe ingekuwa imejaa machizi wengi sana tanzania na yeye anakili akajua machizi niwangekuwa wengiMwl alifeli pia kwa kukitukuza kiswahili na kukipromote kuwa lugha ya taifa .
Tunetengeneza taifa ambalo lipo isolated sana na dunia. Watu wanahitaji akina mkandara kutafsiriwa cnn english news.
Mbona hakupigania uhuru kazi yake ni kujioshea kwa kila mtuKosa langu ni nini? Kosa langu kusema ukweli? Lowassa ndiye aliyezunguka nchi nzima kupiga kelele kuhusu shule za kata. Alizomewa na wabunge lakini alikomaa.
Ndio maana shule za kata zikaitwa shule za Lowassa.
Ukimtuhumu Hayati Mwl. Julius K. Nyerere hutakuwa umemtendea haki, alijenga shule nyingi tu na hata watoto wake wote walisoma kwenye shule za umma, kwa hilo ytu ujue alikuwa visionery kila kijiji kulikuwa na shule kwa wakati wake ila huenda hujui, aliyevuruga elimu ya nchi anajulikana.Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kujenga shule za msingi kila kijiji kwa miaka yote hiyo 24 badala yake akajenga ofsi za chama kila kijiji?
Je, kitu gani Mwalimu Nyerere kilimshinda kwa miaka 24 kujenga vyuo vya ufundi kila wilaya badala yake alijenga viwanja vya mpira wa miguu?
Lowassa aliweza kujenga shule za secondary kila kata. Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kwa miaka 24 kujenga Shule hizo?
Dah!! Sijajua mzee wewe umekulia mkoa gani.Ukimtuhumu Hayati Mwl. Julius K. Nyerere hutakuwa umemtendea haki, alijenga shule nyingi tu na hata watoto wake wote walisoma kwenye shule za umma, kwa hilo ytu ujue alikuwa visionery kila kijiji kulikuwa na shule kwa wakati wake ila huenda hujui, aliyevuruga elimu ya nchi anajulikana.
Wilayani kwangu kulikuwa na shule kila kijiji ambazo zilijengwa kwa uhamasishwaji kwa wananchi kuchangia nguvu zao kufyatua na kuchoma matofari na serikali ilileta vifaa vya ujenzi na walimu, that is how he didDah!! Sijajua mzee wewe umekulia mkoa gani.
Kijijini kwetu kulikuwa na shule mbili za msingi kwenye kata ambayo ilikuwa na vijiji saba. Tena shule hizo zilijengwa na wakoloni.
Shule ya sekondari ilikuwa moja mkoa wote.
Tell me my friend.
Punguza mavi hayo kichwani mwako wewe bibiNyerere kaiumiza sana Tanzania, hakuna alichokifanya kikawa na mafanikio.
Aliliamini sana kanisa katoliki, ndilo lililompotosha?
Nyerere aliiweka imani yake kwa kanisa katoliki kwanza kuliko chochote, ni kama kondoo mwengine yeyote, hakuweza kuona mbali na kujiongoza mwenyewe zaidi ya kuongozwa na wachungaji wake. Inaitwa "blind faith".
Wilaya gani mkuu.Wilayani kwangu kulikuwa na shule kila kijiji ambazo zilijengwa kwa uhamasishwaji kwa wananchi kuchangia nguvu zao na serikali ilileta vifaa na walimu, that is how he did
Tafuta wilaya kongwe zote Tanzania utaona sehemu ambazo wananchi walihamasika kujenga mashule ya msingi kila kijiji na sekondari kila kata mwishoni mwa 70s na mwanzoni mwa 80sWilaya gani mkuu.
Mzee umeshindwa kutaja jina la wilaya! Nini unaogopa?Tafuta wilaya kongwe zote Tanzania utaona sehemu ambazo wananchi walihamasika kujenga mashule ya msingi kila kijiji na sekondari kila kata mwishoni mwa mwa 70s na mwanzoni mwa 80s
Sitengenezi mazingira ya kubishana, nazungumzia niliyoshuhudia kwetu ambako naona tofauti kubwa na baadhi ya maeneo walikoendekeza midundiko, vigodoro na cherekocherekoMzee umeshindwa kutaja jina la wilaya! Nini unaogopa?
Ningeshangaa sana usingekuja na hizi lawama na chuki yako kwa Kanisa Katoliki.Unaleta chuki zako kwa Kanisa Katoliki kwa kujifanya unayatetea madhehebu mengine ya Kikristu kumbe deep down unachuki kubwa na Ukristo na unatamani hata hii Nchi ingekuwa ni ya Ki Islam tu.Tuzoee tu,kanisa Katoliki lipo na huwezi kulifuta na hayo makanisa mengine yataendelea kuwepo na jifunze kuishi kwa uhalisia huu.Huyu huyu Nyerere alilea Dini yake ya ukatoliki kwa kukandamiza madhehebu mengine ya kikristu, mpaka wakatoliki wanajiona wana steki kubwa kufanya uamuzi zaidi ya dini zingine kuhusu serikali, kimya kimya alikua ana promote ukatoliki serikalini kwa kuwapa vyeo mbali mbali na huku nje anaonyesha iko sawa kwa wote, Nyerere alikua Mdini wa chini chini.
Hili ndilo alifail big time.Alikaa ikulu kwa zaidi ya miaka 20 ! Bado alishindwa ku organise hata katiba tu?
Hio iko wazi kabisa dingilai ndo alizamisha hii meli mazima!Nawasalimu wanaJF.
Leo nimeamua niseme ukweli kuhusu nchi yetu hii ya Tanzania.
Katika miaka 24 ya utawala wa Mwalimu Nyerere, alitangaza maadui wakubwa wa watatu wa watanzania:-
1. UJINGA
2. UMASKINI
3. MARADHI
Mwalimu Nyerere hakuwa visionary leader alikuwa mwanaharakati, badala ya kujenga nchi na kuwapatia elimu watanzania alikuwa na misemo tu, kuongea majukwaani tu bila vitendo.
Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kujenga shule za msingi kila kijiji kwa miaka yote hiyo 24 badala yake akajenga ofsi za chama kila kijiji?
Je, kitu gani Mwalimu Nyerere kilimshinda kwa miaka 24 kujenga vyuo vya ufundi kila wilaya badala yake alijenga viwanja vya mpira wa miguu?
Lowassa aliweza kujenga shule za secondary kila kata. Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kwa miaka 24 kujenga Shule hizo?
Tunaweza kutafuta mchawi wa taifa letu. But kusema kweli Nyerere alitukosea sana watanzania.
Nadhani Mwalimu Nyerere alikuwa na mentality za utawala wa kifalme ambao hauna malengo.
Tunaona mataifa mengi yaliyowekeza kwenye elimu alivyopiga hatua.
Yeye Mwalimu Nyerere hakuwa na nia kabisa ya watanzania wengi kupata elimu. Wakati wa Mwalimu Nyerere kusoma ilikuwa ni bahati na siyo haki ya Mtanzania.
Taifa lisilokuwa na elimu haliwezi kujiendesha vizuri, litabaki kuwa ombaomba tu.
Sisi kama Taifa ni lazima tujue tulipoangukia, tukainuke na kusonga mbele. Bado hatujachelewa.
Tanzania tupo na vijiji na mitaa isiyozidi 20,000. Kwani alishindwa nini kuchukua kila kijiji vijana 10 na kuwapeleka kusoma nchi za nje? Vijana 10 kila kijiji maana yake ni watanzania 200,000 tu.
Yaani angechukuwa wanawake 5 na wanaume 5.
But uwezo alikuwa nao wa kufanya hivyo.
Nitaendelea kueleza machungu yangu haya kwenye uzi huu ili tujue wapi tulipoangukia tukainuke na kusonga mbele...