Mlevi gani anakata pombe Kwa masikitiko?My apology kwa wale watakaokereka lakini eneo nilipokuwepo watu walikesha wakinywa kwa masikitiko mengi
Why huko mikoani Arusha?Kwa nderemo na vifijo.. Arusha watu walikesha kwa furaha!
Chukulia mpaka lea Magufuli angekuwepo, wangekuwa wamefungwa watu wangapi?wangekuwa wameuwawa wangapi?muwe mnalifikilia na hilo,Wacha mama aiponye inchiAisee ninakumbuka ulikuwa wakati wa UE aisee nililia mtu mzima nikapoteza ufanisi siku hiyo kwenye mtihani.it was the saddest day.
Ametesa sana watu wa kaskazini kwa kuwatumia Sabaya, Jerry Muro na Gambo, kwasababu wanaunga mkono upinzaniWhy huko mikoani Arusha?
Ndio wewe siku ya msiba ulizimia huku umebeba kimfuko cha sangara??Nakumbuka nilikuwa ofisini usiku ule nikisaini nyaraka mbali mbali , nilistuka sana , wasaidizi wangu wanadai nilizimia kwa muda wa nusu saa
Wewe Na majirani zako mnalala kitanda kimoja? Umejuaje kuwa majirani nao hawakupata usingizi kama wewe?😏😏😏Hii siku mimi na majirani zangu hatukupata usingizi.
Umenikumbusha Yule mzee aliposema..tumuombe Mungu amshukuru Magufuli..Alikuwa ni kiongozi mbaya kupindukia. Japo alikuwa muuaji na katili, kiasi cha kila mpenda haki kupendelea kutokuwa na kiongozi wa namna ile, lakini nilisikitika kupokea taarifa za kifo chake. Ni jambo jema mwovu aendelee kuishi, ajutie uovu wake au abadilike na kuuchukia uovu wake wa kale. Nilipoisikia habari ile, nilishtuka, nikaamka. Nilikaa kimya kwa dakika, nikajawa na simanzi. Maana kwa kweli pamoja na kuwaaumiza watu wengi, haikuwahi kutokea akilini mwangu kufikiria kuwa, aheri afe. Ningependelea aondoke kwenye uongozi lakini siyo kufa. Lakini basi kwa kuwa ilitokea, mapenzi ya Bwana yalitimia kwa kipimo cha hekima yake Mungu.
Vyovyote iwavyo, kifo chake ni fundisho kubwa kwetu tulio hai. Cha kujiuliza, sisi tunafanya nini tofauti na uovu wake? Tunafanya nini sambamba na mazuri yake, hata kama yakiwa machache? Kuna wengine ni fundisho kubwa kwao mara mbili zaidi maana wakati wa utawala wake, walitenda uovu mwingi wakiamini yupo wa kuwalinda kwenye uovu wao.
Wapo waliomkufuru Mungu, hata wakamwita Magufuli ni Mungu, wengine wakasema ni zaidi ya Yesu, na wengine wakasema eti Mungu amshukuru Magufuli. Na wote sasa hivi wamebakia kama kondoo wasio na mchungaji.
Hii ilikuwa ni kufuru kubwa. Mbaya zaidi hata marehemu mwenyewe hakuwakemea. Mwalimu Nyerere alipopambwa kupita kiasi, alimaka na kusema, 'mmeniita mchongameno nimenyamaza, mmeniita Haambiliki nimenyamaza, lakini hili la Musa, kuniita Musa, hapana, sitaki kusikia'. Yaani Mwalimu aliona kuwa yeye hafanani wala kumkaribia kwa chochote nabii Musa aliyewaongoza wana wa Israel toka utumwani Misri. Nabii Musa alikuwa mwanadamu, lakini mwalimu aliona bado Nabii Musa ni mkubwa mno kuweza kufananishwa naye. Marehemu alilinganishwa na Mungu, yeye akakaa kimya. Lilikuwa kosa kubwa.
Kifo chake ni fundisho kwetu kuwa Mungu hana ushirika na mwanadamu yeyote katika Umungu wake. Tunafundishwa kuwa Mungu hana mwanzo wala mwisho. Kifo hiki kilitufundisha kuwa hata uwe na nini, wewe bado ni mwanadamu, unafanana na wanadamu wenzako katika kuzaliwa na kufa.
Tuendelee kuomba, Mungu atujalie hekima ya kujifunza kupitia kifo hiki, na wala kifo hiki kisitufanye kuzidi kumkosea yeye Mungu au wanadamu wenzetu.
Wewe ulikuwa na upendo zaidi ya mama janet aliyekuwa anatabasamu siku mwili unaagwa chato?Aisee ninakumbuka ulikuwa wakati wa UE aisee nililia mtu mzima nikapoteza ufanisi siku hiyo kwenye mtihani.it was the saddest day.
Atakuwa yule mzee aliyetoka kwa mguu huko Lindi na jogoo kuja kuaga pale uwanja Wa Taifa.Ndio wewe siku ya msiba ulizimia huku umebeba kimfuko cha sangara??
Ilikua ni habari ya kusikitisha lakini kwa muda mchache tulisahau na kumshukuru Mungu kwa kutuletea mkombozi wa Tanzania Rais Samia Suluhu aliyekuja kuimboa Tanzania kiuchumi, kisiasa na kijamiiWakati tukiwa kwenye kipindi cha Kumbu kumbu cha musiba wa hayati Dr John Pombe Magufuli Rais wa JMT awamu ya tano tuambizane wewe ndugu yangu huko uliko taarifa za musiba ulizipataje na ulipokea vipi msiba mzito wa kuondokewa na rais wa Tanzania?
Ilikuwa ni habari ya kusikitisha kwa Watanzania kwa mara ya kwanza kumpoteza Rais Kipenzi akiwa madarakani na pengine Afrika mashariki nzima.
Mbona huulizinwa MKAPA ambazo ulikuwa wa ghafla?Wakati tukiwa kwenye kipindi cha Kumbu kumbu cha musiba wa hayati Dr John Pombe Magufuli Rais wa JMT awamu ya tano tuambizane wewe ndugu yangu huko uliko taarifa za musiba ulizipataje na ulipokea vipi msiba mzito wa kuondokewa na rais wa Tanzania?
Ilikuwa ni habari ya kusikitisha kwa Watanzania kwa mara ya kwanza kumpoteza Rais Kipenzi akiwa madarakani na pengine Afrika mashariki nzima.
Siasa siyo Uadui
Nikifupisha habari yako kwa neno moja ni kuwaAlikuwa ni kiongozi mbaya kupindukia. Japo alikuwa muuaji na katili, kiasi cha kila mpenda haki kupendelea kutokuwa na kiongozi wa namna ile, lakini nilisikitika kupokea taarifa za kifo chake. Ni jambo jema mwovu aendelee kuishi, ajutie uovu wake au abadilike na kuuchukia uovu wake wa kale. Nilipoisikia habari ile, nilishtuka, nikaamka. Nilikaa kimya kwa dakika, nikajawa na simanzi. Maana kwa kweli pamoja na kuwaaumiza watu wengi, haikuwahi kutokea akilini mwangu kufikiria kuwa, aheri afe. Ningependelea aondoke kwenye uongozi lakini siyo kufa. Lakini basi kwa kuwa ilitokea, mapenzi ya Bwana yalitimia kwa kipimo cha hekima yake Mungu.
Vyovyote iwavyo, kifo chake ni fundisho kubwa kwetu tulio hai. Cha kujiuliza, sisi tunafanya nini tofauti na uovu wake? Tunafanya nini sambamba na mazuri yake, hata kama yakiwa machache? Kuna wengine ni fundisho kubwa kwao mara mbili zaidi maana wakati wa utawala wake, walitenda uovu mwingi wakiamini yupo wa kuwalinda kwenye uovu wao.
Wapo waliomkufuru Mungu, hata wakamwita Magufuli ni Mungu, wengine wakasema ni zaidi ya Yesu, na wengine wakasema eti Mungu amshukuru Magufuli. Na wote sasa hivi wamebakia kama kondoo wasio na mchungaji.
Hii ilikuwa ni kufuru kubwa. Mbaya zaidi hata marehemu mwenyewe hakuwakemea. Mwalimu Nyerere alipopambwa kupita kiasi, alimaka na kusema, 'mmeniita mchongameno nimenyamaza, mmeniita Haambiliki nimenyamaza, lakini hili la Musa, kuniita Musa, hapana, sitaki kusikia'. Yaani Mwalimu aliona kuwa yeye hafanani wala kumkaribia kwa chochote nabii Musa aliyewaongoza wana wa Israel toka utumwani Misri. Nabii Musa alikuwa mwanadamu, lakini mwalimu aliona bado Nabii Musa ni mkubwa mno kuweza kufananishwa naye. Marehemu alilinganishwa na Mungu, yeye akakaa kimya. Lilikuwa kosa kubwa.
Kifo chake ni fundisho kwetu kuwa Mungu hana ushirika na mwanadamu yeyote katika Umungu wake. Tunafundishwa kuwa Mungu hana mwanzo wala mwisho. Kifo hiki kilitufundisha kuwa hata uwe na nini, wewe bado ni mwanadamu, unafanana na wanadamu wenzako katika kuzaliwa na kufa.
Tuendelee kuomba, Mungu atujalie hekima ya kujifunza kupitia kifo hiki, na wala kifo hiki kisitufanye kuzidi kumkosea yeye Mungu au wanadamu wenzetu.