mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
raraa reree vipi wewe naona unapita tu😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nilikuwa nataka kuwa mhasibu ila sio mbaya sijacheza mbali na shimo 😄raraa reree vipi wewe naona unapita tu😂
Maliza kwanza chuo.nilikua nataka kua daktari, rubani, engineer vyote kwa pamoja[emoji23]
mi sio mtoto lakini😁Maliza kwanza chuo.
Hata wakubwa wanasoma,mi sio mtoto lakini[emoji16]
Biashara tu,plus kula mitaji,Kwahyo umekua nani[emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haki jf! We kelele zote za home hupendi kuongea??Nilikuwa napenda niwe mwalimu wa sayansi,
Nilivyokuwa mkubwa vile nilikuwa sipendi maswali kuulizwa/kuuliza/kuongea, nikajisemea hii kazi sitoiweza
Sitaki,hahahahahaha nitakugawa ujue,mie si muongeaji,,,,mama ajakuambia??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haki jf! We kelele zote za home hupendi kuongea??
That's was not your cup of tea.Yah ila nikiendaga kanisan naumiaga mda mwingine nilikuwa kipapa enzi izo
Kama Konde Boy... Ticha.Imekuwaje Sasa?