Ulipokea vipi Msiba wa Hayati Magufuli?

Dah, tofauti kabisa na mimi. Baada ya kukagua mabweni ya Kurasini baada ya Daraja la Ubungo, Stendi ya Mbezi na Soko la Kisutu kuna jamaa alinipigia na kunismbia "game is over" Kwa hiyo sikusubiri date 17, nikaanza shangwe.
 
Siku hiyo kabla haijatangazwa japo nilikuwa na uhakika Jiwe hayupo..
Nilienda kwenye min supermarket moja mkoa flan jioni nikamkuta mmiliki..

Katika story nikamwambia unajua Jiwe kakata moto.. Mmiliki kidogo anitoe na mawe... Eti ondoka na habari zako za kichochezi.. Unataka biashara yangu nisumbuliwe..

Jamaa akaomba kabisa story za Jiwe nisimwambie kwa uoga wa kushughulikiwa akisema sitaki matatizo .. Polisi ilikuwa inadaka watu..

Usiku napata habari.. Sikufurahi kwa kuwa ni binadamu mwenzetu ila kelele nje... Kuna Grocery majirani walitoka wengine vifua wazi walipiga pombe zikaisha.. Na mimi nilijumuika nao.

Kesho yake naenda kwenye minsupermarket sikumkuta mmiliki ila nilimpigia simu... Kumbe yeye alizima bar kwa furaha.. Anadai alikuwa na uoga sana wa maisha kipindi cha Jiwe hasa kuwekewa mizengwe katika biashara au ukionekana unasupport upinzani..
 
Mbona huulizinwa MKAPA ambazo ulikuwa wa ghafla?
Wa huyu tuliambiwa na Waziri Mkuu kwamba yuko fiti anafanya shughuuli kama kawaida! mnamtaka aende Kariakoo mmuone huko?
Daah hii ni wiki Moja mbaya sana!
Jpm alikuwa kipenzi cha Watu na wala hii haina ubishi
 
Ujumbe mzito na comment bora kabisa kwenye uzi huu. Asante Mkuu kwa kuturejesha kwenye neno la Mungu.
 
nimepitia uzi nimegundua kumbe jiwe alikuwa hapendwi na walevi,kila mtu nilikuwa grocery nikapigiwa simu!!!

β€Škweli Tz inawatu wa ajabu aisee!!!,,haya tuendeleeni kunywa beer na umasikini wetu japo humu Jf kila mtu ana noti tu hatakama anaishi kwa shemeji yake
 
Mi naishi karibu na kituo cha polisi... Sikuamini nilivyoona polisi wakifurahia... Mi nilijiunga nao kwenye kibanda umiza cha polisi mwenzao kuwaunga mkono walinzi wa raia na mali zetu.... Ofkozi kwa kupiga gambe
Mtani nimepata simu ya wakili wangu kwaheri [emoji23] [emoji1545][emoji1544][emoji1550]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…