Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 1,148
- 2,815
- Thread starter
-
- #61
Sasa kama ameshuka ubora c lazima aachwe , ndioomaana mnaambiwa mkikaa kwenye mahusiano muda mrefu msilete mazoea kila siku mjitahidi ku maintain viwangoWe miaka minne yote unakuja kumwambia sikuhitaji...we kuweza
Kweli, nilikuwa surprised na muonekano wake, then akavua underwear ili apimwe. Hope unajua vile inakuwa. Haired p, ngozi nyeupe nyororo, umbo namba 8, huge hips.Na ulifanya kusudi sababu ushamuelewa ๐น๐น๐น
Mimi bana aliniambia nyie madent hamjatulia njoo nikupime HIV, na mimi najijua mtulivu nikampa mkono toa damu dr nipime.!!
Ila hapo kiroho kiko juu juu, nikamwambia naomba niende toilet mara moja akapiga simu maabara nikaletewa kopo likashushwa shuka la kijani nikojoe ๐๐๐
Ile siku mpk ujauzito nilipimwa dadeq.!!
Nikajipigisha simu ya uongo nikajifanya network haishiki ili nikimbie si akanipa simu yake.!! ๐น๐น
Nilitamani nimtukane alinikwaza sana mwenzie nilikuwa na beep wala sikumaanisha.!!
Majibu yalivyotoka niko fresh niliruka kwa furaha naye si akanihug akanila mate ๐คฆโโ๏ธ
Basi matibabu mengine yakaendelea mpk leo
Kwahiyo na nyie mkishuka ubora tuwaache au sioSasa kama ameshuka ubora c lazima aachwe , ndioomaana mnaambiwa mkikaa kwenye mahusiano muda mrefu msilete mazoea kila siku mjitahidi ku maintain viwango
๐Sasa kama ameshuka ubora c lazima aachwe , ndioomaana mnaambiwa mkikaa kwenye mahusiano muda mrefu msilete mazoea kila siku mjitahidi ku maintain viwango
Wanaume mtafika mbinguni kwa tabu sanaHzo hata ukioa hua zipo tu
Ng'ombe akizeeka maini yake yanakuwa matau zaidi.Kwahiyo na nyie mkishuka ubora tuwaache au sio
Nilikutana chuo na mme wng,alionesha kunipenda na kunijali sana,tukaanza kuishi akiwa maskini sana tukawa tunaungaunga maisha,Mungu akasaidia tuna vihela vya mboga,hamna rangi naacha kuona jamani,nna kila kitu ndani ila nna majuto sana,kanifanya nijione sina thamani,moyo wangu una maumivu na majeraha saaaana,nna uchungu Moyoni ilikhali yeye haoneshi kujali hata kidooogo,kanenepa ananioneshea mifano ya wanaume wengine wanaochepuka na wake zao hawalalamiki,anajiona yuko sahihi,ama hakika binadam wanabadilika!!!Tupeane uzoefu , ulikutana wapi na mwenza wako kwa mara ya kwanza, inasemekana mazingira unayokutana na mtu huwa yanatoa mustakabali wa penzi lenu na yanaeleza tabia ya mtu , kama ni mtaani , uswazi au ushuwani , Bar au kwenye nyumba ya ibada n.k je ni kweli mazingira huwa yanafungamana na tabia ya mtu
ooh Kumbe bado mpopole baby ukishindwa huko karibu kwa ma Gentleman
Haya mambo haya Mungu atutetee ๐น๐น๐นKweli, nilikuwa surprised na muonekano wake, then akavua underwear ili apimwe. Hope unajua vile inakuwa. Haired p, ngozi nyeupe nyororo, umbo namba 8, huge hips.
Huyo wako aliamua liwalo na liwe, huchomoki. ๐
Aisee dada pole sana , ukiona bado haeleweki piga chini tafuta mwamba mwengine anayejielewaNilikutana chuo na mme wng,alionesha kunipenda na kunijali sana,tukaanza kuishi akiwa maskini sana tukawa tunaungaunga maisha,Mungu akasaidia tuna vihela vya mboga,hamna rangi naacha kuona jamani,nna kila kitu ndani ila nna majuto sana,kanifanya nijione sina thamani,moyo wangu una maumivu na majeraha saaaana,nna uchungu Moyoni ilikhali yeye haoneshi kujali hata kidooogo,kanenepa ananioneshea mifano ya wanaume wengine wanaochepuka na wake zao hawalalamiki,anajiona yuko sahihi,ama hakika binadam wanabadilika!!!
Waziri mwenye dhamana wohiiii ๐น๐น๐นHaiwezekani kwa tabia hii ya huyo daktari kama waziri mwenye dhamana lazima niingilie Kati. Anampiga denda mgonjwa ... this is ridiculous
Wewe ni mgonjwa ulieliwa na dr wako๐Haya mambo haya Mungu atutetee ๐น๐น๐น
Kwahiyo ukamla mgonjwa?
Ebu njoo PM nikuambie kitu...๐Nilikutana chuo na mme wng,alionesha kunipenda na kunijali sana,tukaanza kuishi akiwa maskini sana tukawa tunaungaunga maisha,Mungu akasaidia tuna vihela vya mboga,hamna rangi naacha kuona jamani,nna kila kitu ndani ila nna majuto sana,kanifanya nijione sina thamani,moyo wangu una maumivu na majeraha saaaana,nna uchungu Moyoni ilikhali yeye haoneshi kujali hata kidooogo,kanenepa ananioneshea mifano ya wanaume wengine wanaochepuka na wake zao hawalalamiki,anajiona yuko sahihi,ama hakika binadam wanabadilika!!!
JidanganyeeNg'ombe akizeeka maini yake yanakuwa matau zaidi.
Jaribu ujionee. Seeing is believingJidanganyee
Li dr liko vizuri halafu linyamwezi awww ๐ฅฐ๐ฅฐWewe ni mgonjwa ulieliwa na dr wako๐
Nilishatubu
Dawa yenu ni kupimwa oil tu pale pazia la green๐๐Li dr liko vizuri halafu linyamwezi awww ๐ฅฐ๐ฅฐ
Lisengenipenda ningelirudia siku nyingine nilitege ๐น๐น๐น
Si uliache umeambiwa ukifa utazikwa naye??Nilikutana chuo na mme wng,alionesha kunipenda na kunijali sana,tukaanza kuishi akiwa maskini sana tukawa tunaungaunga maisha,Mungu akasaidia tuna vihela vya mboga,hamna rangi naacha kuona jamani,nna kila kitu ndani ila nna majuto sana,kanifanya nijione sina thamani,moyo wangu una maumivu na majeraha saaaana,nna uchungu Moyoni ilikhali yeye haoneshi kujali hata kidooogo,kanenepa ananioneshea mifano ya wanaume wengine wanaochepuka na wake zao hawalalamiki,anajiona yuko sahihi,ama hakika binadam wanabadilika!!!