Mkuu watu kuwa wengi kwenye msiba haimaanishi alipendwa. Wengine walikwenda kushuhudia ikiwa Shetani naye hufa
Jamaa alikuwa anapendwa watu mpaka walikuwa wanaivamia njia kama hakuwa na mpango wa kusimama liwalo na liwe lakini asimame wamuone tu.
Raisi wa watu
Poleni sana.Mngekunywa diazepam tabs.Hii siku mimi na majirani zangu hatukupata usingizi.
Watoto wa juzi mna tabu sana, hivi wakati wa msiba wa Mchonga ulikuwa na umri gani? Huu msiba wa Jiwe ambao majority tulishangilia huo ulikuwa msiba au ilikuwa sherehe?narudia tena WATANZANIA mimi taarifa nilipata asubuhi
WATANZANIA walimlilia Rais wao bwana
nakuhakikishia hakuna Rais ambae kifo chake kilihuzunisha Dunia kama kilel na haitokuja kutokea,wakifa hao wako hatutahuzunika kama tulivyohuzunika.
nawawakilisha WATANZANIA take it
Hata yule mwovu anapendwa sana na watu wa aina yake au wasiomjua vyema kuwa ni mwaribifu mkuu
Jamaa alikuwa anapendwa watu mpaka walikuwa wanaivamia njia kama hakuwa na mpango wa kusimama liwalo na liwe lakini asimame wamuone tu.
Raisi wa watu
Maajabu hata sisi ughaibuni tulipata taarifa(zisizo rasmi) kuanzia tarehe 9 lakini ikawa ukiuliza wengine wanaingizwa mkenge na wanasiasa(akina Kassim Majaliwa) kwamba mwehu bado yuko hai na Corona anaikabili kwa ndimu, vitunguu na tangawizi [emoji38][emoji38].Kwanza nilijua ashafariki tokea tarehe 09 march baada ya Corona kumfyeka fyeeeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku anatangazwa nilifurahi sana tulifanya bonge ya party mwenge tukalewa hadi asubuhi tukisherehekea kuwa kambare amekata moto
Nchi yetu ilipata uhuru baada ya miaka 6 ya yule shetani katili wa kuzimu
Kwa kweli Asante Mungu, asante sana Corona kwa kumfyeka yule mwehu kambare mkuu
Acha tu. hadi sasa tunaumia tu.. tulikuwa tumeanza kuchimbiwa mitaro ya kuletewa maji hadi sasa hatujui lini yatafika huku kwetu. Barabara ay Lami tunaziona kwa macho kwa wenzetu tu.Poleni sana.Mngekunywa diazepam tabs.
Poleni aisee!Undeni tawi jipya la machawa.Hakika mtafikiwa na mizigo yenu mizito itatuliwa.Acha tu. hadi sasa tunaumia tu.. tulikuwa tumeanza kuchimbiwa mitaro ya kuletewa maji hadi sasa hatujui lini yatafika huku kwetu. Barabara ay Lami tunaziona kwa macho kwa wenzetu tu.
MmhNakumbuka nilikuwa ofisini usiku ule nikisaini nyaraka mbali mbali , nilistuka sana , wasaidizi wangu wanadai nilizimia kwa muda wa nusu saa
Leo niko naangalia tu mazishi yake..nimefarijika kiasi.Poleni aisee!Undeni tawi jipya la machawa.Hakika mtafikiwa na mizigo yenu mizito itatuliwa.
Kama faraja inaanza kutamalaki,basi ni uzuri wa kutosha.Leo niko naangalia tu mazishi yake..nimefarijika kiasi.
Ukweli humuweka mtu huru.Nilifurahi
Sherehe kubwa sana, tulikunywa na kula nyama choma kwa fujo, kama wiki zima.Wakati tukiwa kwenye kipindi cha Kumbu kumbu cha musiba wa hayati Dr John Pombe Magufuli Rais wa JMT awamu ya tano tuambizane wewe ndugu yangu huko uliko taarifa za musiba ulizipataje na ulipokea vipi msiba mzito wa kuondokewa na rais wa Tanzania?
Ilikuwa ni habari ya kusikitisha kwa Watanzania kwa mara ya kwanza kumpoteza Rais Kipenzi akiwa madarakani na pengine Afrika mashariki nzima.
Daah nyie hamfai kabisaSherehe kubwa sana, tulikunywa na kula nyama choma kwa fujo, kama wiki zima.
Angalia video sio ya msiba alikuwa hai bado anapita tu njiani kwenye mishemishe zake. Baada ya ving’ora kukatiza wananchi walipoona akuwa na mpango wa kusimama wakavamia barabara kitemi gari lake binafsi ikabidi msafara wote usimame.Mkuu watu kuwa wengi kwenye msiba haimaanishi alipendwa. Wengine walikwenda kushuhudia ikiwa Shetani naye hufa