Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Bwashee usicheke ni kamzozo!πππ
Fanya uwe kama Macron.... huyo bibi, enzi zile, alikuwa tishio mtaani kwetu! .... kiasi 'fantasies' zangu zote zilikuwa ni mapenzi mazito baina yetu!
Mbaya zaidi na yeye akajua, kiasi kila tukikutana naye hadi leo huwa anacheka sana!
UKWELI NI KUWA MZURI NI MZURI TU!
YAANI MPAKA SASA BADO NAHISI BIBI YULE ANA KITU NINAKIMISS!
π
ACHA MAPENZI YAITWE MAPENZI!
Saiv umekuwa?nilitamani kuwa kama Pablo
Hiyo hiyoπ€£Labda wa ile ndege ya dipresheni
Ungejua hujuiπ€£π€£Ilikua utoto bn, Nlikuwa naona kama walimu ni watu wanaenjoy sana
seremala/sonaraUna kipaji gani mkuu
Ila now si upo sehemu alhamdullilaahseremala/sonara
mikono yangu ina ustadi sana,
mpira, mbio na ulengaji wa shabaa nilikua namarafiki zangu wana hivo vipaji, hadi nikawa nawaonea wivu muda huo mm sijui kipaji changu
Mayday may day....Nilitamani kuwa rubani (Pilot) wa ndege; lakini nimeishia kuwa mtoa taarifa kwa marubani (muwezeshaji)...si haba.
Ila kwa sasa si IT baba malcomEngineer, haijalishi field gani swala zima Engineer ...
sio mbaya umekuwa law enforcerMwanasheria. Nilikua namuona Babu anamavitabu mengi ananituma nimtolee kwa namba. Kuna Kijana alikua anakuja kusoma kufundishana nae kumbe alikua Lamwai.π€£
Sasa hivi nimekua Unjuneer ππIla kwa sasa si IT baba malcom
Nafanania eeh?sio mbaya umekuwa law enforcer
ulawyer ama upoti?Nafanania eeh?
Kipindi hcho baiskeli zinalipiwa insuranceNilitamani kuwa Afisa mtendaji wa kijiji,kipindi hicho wanaitwa makatibu wa vijiji.
Kilichofanya nimpende ni kwamba yeye ndiye aliyekuwa na baiskeli kijiji kizima inayoitwa Hamilton.
Huku akimiliki redio ya Santuri akiwa ndiye mwenye maisha mazuri kijiji kizima.
Hakika alikiwa Role model wangu etiππ
upoti a.k.a ufongoulawyer ama upoti?