Ukweli wasioupenda Watanganyika au Watanzania Bara

Nimesikia kanisa la kuna andaki lililohifadhi watumwa.

Kuna uhusiano gn kanisa na utumwa?!?
 
Waislam wa bara wanawaona waznz ni ndugu zao zaidi kwa kuwa ni waislam. Lkn waislam waznz wanawaona watu was bara kuwa si lolote zaidi ni watanganyika
 
Waislam wa bara wanawaona waznz ni ndugu zao zaidi kwa kuwa ni waislam. Lkn waislam waznz wanawaona watu was bara kuwa si lolote zaidi ni watanganyika
Vijamaa vibaguzi sana..vingekua na mamlaka kamili vingetusumbua sana..ngoja viendelee kuwa koloni la Tanganyika.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hahah! Mtu mweusi ni mtumwa wa akili siku zote haswaa haswaa wazee wa vibandiko!! Unajua historia ya mwarabu na mtu mweusi wa zanzibar we choko! Shida yenu hamsomi historia yenu na hata kuskiliza hotuba za rais wenu wa kwanza..karume!! Ngozi nyeusi wakat wa usultani mlikuwa mnabaguliwa kama mavii huko..karume baada ya kuchukua nchi kakemea huo ushenzi wa hao makengee..hata hvi leo ww na ngozi yako nenda kajarbu kuoa hao machotaraaa uchwaraaa wapembaa..kama hujatolewaa mkuku..
 
Waislam wa bara wanawaona waznz ni ndugu zao zaidi kwa kuwa ni waislam. Lkn waislam waznz wanawaona watu was bara kuwa si lolote zaidi ni watanganyika

Ni kwa sababu wengi waliokuja kuuwar watu kwa maelfu walikuwau wakijiita waislamu.
Walitokea Tanga, mkoa wa Pwani , Mtwara Na Lindi. Na jaza yao hawakupata chochote isipokuwa laana. Mikoa yote imekuwa masikini Na ukosefu wa usalama.
Na waliouwa woter mwisho wao ulikuwa mbaya . Karma ilifanyar kazir yake Na inaendelea kutesa
 

Wakati wa usultani Kama kulikuwa Kuna ubaguzi ,Jumbe kutoka bara asingalisoma mpaka Makerere , Mwinyi Mzee wa Mkuranga asingalipewa ubalozi wa Zanzibar ,Indonesia. Na wengine tele tu
 
Kazi ya watanganyika ni fitina na kuhangaika na neno udini 🤔🤔
 
Vijamaa vibaguzi sana..vingekua na mamlaka kamili vingetusumbua sana..ngoja viendelee kuwa koloni la Tanganyika.

#MaendeleoHayanaChama

Nyinyi Si wabaguzi ni wauwaji Na vibaka
 
Yaani unawatukuza Waarab makatili, na walio wageuza kuwa Watwana wao miaka nenda! Mpaka pale mlipokuja kukombolewa tarehe 12 January 1964 na yule Mgalatia John Okello, mwenye asili ya Uganda!
Ila ukweli mchungu hiyo 12 januwary 1964ndio ulikuwa mwanzo wa kutawaliwa na ilipofika 26 apirili 1964 ndio wakatawaliwa rasmi hadi hii leo hawafurukuti
 
Vipi kuhusu. Kuitwa Mohamed,abbul,,Ali Hashim,kwaNi haya ni majina ya Kiafrika?
 
Lakini waafrika wenyewe ndio walipenda kuchukuliwa utumwani hata leo maelfu wanazamia huko utumwani kihalali au kwa njia haramu.
Mwarabu, Mzungu hakuingia vijijini kukamata watu bali sisi waafrika wenyewe ndio tuliwakamata wenzetu na kuwauzia wao. Pili kwann mababu zetu awakutumia uchawi kuwasambaratisha waarabu wasiwachukue utumwani ña pia kuwazuia wakoloni wasitutawale. Kwann waafrika hawakuwaua wafanyabiashara walionekana vijijini kununua watumwa au kuwawinda usiku na kuwaua kisha kuwakomboa watumwa. Hakuna sehemu yeyeto katika dini hizo kuu kumelezwa wawafanyie ukatili au unyama wanadamu wengine. Kuwa muarabu au Mzungu hakumaanishi wewe ni muislamu au mkristo.
 
Kweli Elimu yako ndogo sana au hukupata ukabahatika tu ya Ilimu dunia
huko Arabuni kuna ukoo wa Waafrika km huko Marekani?
umeshaambiwa waarabu walikuwa wakiwalawiti watumwa na kuwaua, au wanawaHASI ili kizazi kisiendelee.
wale wanawake walikuwa wanapelekwa Pemba na kuzalishwa. Vijana wa kiarabu wanakuja na kupewa kina mama wakishamaliza haja wanaondoka na kuwaachia mimba dada zetu, ndio hao sasa waarabukoko hwaruhusiwi kufika arabuni kudai ukoo zao , ila tu hapa watatafuta asili kama ni waYemen au Oman au Bahrain utatajiwa asili yenu na walikuwa na ofisi zao huko Temeke, km ni wa Mahra, wagunya wanajuana
 
Ila ukweli mchungu hiyo 12 januwary 1964ndio ulikuwa mwanzo wa kutawaliwa na ilipofika 26 apirili 1964 ndio wakatawaliwa rasmi hadi hii leo hawafurukuti
Huwezi kutawala nchi kimabavu milele. Ufaransa ilitawala Algeria miaka 140 mwisho wake ikatimuliwa, Marekani ilitawala Afghanistan kupitia serikali kibaraka kwa miaka 20 mwisho wake ikatimuliwa pamoja na vibaraka wao. Na nyie mtaondoka tuu.
 
Huwezi kutawala nchi kimabavu milele. Ufaransa ilitawala Algeria miaka 140 mwisho wake ikatimuliwa, Marekani ilitawala Afghanistan kupitia serikali kibaraka kwa miaka 20 mwisho wake ikatimuliwa pamoja na vibaraka wao. Na nyie mtaondoka tuu.
Tuondoke tuiache zenji?
Sahau mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…